Simba Sports Club Haiwezi kuuzwa kwa mtu.
SImba sio Kampuni yenye shares .Imesajiliwa kama Club au association . Haikusajiliwa BRELLA.
Ni club ilosajiliwa na wadhamini , iko chini ya trustees kwa niaba ya wanachama na wapenzi wa timu hio nchini na nje ya nchi.
SUALA : Jee unaweza kuithamini Club ya Simba ? na ukapata thamani yake halisi ili uweze kupata bei ya kuipiga bei ? Jawabu ni Hapana huwezi kui value Timu hii . Simba na Yanga zinakaribia zaidi ya Miaka 100 sasa. Hazijawahi kufa , wala hakuna uwezekano wa kufa ,sana zitashuka daraja na kupanda lakini the brand ipo .
Thamani ya Simba ni priceless .You can?t Value it therefore No body can buy it ?imejengwa miaka mingi ni Zaidi ya Vyama vya siasa amabavyo no body can buy vyama vya siasa,
Unapouza Simba sasa kwa akina Aveva , who are they ? wao ni viongozi tu wenye dhamana ya kuiongoza Simba sio Beneficiary wa Club hii, wanaweza kuondoka na hata kuingia yanga?
Nani beneficiary wa hizo 20 billion ? jee kuinunua yenyewe ni kuingiza kwenye programya Maendelo ? au ndio wanunuzi ni kina Aveva waloikuta Simba juzi ? au ni wajukuua wa waswahili wale waloanzisha hii timu Kutoka Sunderland mpaka ilipo fikia ? nani atafaidika na hizo 20b/ akale nwatoto wake kama jasho la kuwa mwanzilishi na mmiliki halali wa Simba ?
Kwa ufupi Simba hai uziki haina shares inamilikiwa na wanachama chini ya wadhamini wao. washabiki wote wana haki ka club hii.
Jiulize unaweza Kuiuza au kuinunua CUF au CCM ? kama hapana basi Simba ni Hapana mara 100 maana ni zaidi ya CUF na CCM.
Unaweza kuinunua Azam , Muundo wake ni Tofauti ni Kampuni inayomilikiwa kwa share.
Vyenginevyo Unaweza Kujenga MO sports club yako , ukafanya MO Academy , Chamanzi kule viwanja vinapatikana. Aige mfano wa Azam au TP Mazembe au Mtibwa .
lakini ukweli na kisheria No body can buy a club belong to more than 30 million fans ndani na nje ya Tanzania . Simba ipo Tanzania , Ipo Zanzibar , Ipo UK ,UAE,OMAN,USA,SCANDINAVIA nk nk . Simba ni Taifa Kubwa its Big enough for any tycoon to buy it ?Brand yake its worth Trillions of Dollar ni kubwa kuliko any company Tanzania?
Wana simab don?t feel or think too Low ?you have build one the greatest club in Africa.
Simba inahitaji Uongozi imara , wanao penda Football, wenye vision wasio mafisadi pia. Simba ikiwa imara na viongozi madhubuti Company nyingi zitakua tayari kui sponsor kwa mikataba minono ya kuiendesha club hio kwa mafanikio makubwa katika soka..
Viongozi waache hayo mawazo kabisa simba ni kubwa kuliko wao hii club haizuki na hawana uwezo wa kisheria kufanya hivyo. huo,
Wenye Simba haswa Tuliwazika zamani nao walituachia hizi club kama urithi wetu ambao sasa kina Aveva wanafikiria kuuza kwa maslahi binafsi