mangimweusi
Member
- Sep 14, 2018
- 51
- 38
Duuuh....kweli ukifikilia sanaa mungu anaupendeleoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anakaa kwa mtogole....jirani yanguHiahiahaiajaiajaiajihihi... kwa mara ya kwanza kusikia mwana jf kaondoka na kindoo cha chakula kwenye sherehe..
Hivi kiporo ni sawa na kusema AMKA NA BBC yani ulilala nacho asbh unaruka nao?
AHAHAHAHAHAHHAHAA excuse my November mood!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisa.Hivi kiporo ni sawa na kusema AMKA NA BBC yani ulilala nacho asbh unaruka nao?
AHAHAHAHAHAHHAHAA excuse my November mood!
DuhHongera kwa kuwa na microwave na fridge pia.
People are so petty mwaya!!
Ninapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Maamuzi tu. Imagine uko single upike mboga ya kula siku moja.....Unakulaje kiporo?
Unashindwaje kupika kinachotosha??
Kiporo cha wali kinaleta kitambi sana,wali hautakiwi ulale.Kiporo kitamu jamani mm nakipenda sana
Wali ukishalala silagi kabisa,unanishinda maana unaleta gesi tumboni na pia taste yake ya nazi inapotea....Wali ule wa leo leo tena unapika na tui la nazi,kisha harage nazi,kisamvu cha nazi pembeni unapiga na SATO au TASI wa kukaanga si mchezo lazima ufutuke uwe kama ASHABOKO.Ninapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Hivi ni kitambi gani mmnacho kizungumzia mi nimekula kiporo kwa miaka kama 7 hicho kitambi sikioni kabisa auKiporo cha wali kinaleta kitambi sana,wali hautakiwi ulale.
Kiporo chako hakina chambichambi ndio maana hakina ladha. Wanaume tutafute pesa kwanza ili Kiporo kiwe na ladha.Ninapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Wataalamu wa lishe ndio wanasema hivyo mkuu.....sijui vitambi vya aina gani ila mie silagi viporo mkuu so siwezi jua kama vinaleta au lah.Hivi ni kitambi gani mmnacho kizungumzia mi nimekula kiporo kwa miaka kama 7 hicho kitambi sikioni kabisa au