komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Wandugu. Msisahau na RTD yetu club raha leo na Marehemu Julius Nyaisanga. Japo Uzi ni kuhusu RFA. Hapo RFA lilikuwa na mwamba mmoja Zuberi Msabaha akijiita volts laki moja,, na kipindi chake cha miziki ya Zaire-DRC.Wakuu nimekaa nikakumbuka miaka hiyo kipindi cha SITOSAHAU cha RFA. Ilikuwa ikifika hiyo mida ni kukaa karibu na redio mfano wakati wa simulizi ya Gamboshi 😂 asee?
Wahenga kipindi kipi mnakumbuka? Au ulikuwa ukikipenda?