Kipindi mke/ girlfriend yupo siku zake unatumia mbinu gani kupunguza uchu?

Wacha kabisa bro, kuna mada na maswali ya kipuuzi sana humu JF. Kweli shule zifunguliwe maana dah!!!!!!!!
 
Uongo huo. Eti Kuku kataga yao lisiloeleweka eleweka. Chai baridiiiiiiiii
 
Hiyo tuu mimi mke wangu alianza siku zake siku ya ndoa, honeymoon yote tunaish kaka na dada
 
Dhambi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…