Kipindi naanza chuo kikuu mwaka wa kwanza MZUMBE mjomba alinihusia swala la kusave bumu

Kipindi naanza chuo kikuu mwaka wa kwanza MZUMBE mjomba alinihusia swala la kusave bumu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habarini za leo wakuu,
Wakuu hivi ninyi mlishawahi fanikiwa kusave hela za Bumu zikawatoa.

Binafsi mimi kipindi naanza chuo kikuu mwaka wa kwanza pale MZUMBE mjomba alinihusia sana swala la kusave bumu. Aliniita varandani akanisisitiza sana mjomba chondechonde ukipata Bumu uwe unalisave. Ofcourse nilimwelewa kwa mbalii lakini nilishindwa kusave nisiwe mwongo.

Mpaka leo huwa naikumbuka kauli ya mjomba. Japokua kipindi hicho nilishindwa kumwelewa. Nilikuja kumwelewa wiki ya pili mara baada ya kuingia mtaani. Khaaaaaaa

Karibuni graduate mtaani.
 
Bumu lenyewe shilingi ngapi mpaka uweze kusave..

Watu ambao hawajui mazingira ya chuo kikuu na maisha yalivyo kule wanaamini bumu ni hela za kutosha sana
 
Mzumbe hata usiposevu bumu unaishi tu maisha simple sana, we ungekula tu bata
 
Bumu lenyewe shilingi ngapi m boopaka uweze kusave...

Watu ambao hawajui mazingira ya chuo kikuu na maisha yalivyo kule wanaamini bumu ni hela za kutosha sana
Rahisi sana kuishi kwa kusave boom kuliko kuishi mtaani bila mchongo na huna mtaji..

Kuishi huku una save boom hulali njaa ila kuishi mtaani huna mchongo na mtaji kulala njaa sio chaguo ni lazima some days.

All in all...vyote vigumu ila kimoja kigumu sana
 
Kuna mwanangu alikuwa anasave boom, tukikaribia kufunga tulikuwa tunamuuzia vitu[emoji1787][emoji1787] inawezekana japo mimi nilishindwa kabisa
 
Niko mwaka wa pili na siwezi save bumu hata unishikie bunduki. Mtaani waliopo mbona hawafi?

Mambo ya kutishana mimi huwa hayanipati mimi na rafiki yangu tulishasema MEALS AND ACCOMMODATION ni kwa ajili ya kula na kulipia kodi tu, bahati nzuri kodi tunalipa kwa hela nyingine. STATIONARY ni kwa ajili ya printings tu. FIELD ni kwa ajili hiyo, na bata za field ukouko. SPECIAL FACULTY ni mabuti na projects zake uko za kununua vifaa na kulipia vitu.

Serikali ya Tanzania ni bahiri sana kiasi hawawezi toa hela ya kuzidishia ili uanzishe biashara au ufanye savings kirahisi. Ukitaka hivo basi uishi kama shetani
 
Niko mwaka wa pili na siwezi save bumu hata unishikie bunduki. Mtaani waliopo mbona hawafi?

Mambo ya kutishana mimi huwa hayanipati mimi na rafiki yangu tulishasema MEALS AND ACCOMMODATION ni kwa ajili ya kula na kulipia kodi tu, bahati nzuri kodi tunalipa kwa hela nyingine. STATIONARY ni kwa ajili ya printings tu. FIELD ni kwa ajili hiyo, na bata za field ukouko. SPECIAL FACULTY ni mabuti na projects zake uko za kununua vifaa na kulipia vitu.

Serikali ya Tanzania ni bahiri sana kiasi hawawezi toa hela ya kuzidishia ili uanzishe biashara au ufanye savings kirahisi. Ukitaka hivo basi uishi kama shetani
😂😂😂😂😂maisha huwa yanaanzia ulipo sasa eti.
 
Daaah kwa mwaka huu neshndwa ...labda mwaka wa pii
 
Niko mwaka wa pili na siwezi save bumu hata unishikie bunduki. Mtaani waliopo mbona hawafi?

Mambo ya kutishana mimi huwa hayanipati mimi na rafiki yangu tulishasema MEALS AND ACCOMMODATION ni kwa ajili ya kula na kulipia kodi tu, bahati nzuri kodi tunalipa kwa hela nyingine. STATIONARY ni kwa ajili ya printings tu. FIELD ni kwa ajili hiyo, na bata za field ukouko. SPECIAL FACULTY ni mabuti na projects zake uko za kununua vifaa na kulipia vitu.

Serikali ya Tanzania ni bahiri sana kiasi hawawezi toa hela ya kuzidishia ili uanzishe biashara au ufanye savings kirahisi. Ukitaka hivo basi uishi kama shetani
Msiwe mnatusumbua sasa.. Kila baada ya week mbili unalialia umeishiwa.
 
Msiwe mnatusumbua sasa.. Kila baada ya week mbili unalialia umeishiwa.
Kuishiwa ni lazima kama sasahivi wiki saba hivi zimepita tangu bumu litoke. Sasa imagine kuna wachache wanaotumia hilo kulipia ada inayobaki kwenye mkopo, wanalipia kodi au hostel. Hiyo hiyo ndio avae, ale, aishi vizuri mjini. Lazima kichwa kiwake moto alafu wazazi wengine uko Simiyu wanawaomba michango ya harusi hawa wanaopokea hela ndogo hivi.

Ila kuna wazazi wanalipia apartment laki 3 kwa mwezi ili mwanae asome na bado latest gadgets anamnunulia, hela anampa every week. Issue hapa ni kipato cha familia, kwenye hela hakuna vilio
 
Kuishiwa ni lazima kama sasahivi wiki saba hivi zimepita tangu bumu litoke. Sasa imagine kuna wachache wanaotumia hilo kulipia ada inayobaki kwenye mkopo, wanalipia kodi au hostel. Hiyo hiyo ndio avae, ale, aishi vizuri mjini. Lazima kichwa kiwake moto alafu wazazi wengine uko Simiyu wanawaomba michango ya harusi hawa wanaopokea hela ndogo hivi.

Ila kuna wazazi wanalipia apartment laki 3 kwa mwezi ili mwanae asome na bado latest gadgets anamnunulia, hela anampa every week. Issue hapa ni kipato cha familia, kwenye hela hakuna vilio
Upo sahihi.. Ila kuna mdau amesema hapo juu, utakapofikisha mwaka wa tatu kitaa baada ya kugraduate, umepauka hatari.. Ndo utakapokumbuka kumbe kale kakiasi kalikuwa kanawezekana kusave.. Hapo mdau upo kitaa, unatamani uokote hata mia ununue sabuni.. Hukumbuki tena kuvaa na kuishi vzr mjini.

Kuna madogo wanasave hiyo hiyo kidogo.
 
Upo sahihi.. Ila kuna mdau amesema hapo juu, utakapofikisha mwaka wa tatu kitaa baada ya kugraduate, umepauka hatari.. Ndo utakapokumbuka kumbe kale kakiasi kalikuwa kanawezekana kusave.. Hapo mdau upo kitaa, unatamani uokote hata mia ununue sabuni.. Hukumbuki tena kuvaa na kuishi vzr mjini.

Kuna madogo wanasave hiyo hiyo kidogo.
Usinichukulie poa kama huyo mwanao anayekuombaomba hela. Hujui naishije, hujui background yangu, hujui investments zangu ni zipi, hujui nina resources gani mkononi na skills zipi ninazo. How comes unasema nitapauka mtaani?

Hizi ni akili za kimaskini zinazoamini ukiishi vizuri utajutia badae. Mbona walima majaruba kule Simiyu hawatoboi maisha milele. Unatakiwa ukubali kila mtu ana approach zake kwenye maisha na sio kuangaliziana.
 
UMASKINI NI MBAYA SANA.
KIFUPI HELA YA BOOM SIO YA KUSAVE ILA KUTOKANA NA UMASKINI VIJANA MNALAZIMIKA KUSAVE.
JITAHIDINI WADOGO ZETU HUKU MTAANI NI KUGUMU.
 
Na Bado....
Mpaka muanze kuongea wenyewe ndio mtatia akili. Na vyuo vinatema kila mwaka [emoji16][emoji38]🤣
 
Back
Top Bottom