Kipindi gani unakikumbuka kutoka Radio Free Africa (RFA) ya wakati huo

Kipindi gani unakikumbuka kutoka Radio Free Africa (RFA) ya wakati huo

Ndio ndio mkuu ni tano za moto na zilikua moto si kitoto
R.I.P fredwaa pengo lako bado hawajaziba
Pale redio one Kila juma mosi jioni kulikuwa na Ngoma 20 Kali za bongo na Abdala Mwaypaya ABD, alikuwa anapenda kusemaa "ipi imetoka, ipi imepanda, ipi imeshuka, ipi imebaki pale pale". Sa sa hivi kipindi kimebadilishwa jina kinaitwa Bongo ten kinaendeshwa na mtangazaji wa capital radio Twali B.
RC ABD kazi njema huko uliko.
 
Sitasahau,kilikuwa kikiruka siku ya jumapili nadhani around saa nne asubuhi,kuna shule nilikuwa boarding Advance,muda wa kipindi watu walikuwa wanajaa kwa utulivu mkubwa tukimsikiliza mwamba alikuwa amezamia South Africa,akarudishwa Bongo.
 
Ile jingle ya Deokaji Makomba kwenye kipindi cha michezo Kila jumapili asubuhi "ni katika michezo na burudani"
kuna yule mzee wa Afro nini sijui alikuwa anatwanga kifaransa siku ya jumanne kuanzia saa nne usiku

siku ya alhamisi unapigiwa flash back, usisahau kuna Amka na BBC asubh
 
Pale redio one Kila juma mosi jioni kulikuwa na Ngoma 20 Kali za bongo na Abdala Mwaypaya ABD, alikuwa anapenda kusemaa "ipi imetoka, ipi imepanda, ipi imeshuka, ipi imebaki pale pale". Sa sa hivi kipindi kimebadilishwa jina kinaitwa Bongo ten kinaendeshwa na mtangazaji wa capital radio Twali B.
RC ABD kazi njema huko uliko.
Pale ÉA Radio kulikuwa na bongo flava top 20 na Jr junior/dulah planet/fredou mbunj/ Lesa said.
TBC FM nako kulikuwa na top 20 ikiongozwa na Daniel Chibombo (Dan Chibo/DC wa Milazo).
Clauds FM top 20 na mamy baby, Titi, B12 nk.
Nilikuwa nafuatili top20 za radio nyingi.
 
kuna yule mzee wa Afro nini sijui alikuwa anatwanga kifaransa siku ya jumanne kuanzia saa nne usiku

siku ya alhamisi unapigiwa flash back, usisahau kuna Amka na BBC asubh
Yote kwa yote watangazaji wa BBC funga kazi Mzee.
 
Je huu ni ungwana? Hivi kipo mpaka sasa?
Kipo, kuna siku nilikisikiliza kinaendeshwa na jamaa mmoja anajiita mlevi mwenye busara.
Sasa hivi hakuna mtu anayesikiliza hicho kipindi zaidi a ya mtangazaji anakiendesha mwenyewe (anajisikiliza)

Bogus kweli kweli.
 
Wakuu nimekaa nikakumbuka miaka hiyo kipindi cha SITOSAHAU cha RFA. Ilikuwa ikifika hiyo mida ni kukaa karibu na redio mfano wakati wa simulizi ya Gamboshi 😂 asee?

Wahenga kipindi kipi mnakumbuka? Au ulikuwa ukikipenda?
Hii redio imetimiza wajibu wake wa kuelimisha, kuburudisha na kuhamasiha kwa wakati wote.

Enzi za kina
1. Fredwaa- Je Wajua siku za jpili
2. Bongofleva- Ijumaa usiku
3.Boringo music na kina Laki Sita volt
 
Mdogo wangu alikuwa anapenda ile jingle ya kila baada ya habari inyosema"absolute absolute, RFA RFA"
 
Back
Top Bottom