😂"Vipi DJ haupigi hewani na unasikiliza ghetto, demu wako chumbani hizi vocals zampigiaaa..."
Umeniibia simu yangu ukatuma hili jibu nini? Maana nilikuwa nimjibu hivohivo. Madogo wanajiendekrza sanaHizo siku 5 tu ndio ushindwe vumulia? Kichupa hicho ni cha mwaka ama? Ukiwa na mke unagonga mara kwa mara, unaweza jikuta umegonga leo kesho kaingia kwenye mzunguko, kwahiyo hapo bado uhangaike na kichupa!?
Acha tuoneWiki moja tu ndo ikushinde? Sina mke na ninafanya nofap challenge mara kwa mara kila niki relapse naanza moja leo nipo siku ya 34, bila kuangalia picha chafu kufanya ngono wala kujichukulia sheria mkononi ni suala la maamuzi tu hisia zako ziwe ndani ya udhibiti wako ukiziacha hisia zikuendeshe mwisho wake mbaya View attachment 2949499
Inatokeaga. Mwamba mmeamua tu kumshambulia bure. Imagine kwamba wife/husband alikuwa safari kwa wiki kadhaa kaja na upwiru kufika wife yuko Mars.Yaani siku 3,4 ushindwe kuvumilia duh upwiru gani huo heavy hivyo😀
Unaweza kufanya hivi kweli???Kamwangalie papuchi akiwa kwenye hizo siku stimu zitaenda zake
#Umalaya haukubaliki
Aisee labda hivo ila pia siku chache tu ushindwe kuvumiliaInatokeaga. Mwamba mmeamua tu kumshambulia bure. Imagine kwamba wife/husband alikuwa safari kwa wiki kadhaa kaja na upwiru kufika wife yuko Mars.
Tupo juu[emoji23][emoji123][emoji123]"Vipi DJ haupigi hewani na unasikiliza ghetto, demu wako chumbani hizi vocals zampigiaaa..."
Acha umalayaUnakuaje na mwanamke mmoja, amekua mama yako?