Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kumbeUkiweka wali kwenye fridge ladha inabadilika
Naomba hicho kipolo me nikishughulikieNinapenda kula kipolo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kipolo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Mkuuu kwakweli wewe ni mtaalamuNilikuwa nakula viporo hadi nikaona napata kitambi mviringo imebidi niache maana kiporo kitamu. Haswa wali maharage. Huwa siweki kwenye fridge nakiacha jikoni au kukiwa na joto nachukua karai la vyombo naweka maji kidogo nadumbukiza sufuria la wali mambo murua. Best leo umeota kiporo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko maeneo gami mkuu nikifate maana kipolo cha sherehe ni balaaa kitamu kweliKipolo ni kitamu sana lakini inabidi nipike cha kula leo na kesho. Jana ilikuwa Birthday ya shost na chakula kingi kilibaki. Amenipa ki ndoo kidogo cha pilau ninawaza nitakuhifadhi vipi.
Mkuuu kwakweli wewe ni mtaalamu
Hata mwanamke uliemuacha juzi ukikutana nae leo anakumwa mtamu sana sijui kwanini?!Kiporo kitamu jamani mm nakipenda sana
Ndio mnaitaga kupasha kiporo eenhHata mwanamke uliemuacha juzi ukikutana nae leo anakumwa mtamu sana sijui kwanini?!
Kiukweli na kiafya kula matunda asubuhi ni bora na muhimu zaidi ya kula kitu kingine chochote sema ndo hivyo kibongobongo mazoea na watu kupambana na hali zao ndo inafanya mpaka kiporo kinakuwa kifungua kinywa pendwa zaidiNi kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Hiahiahaiajaiajaiajihihi... kwa mara ya kwanza kusikia mwana jf kaondoka na kindoo cha chakula kwenye sherehe..Kiporo ni kitamu sana lakini inabidi nipike cha kula leo na kesho. Jana ilikuwa Birthday ya shost na chakula kingi kilibaki. Amenipa ki ndoo kidogo cha pilau ninawaza nitakuhifadhi vipi.
Kumbe sijakosea nikama mim nilivyosema.Usilaze kwenye fridge, hakikisha usiku ukishapakua kile kimebakia kwenye sufuria kama ni wali acha wazi upoe kisha funika kama kuna joto sana waweza wazi hakikisha tu hakiingii wadudu au vinyesi wa wadudu kama mijusi waweza funika kung'uto au chujio kupitisha hewa kwenye yale matundu
Kama ni maharage pakua size unakula yatakayobakia yapashe moto yakipoa finika ubaamka unakuta taste ile ile fresh kabisa tena ukitaka kuongeza usiyatiwe upawa kuchotea waweza mimina tu ukiyachota yatachacha kama hujayapasha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiahiahaiajaiajaiajihihi... kwa mara ya kwanza kusikia mwana jf kaondoka na kindoo cha chakula kwenye sherehe..
Hivi kiporo ni sawa na kusema AMKA NA BBC yani ulilala nacho asbh unaruka nao?Hahahahah chochote kile kikibaki
ukitoa kiporo pasha moto vizur.gonga mayai mbogamboga yenye yoyo,karot,nyanya ile changanya pamoja wee na chai yako ..safi