Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nakipenda jamani mbona hiko kitambi sinaKiporo cha wali kinaleta kitambi sana,wali hautakiwi ulale.
Hahaa wataalamu wa lishe ndio wanasema hivyo ila pia inategemea na mwili wa mtu,kuna mwingine akila tu wiki milo mi3 anafutuka,wengine wanakula majunk fook kama yote wanafakamia lakini mwili kama wa warioba.Mm nakipenda jamani mbona hiko kitambi sina
Hahahaha ndiwoooHivi kiporo ni sawa na kusema AMKA NA BBC yani ulilala nacho asbh unaruka nao?
AHAHAHAHAHAHHAHAA excuse my November mood!
King Kong III anakula kilo ya kiporo 😂Mm nakipenda jamani mbona hiko kitambi sina
Mm kwakweli chakula kikibaki kwangu asubuhi lazima nikiamshe sina kitambi wala nnHahaa wataalamu wa lishe ndio wanasema hivyo ila pia inategemea na mwili wa mtu,kuna mwingine akila tu wiki milo mi3 anafutuka,wengine wanakula majunk fook kama yote wanafakamia lakini mwili kama wa warioba.
Hahahaha itakuwaKing Kong III anakula kilo ya kiporo [emoji23]
Hahahaha itakuwa
Hahahaaaa Kilo 😀😀😀😀😀 labda Baunsa wa KONKI KONKI MASTA,mimi kitu kikilala chochote hata kiwe kitamu vipi sikili,huwa sipendi since wayback tangia mdogo.King Kong III anakula kilo ya kiporo 😂
Hivi unawekaje wali kwenye friji kwa mfano? Matatizo mengine mnayatafuta wenyeweNinapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Hicho kiporo bado unacho au umeshakitupa? Nipe location nikijie jioni hiiNinapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Kwa hiyoNinapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Pole sana.Sasa kwanini wali uweke kwa fridge, au unaweka kwa siku kadhaa? Mimi ni "follower" wa kiporo hasa cha wali, ama pilau.Kamwe hatuweki kwa fridge hasa ikiwa kimebaki leo usiku, asubuhi ninacho.Ninapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Kumbe huna uhakika kama vinaleta kitambi au laa.. Sasa mbona mwanzo ulisema kwa uhakika kabisa eti (huku umebana pua) "kiporo kinaleta kitambiii, usileee"...sijui vitambi vya aina gani ila mie silagi viporo mkuu so siwezi jua kama vinaleta au lah.
Comment ya kwanza vilaeta vitambi ,comment ya pili sijuivitambi vya aina gani.....Bado haujaelewa?Kumbe huna uhakika kama vinaleta kitambi au laa.. Sasa mbona mwanzo ulisema kwa uhakika kabisa eti (huku umebana pua) "kiporo kinaleta kitambiii, usileee"