Kipindi wenzetu .... Sisi ....

Kipindi wenzetu .... Sisi ....

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
1. Kipindi wenzetu wakimlipa Kocha wao Mkuu, Mwinyi Zahera Tsh. 6.8 milioni... Sisi tunamlipa Kocha wetu Mkuu, Patrick Ausssems dola 10,000 (Tsh. 22.7 milioni - mara 3 ya kocha wa wenzetu).

2. Kipindi wenzetu wakifanya usajili wao katika bendi za Kongo... Sisi tulikua busy tukizunguka bara zima la Africa kutafuta wachezaji mahiri wa kuitumikia timu yetu.

3. Kipindi wenzetu wakiendelea kushangilia kasi ya goli la ajibu... Sisi tunaendelea kufurahia kasi ya 4G ya ujenzi wa uwanja wetu wa Bunju.

4. Kipindi wenzetu, 'Babu' Tambwe akiwa ndo mchezaji anayelipwa hela nyingi kwa mwezi, Tsh. 7.6 milioni... Sisi mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu ni Meddie Kagere, anakunja dola 5,500 zaidi Tsh. 12 milioni.

5. Kipindi wenzetu wachezaji wao wa kimataifa wakitafuta deiwaka kwenye bendi za kikongo kipindi hiki, huku wengine wakiwa busy saloon na wasanii wa Bongo Movie... Sisi wakwetu wako busy wakipambania mataifa yao yapate nafasi za kufuzu kushiriki AFCON mwakani.

6. Kipindi wenzetu wakipata tabu sana mwishoni mwa msimu uliopita wa VPL... Sisi tulipata ubingwa wa VPL.

7. Kipindi wenzetu watakapokua busy wakicheza na Mawenzi Market au Moro Kids katika mechi za kirafiki mwakani... Sisi tutakua tukipambana na Etoile Du Sahel au Al Ahly katika hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Africa.
.
.
.
 
8. Kipindi wenzetu kocha wao Mkuu ni anapiga deiwaka tu hapo, maana kaajiliwa timu ya Taifa ya Kongo, ambapo timu ya Taifa ikiwa inacheza lazima aende.. Sisi kocha wetu Mkuu, mwajiri wake pekee ni Simba SC.
 
sembo leo nimeangalia game ya Zambia vs Guinea-Bissau na Claotus Chama kapiga dk 90 jamaa ni bonge la mchezaji. Simba wamtumie regularly watapata faida sana.
 
1. Kipindi wenzetu wakimlipa Kocha wao Mkuu, Mwinyi Zahera Tsh. 6.8 milioni... Sisi tunamlipa Kocha wetu Mkuu, Patrick Ausssems dola 10,000 (Tsh. 22.7 milioni - mara 3 ya kocha wa wenzetu).

2. Kipindi wenzetu wakifanya usajili wao katika bendi za Kongo... Sisi tulikua busy tukizunguka bara zima la Africa kutafuta wachezaji mahiri wa kuitumikia timu yetu.

3. Kipindi wenzetu wakiendelea kushangilia kasi ya goli la ajibu... Sisi tunaendelea kufurahia kasi ya 4G ya ujenzi wa uwanja wetu wa Bunju.

4. Kipindi wenzetu, 'Babu' Tambwe akiwa ndo mchezaji anayelipwa hela nyingi kwa mwezi, Tsh. 7.6 milioni... Sisi mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu ni Meddie Kagere, anakunja dola 5,500 zaidi Tsh. 12 milioni.

5. Kipindi wenzetu wachezaji wao wa kimataifa wakitafuta deiwaka kwenye bendi za kikongo kipindi hiki, huku wengine wakiwa busy saloon na wasanii wa Bongo Movie... Sisi wakwetu wako busy wakipambania mataifa yao yapate nafasi za kufuzu kushiriki AFCON mwakani.

6. Kipindi wenzetu wakipata tabu sana mwishoni mwa msimu uliopita wa VPL... Sisi tulipata ubingwa wa VPL.

7. Kipindi wenzetu watakapokua busy wakicheza na Mawenzi Market au Moro Kids katika mechi za kirafiki mwakani... Sisi tutakua tukipambana na Etoile Du Sahel au Al Ahly katika hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Africa.
.
.
.
Unachokiona bunju ni maandalizi ya uchaguzi ila cos Rage alishasema mashabiki wengi wa Simba ni Mbux3 huwezi kung'amua hilo
 
Unachokiona bunju ni maandalizi ya uchaguzi ila cos Rage alishasema mashabiki wengi wa Simba ni Mbux3 huwezi kung'amua hilo
Labda nikusaidie wewe na Ndala wenzako..

Kinachofanyika Bunju ni mipango iliyokuwepo tangu mda kidogo, na si kampeni kama mnavyozusha... Kwanini si kampeni?

1. Aliyekua mwenyekiti wa Simba, Aveva hagombei.. Na hii ni kutokana na kesi inayomkabili.
2. Kaimu Mwenyekiti wa sasa, Try Again hajachukua form
3. Front runner kama Hans Pope na Kaburu nao hawajachukua form.

Kwakifupi sura zilizochukua form kugombea asilimia kubwa hazikuwepo katika uongozi huu unaotoka madarakani.
Nadhani tumeelewana.. Usije ukapayuka tena hili suala.
 
sembo leo nimeangalia game ya Zambia vs Guinea-Bissau na Claotus Chama kapiga dk 90 jamaa ni bonge la mchezaji. Simba wamtumie regularly watapata faida sana.
Mkuu.. Hata mimi nimemtizama Chama leo kwa umakini mkubwa sana. Huyu jamaa atatusaidia sana katika michuano ya klabu bingwa barani Africa.
Huku kwenye TPL na vikombe kama FA na Mapinduzi, Dilunga, Ndemla, Mzamiru na Niyonzima wanatosha kabisa.
 
Mo anagombea?
Mkuu.. Ye ni mmililiki.. Hagombei, bali katiba inamtaka ateue baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji (na si m/kiti au makamu wake)
 
Majigambo mengi ila nimetazama CV ya Patrick anafundisha timu msimu mmoja mmoja..tatizo nini???huku mitaani wanasema ni mwalimu wa mieleka ndio maana mazoezini anakuja na viblanket wachezaji wasichubuke makalio.....wengine wamefika mbali wanadai ni Jehova witness...mark my words mtamfukuza kabla ya msimu kumalizika..midevu kama beberu...
 
Back
Top Bottom