joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sasa mimi na ww mwisho wa msimu ww umechukua nini?Mimi nina mataji matatu plus fainali ya CAF.Bora huyu aliyejitokeza kusema kitu, achana na yule mliyemficha AVIC TOWM nusu ya msimu huku mkisingizia kaenda Uganda kwa mkopo, kisha mkamrudisha kwao Zambia.
KAMBOLE.
Ni kombe gani ulilonalo ambalo Simba Sc haina?Sasa mimi na ww mwisho wa msimu ww umechukua nini?Mimi nina mataji matatu plus fainali ya CAF.
Sasa si bora huyo kuliko yule wakala wenu wa aliye simamia uchaguzi na jamaa mkampa kura.
Mamluki gani?? [emoji23][emoji23][emoji23]Mamluki wanawaangusha
Hivi kipre Jr ni mrefu? Au macho yangu yana nidanganya??Ila Kipre yule jamaa ni msumbufu. Na itakuwa aina ya uchezaji wake ndio unampa majeraha.
Unajua tumezoea kuona mchezaji mfupi ndio ana spidi ila Kipre ni mrefu ila ana spidi na ana uwezo wa kukusanya mabeki, ijapokuwa sijui kama huwa anafunga magoli na yeye!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Azam?? [emoji23][emoji23][emoji23]Msimu ujao sie ni man city ya bongo
Mimi Aziz K ,Bigirimana wamecheza ligi na makombe nimechukua. Hao akina Sawadogo,Akpan,Okwa wamekupa nini msimu uliopita? Hoja yangu imejikita hapo.Ni kombe gani ulilonalo ambalo Simba Sc haina?
Taja hata moja tu.
Hayo makombe alikupa Sawadogo,Okwa, Akpan?
Swali zuri jawabu lake sasa! Gumu haswa.Yanga inamiliki kombe lolote ambalo Simba Sc hana?
Mimi Aziz K ,Bigirimana wamecheza ligi na makombe nimechukua. Hao akina Sawadogo,Akpan,Okwa wamekupa nini msimu uliopita? Hoja yangu imejikita hapo.Yanga inamiliki kombe lolote ambalo Simba Sc hana?
Gumu kwako.Swali zuri jawabu lake sasa! Gumu haswa.
Tupe jibu basi kama ni rahisi kujibu!Gumu kwako.
Nishampa najua huwezi lielewa sababu hujajibiwa ww au imawezekana ukawa ndiye yy ktk acc nyingine.Tupe jibu basi kama ni rahisi kujibu!
Aziz Ki mtoe kwenye hilo kundi unless unafanya jokeUmeandika jambo la msingi sana, kuna haja ya kubadili sana vinginevyo tutakuwa tunasajili akina Mamadou Dombia, Kambole , Bigirimana na Aziz Ki wasioweza kutusaidia chochote.
Aziz Ki ni usajili uliofeli pale Yanga, ikilinganishwa na pesa na hype mliyompa wakati wa usaajili.Aziz Ki mtoe kwenye hilo kundi unless unafanya joke
Ame fail kwenye nini? note that mimi sio shabiki wa YangaAziz Ki ni usajili uliofeli pale Yanga, ikilinganishwa na pesa na hype mliyompa wakati wa usaajili.
Labda tusubiri msimu ujao.