balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Shahidi wa Yehova naye ni kocha? Saa hizi Mavi yanagonga kwenye chupi zenu baada ya kanjibahai ku Ben wa,leo asubuhi.8. Kipindi wenzetu kocha wao Mkuu ni anapiga deiwaka tu hapo, maana kaajiliwa timu ya Taifa ya Kongo, ambapo timu ya Taifa ikiwa inacheza lazima aende.. Sisi kocha wetu Mkuu, mwajiri wake pekee ni Simba SC.