Kipindupindu (uchafu), gharama za maisha, uzamani na ubovu wa ICT, vyawakimbiza watalii Kenya

Kipindupindu (uchafu), gharama za maisha, uzamani na ubovu wa ICT, vyawakimbiza watalii Kenya

Kelele nyingi, mwisho wa siku zero content... Kama wewe ndo una akili basi ongea kama mtu mwenye akili, sio kupiga porojo za hewani


Kwa mfano, unaloongekea hapo ni mali ya mtu binafsi

“Wealth” refers to the net assets of a person. It includes all their assets (property, cash, equities,
business interests) less any liabilities.

Hapo bado tunawashinda na mbali sana! next time, ukiamua kujifaya mwenye akili basi tumia ushahidi, si kupiga story tu, e.g ukitaja saratani, toa takwimu za watu walio na saratani na maafa yake TZ vs Ke,,,etc, sio tu kupiga domo ilhali tunajua mwisho wa siku Watz wengi wanakufa kuliko wakenya
Ninarudia tena, Julius Malema, hakutosheka kusikia kwamba South Afrika ina GDP ya $350B. Yeye aliangalia ni nani anayemiliki hiyo GDP, 10% ya watu nchini humo humiliki 85% ya hiyo GDP, hakukubali kufurahia GDP ya kwenye makaratasi wakati wananchi wa kawaida hawana ardhi, hawana ajira, wanaishi katika slums, hawapati huduma bora za Afya, hakuna "security".

EFF ilianzishwa ili kuwarudishia wananchi wa kawaida GDP yao ambayo wabaisikia ipo ktk karatasi lakini haiwasaidii wananchi walio wengi. Huyo huyo Julius Malema ndiye aliteishangaa Kenya kwa kuona kwamba sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya unashikiliwa na Wazungu. Jambo la kushangaza ni kuona kwamba wakenya wenyewe hawaoni kama kuna tatizo wanabaki kuimba nyimbo za GDP kubwa.

Kuhusu tiba, Tanzania tunatoa tiba ya " Cancer" bure kwa kila raia kitu ambacho serikali yenu imeshindwa, sasa hiyo GDP inasaidia nini kama hata uwezo wa kuwajengea mabwaya ya maji wafugaji kule Turkana na Samburu hamuwezi?
 
How is it possible that people with low IQ like Kenyans, who can't even fight simple things like tribalism, corruption and extra judicial killings be able to have constructive discussion?.
Do you even have gray matter in between your ears???/All you have is smelly faeces ,that's why you argue like an imbecile all the time....SI UNITOF STUPIDITY ANYWAY IS JOTO LA JIWE
 
Soma report!
Malenge, kutoka kwenye report

.
Capture.JPG
 
Kuna msemo wa waswahili usemao kwamba " siku ya kufa nyani, miti yote huteleza". Uchumi wa Kenya umeendelea kupata taabu kutokana na matatizo lukuki. Kenya imepoteza mvuto kwa watalii kutokana na kukumbwa na kipindupindu Mara kwa Mara kwa jiji la Nairobi kunakosababishwa na uzembe wa serikali ya Kenya.

Kitu kinachoshangaza ni pale wakenya kupenda kujisifia kwamba wapo mbele sana katika ICT, kumbe ni domo tupu. Kenya ni miongoni mwa nchi zilizo nyuma sana katika mambo ya ICT kwa ujumla, kati ya nchi 140 dunia, Kenya ni namba 106, Ethiopia 101, na Tanzania 95.
Ttttttttttt nimeamini kuwa Kenya is a failed state amongst.
Yani Kenya vitu vingi vinafeli siku hizi sijui wanaelekea wapi hawa jamaa???!!!!
Ukiwaambia ukweli watakuja kujitapa na GDP kubwa hapa ambayo imeshindwa kuwaondolea njaa,imeshindwa kuleta fursa za ajira,imeshindwa kurahisisha maisha ya wananchi mpk wanajiua kisa ugumu wa maisha na imeshinda kulipa maden mpk yanalimbikizana.

Yani hao wenzao wanapanda wao wanashuka.
Asa uchumi gani mkubwa sijui wanajisifia hawa jamaa ikiwa kila wanalofanya siku hz ni kufeli tuu???!!
Great economy in the region alitakiwa awe kigezo wa mataifa alioyazidi lakin hlo ni tofauti kwa Kenya.
Hatuna cha kuwawekea Kenya kigezo chetu maana kila kitu chao kinaanguka siku hz.
Yani wamebakia kujishebedua na kuringia maghorofa yasiyo na tija kabbisa.
Duh pole sana kwao.
Watz tupige kaz maana hatujaachwa mbal na hawa majamaa soon tunawakuta.
Wao wanapiga hatua za mlevi moja mbele tatu nyuma sisi hatua za mkimbize mkimbize soon tutawakuta INSHAALLAH.
 
Ninarudia tena, Julius Malema, hakutosheka kusikia kwamba South Afrika ina GDP ya $350B. Yeye aliangalia ni nani anayemiliki hiyo GDP, 10% ya watu nchini humo humiliki 85% ya hiyo GDP, hakukubali kufurahia GDP ya kwenye makaratasi wakati wananchi wa kawaida hawana ardhi, hawana ajira, wanaishi katika slums, hawapati huduma bora za Afya, hakuna "security".

EFF ilianzishwa ili kuwarudishia wananchi wa kawaida GDP yao ambayo wabaisikia ipo ktk karatasi lakini haiwasaidii wananchi walio wengi. Huyo huyo Julius Malema ndiye aliteishangaa Kenya kwa kuona kwamba sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya unashikiliwa na Wazungu. Jambo la kushangaza ni kuona kwamba wakenya wenyewe hawaoni kama kuna tatizo wanabaki kuimba nyimbo za GDP kubwa.

Kuhusu tiba, Tanzania tunatoa tiba ya " Cancer" bure kwa kila raia kitu ambacho serikali yenu imeshindwa, sasa hiyo GDP inasaidia nini kama hata uwezo wa kuwajengea mabwaya ya maji wafugaji kule Turkana na Samburu hamuwezi?
Once again, typical Tanzanian....

Hapo juu nliongelea kuhusu Utajiri wa watu binafsi, wewe unanielezea kuhusu GDP!!!

Wealth” refers to the net assets of a person. It includes all their assets (property, cash, equities,
business interests) less any liabilities.


Kenya, nchi ilio haina Usalama, Haina "huduma bora za Afya, 'haina hela', Haina watu wenye Akili za kufikiria, haina chakula...etc

Death rate per 1,000 people 5.483
1568453319760.png





Tanzania, Nchi ya maziwa na Asali watu wakarimu, walio na busara, wanao tii sheria, watu wenye "Afya bora", chakula bora, mashamba yenye rotuba,....etc Mortality rate per 1,000 = 6.384

1568453390583.png



Source: http://worldpopulationreview.com/countries/death-rate-by-country/

Sasa hapa ni nani ndo anadanganywa eti wako hali nzuri zaidi??? Hao madaktari wenu wako wapi wakati watu wanakufa kwa magonjwa?
 
Once again, typical Tanzanian....

Hapo juu nliongelea kuhusu Utajiri wa watu binafsi, wewe unanielezea kuhusu GDP!!!

Wealth” refers to the net assets of a person. It includes all their assets (property, cash, equities,
business interests) less any liabilities.


Kenya, nchi ilio haina Usalama, Haina "huduma bora za Afya, 'haina hela', Haina watu wenye Akili za kufikiria, haina chakula...etc

Death rate per 1,000 people 5.483
View attachment 1207084




Tanzania, Nchi ya maziwa na Asali watu wakarimu, walio na busara, wanao tii sheria, watu wenye "Afya bora", chakula bora, mashamba yenye rotuba,....etc Mortality rate per 1,000 = 6.384

View attachment 1207087


Source: http://worldpopulationreview.com/countries/death-rate-by-country/

Sasa hapa ni nani ndo anadanganywa eti wako hali nzuri zaidi??? Hao madaktari wenu wako wapi wakati watu wanakufa kwa magonjwa?
How do you calculate utajiri wa individual people in a given country?, you must take GDP of that country divide by number of the citizens. In Kenya 62% of GDP is owned by only 6000 people, therefore in order to get per capita which refkects the real figure, you need to take the remaining 32% of GDP, divide by 45M
 
How do you calculate utajiri wa individual people in a given country?, you must take GDP of that country divide by number of the citizens. In Kenya 62% of GDP is owned by only 6000 people, therefore in order to get per capita which refkects the real figure, you need to take the remaining 32% of GDP, divide by 45M
And the remaining 6%??
 
How do you calculate utajiri wa individual people in a given country?, you must take GDP of that country divide by number of the citizens. In Kenya 62% of GDP is owned by only 6000 people, therefore in order to get per capita which refkects the real figure, you need to take the remaining 32% of GDP, divide by 45M
Wealth is calculated by properties and money you have in the bank minus loans.... GDP is how much you produce interms of goods and services in one financial year.....

1568730533528.png
 
Back
Top Bottom