Kipre Jr na Ndala ndani ya Msimbazi itapendeza sana

Kipre Jr na Ndala ndani ya Msimbazi itapendeza sana

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
Endapo Simba itamsajiri kipre Jr na Ndala kutoka Azam itapendeza sana. Kumbuka Kipre Jr ni winga ya kushoto huku Sakho nae akikimbiza winga ya kulia itakuwa balaa.

Ndala yeye anakaa pale katikati akiongeza nguvu kwa Mzamiru au Kanoute. Simba itakuwa untouchable. Viongozi najua mko humu JF fanyieni kazi huu ushauri. Chukueni KipreJr na Ndala kutokea Azam.
 
Si mlisema Feisal anaenda Azam ili aje Simba kwa mkopo!
 
Hela hamna, huyo Ndala alitakiwa aje Simba zamani, ila Yusuph Bakheresa kawavua dk za mwisho na usajili Azam sasa hivi anasimamia mwenyewe hamna madalali kama wale wa Simba na Yanga aka kamati ya usajili.
 
UTOPOLO KULENI MSHIBE TUKIO LINALOKUJA MBELE YENU LAZIMA MUENDE FIFA MKALALAMIKE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Hela hamna, huyo Ndala alitakiwa aje Simba zamani, ila Yusuph Bakheresa kawavua dk za mwisho na usajili Azam sasa hivi anasimamia mwenyewe hamna madalali kama wale wa Simba na Yanga aka kamati ya usajili.
Nyinyi wenye hela mnazidiwa vipi dau na Kizer Chiefs?
 
Kwani nyinyi mlizidiwa vipi dau na Azam kwa Sopu.
Sopu hakuwahi kuwa kwenye mipango ya Simba Sc, sio kila mchezaji unaesikia fununu kutoka kwa waandishi uchwara ni kweli anakuwa anatakiwa Msimbazi.
 
Kipre ni injury prone. Ndala mzito. Hizo dili haziwezekani msimu huu
Ila Kipre yule jamaa ni msumbufu. Na itakuwa aina ya uchezaji wake ndio unampa majeraha.

Unajua tumezoea kuona mchezaji mfupi ndio ana spidi ila Kipre ni mrefu ila ana spidi na ana uwezo wa kukusanya mabeki, ijapokuwa sijui kama huwa anafunga magoli na yeye!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Azam wakiwa wana sajiri unaweza hadi ogopa jinsi vyuma vinavyo shushwa, lakini sasa mmmh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msimu ujao sie ni man city ya bongo
 
Sopu hakuwahi kuwa kwenye mipango ya Simba Sc, sio kila mchezaji unaesikia fununu kutoka kwa waandishi uchwara ni kweli anakuwa anatakiwa Msimbazi.
Sio fununu brother,ilikuwa real kama Aziz K na Azam ,we endelea kukaa hivyo hivyo, mtaendelea kuwasajili wakina Sawadogo kama sio mamafia.
 
Ila Kipre yule jamaa ni msumbufu. Na itakuwa aina ya uchezaji wake ndio unampa majeraha.

Unajua tumezoea kuona mchezaji mfupi ndio ana spidi ila Kipre ni mrefu ila ana spidi na ana uwezo wa kukusanya mabeki, ijapokuwa sijui kama huwa anafunga magoli na yeye!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa. Na bado ni mdogo
 
Sio fununu brother,ilikuwa real kama Aziz K na Azam ,we endelea kukaa hivyo hivyo, mtaendelea kuwasajili wakina Sawadogo kama sio mamafia.
Umeandika jambo la msingi sana, kuna haja ya kubadili sana vinginevyo tutakuwa tunasajili akina Mamadou Dombia, Kambole , Bigirimana na Aziz Ki wasioweza kutusaidia chochote.
 
Umeandika jambo la msingi sana, kuna haja ya kubadili sana vinginevyo tutakuwa tunasajili akina Mamadou Dombia, Kambole , Bigirimana na Aziz Ki wasioweza kutusaidia chochote.
Kama nyie mlivyo wasajili wakina Okwa, Akpan, Okrah na Sawadogo, ila uzuri Sawadogo kawambia msimu ujao una uwasha moto,kwa kutumia viberiti mlivyo tumia South,so mvumilieni mpeni mda.
Screenshot_20230516_113557_Instagram.jpg
 
Kama nyie mlivyo wasajili wakina Okwa, Akpan, Okrah na Sawadogo, ila uzuri Sawadogo kawambia msimu ujao una uwasha moto,kwa kutumia viberiti mlivyo tumia South,so mvumilieni mpeni mda.
View attachment 2659599
Bora huyu aliyejitokeza kusema kitu, achana na yule mliyemficha AVIC TOWM nusu ya msimu huku mkisingizia kaenda Uganda kwa mkopo, kisha mkamrudisha kwao Zambia.

KAMBOLE.
 
Back
Top Bottom