Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kipindi mzee wangu JPM yupo walikua hawaongei ameondoka Sasa ndio wanajidai wanajua kutumia maiki.
Watu hadi wanatunisha mishipa na misuli kama yote. Mpaka unaweza kukimbia yaani.
ππππππππππππ
Msitufokeee bhanaaa, kama mlikua na ubavu mngezungumza kipindi yupo, huo ndio uanaume kinyume na hapo mnatufokea bureeee.
Mwanaume anaongea hapo hapo hasubiri mtu aondoke ndio anaanza kutupigia kelele kazi kufokeana tu.
ππππππππ Aseee.
Mzee wetu amefanya kazi kubwa anastahili aendelee kupumzika kwa amani. Amina.
Watu hadi wanatunisha mishipa na misuli kama yote. Mpaka unaweza kukimbia yaani.
ππππππππππππ
Msitufokeee bhanaaa, kama mlikua na ubavu mngezungumza kipindi yupo, huo ndio uanaume kinyume na hapo mnatufokea bureeee.
Mwanaume anaongea hapo hapo hasubiri mtu aondoke ndio anaanza kutupigia kelele kazi kufokeana tu.
ππππππππ Aseee.
Mzee wetu amefanya kazi kubwa anastahili aendelee kupumzika kwa amani. Amina.