Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Ni vigumu kukupa uthibitisho kwa sababu wewe unamkana Mungu na kuikubali sayansi na mimi naikubali sayansi, lakini kama zawadi kutoka kwa Mungu. Kwa maneno mengine, umeifanya sayansi kuwa Mungu wako, lakini mimi naiona kama njia mojawapo ya kutambua zawadi kubwa ambayo Mwenyezi Mungu amempa mwanadamu - zawadi ya akili na kwamba kwa kutumia akili vizuri mwanadamu anaweza kugundua mambo mazuri mengi, yote hayo yakiwa ni kwa utukufu wa Mungu.
 
kwa mujibu wa maelezo yako hata katiba nayo ni maandiko matakatifu ukizingatia maandiko ya kuhusu haki za binadamu

Lakini pia hujaelezea kupingana kwa mafundisho baina ya andiko moja na jingine kutoka kitabu kingine. Unataka kusema kupingana huko bado kunafanya vitabu hivyo vyote viwe kweli na sawa?

kwa hapa nitatumia mfano wa picha




Kwasababu maandiko matakatifu ni ujumbe direct kutoka kwa mungu

Kwanini Mungu kamwambia mzee mwenye nguo nyeupe hapo juu kua it is fine to drink wine but never get married?

At the same time the same God kupitia maandiko mengine matakatifu kamuagiza mzee mwenye mavazi meusi asinywe wine ila aoe wanawake wanne. Inawezekana vipi maandiko hayo yote yawe sawa na yametoka kwa mungu mmoja wa kweli wakati yakipingana?

Maandiko yaliyosema mwenye mavazi meusi kaahidiwa bonus ya wanawake bikra 72 peponi maandiko kwanini yapingane na maandiko yanayomuahidi mwenye mavazi meupe kua peponi kutakua ni kuimba na kuabudu na wakati mungu mmoja na pepo ni moja?

Tafadhali naomba unijibu vyema maswali hayo
 
Ukikiri kua upo katika angle ya kukubali hadi uwongo, unaelewa kwamba kusema kitu fulani ni real bila uthibitisho maana yake huna uhakika?
 
Pamoja na (unrelated story) ndeefu uliyoiandika bado haijajibu swali kwenye post #584. Nimefurahi umekiri kwamba "Hayo mengine ya nani kaumba galaxy au imetokeaje, mpaka leo wanasayansi wanayasoma na mengine hawajapata jibu la kumaliza mjadala"

Hii inaonesha wazi kwamba, kuna mengi mpaka leo "HAO WANASAYANSI MNAOOWAAMINI KWENYE VITABU VYAO, WAO WENYEWE HAWAJAPATA MAJIBU"

Tuendelee,
Nikuulize je kuna kitu chochote kilichopo duniani ambapo kuna time, space and matter, kinachoweza kujiunda chenyewe bila kuundwa na muundaji?

NB: Bado naendelea kusubiri majibu ya kwenye post #584
 
Mungu amewaumba wanadamu akawapa akili na uhuru wa kuchagua mema. Kama mtu mmoja akinywa wine na haoi na mwingine hanywi na anaoa ni uamuzi wao maaana as far as I'm concerned kunywa wine siyo lazima na wala kutokunywa siyo lazima na pia kuoa siyo lazima na kutokuoa siyo lazima pia, provided yote yanafanywa kwa kuhakikisha kwamba hayaathiri ustawi wa mtu mwingine.
 
Utasemaje kua ni vigumu kunipa uthibitisho as if unao ila tatizo liko kwangu kwasababu namkana, wakati we ndiye uliyedai kua hathibitishiki kwasababu yupo beyond space and time?
 
umethibitisha mungu yupo?
Nimeanza kupata wasiwasi na level ya kumbukumbu yako Mkuu. Ndio nimeshathibitisha Mungu yupo na nimesharudia tena na tena na kutoa mifano (Clear Evidence) iliyo hai.

Haya, nipe majibu ya swali kwenye post #584 Mkuu.
 
Utasemaje kua ni vigumu kunipa uthibitisho as if unao ila tatizo liko kwangu kwasababu namkana, wakati we ndiye uliyedai kua hathibitishiki kwasababu yupo beyond space and time?
Nimesema hathibitiki scientifically (through observable data) na wewe kwenye moja ya posts zako ulisisitza methodolojia hii tu (to the exclusion of others).
 
Utasemaje kua ni vigumu kunipa uthibitisho as if unao ila tatizo liko kwangu kwasababu namkana, wakati we ndiye uliyedai kua hathibitishiki kwasababu yupo beyond space and time?
Mkuu wewe unaweza kuthibitisha kwa kutuonesha homoni au hisia zinafananaje?
 
Nimesema hathibitiki scientifically (through observable data) na wewe kwenye moja ya posts zako ulisisitza methodolojia hii tu (to the exclusion of others).
Mkuu mwambie athibitishe homoni, hisia, upendo, stress n.k zinafananaje physically?
 
Mkuu mwambie athibitishe homoni, hisia, upendo, stress n.k zinafananaje physically?
Hawezi. Nimemuuliza baadhi ya maswali anadai hata akishindwa kuthibitisha haina maana kwamba sayansi haisemi ukweli, lakini yeye anataka usishindwe kuthibitisha siyo kwa namna anayoona yeye ni sahihi. Mfano, nimemuuliza kama anakubaliana na theory ya evolution, according to Darwin na pia kama anakubalina na alternative theories to Darwinism kama vile Lamarckism, orthogenesis, saltationism, catastrophism na creationism, anikwepa. Akadai swali ni irrelevant.
 
Sijazungumzia swala la kimaamuzi ya mtu binafsi, hoja yangu imezungumzia agizo kutoka kwa mungu kwenda kwa binadamu kupitia maandiko matakatifu.

Ukisema ni swala la maamuzi nitakuuliza kwanini kufanya jambo ambalo limeagizwa kwenye quran, jambo hilo liwe ni dhambi kwenye maandiko ya biblia?
 
Nimeanza kupata wasiwasi na level ya kumbukumbu yako Mkuu. Ndio nimeshathibitisha Mungu yupo na nimesharudia tena na tena na kutoa mifano (Clear Evidence) iliyo hai.

Haya, nipe majibu ya swali kwenye post #584 Mkuu.
wapi umethibitisha?

weka nukuu ya post uliyojibu
 
Nimesema hathibitiki scientifically (through observable data) na wewe kwenye moja ya posts zako ulisisitza methodolojia hii tu (to the exclusion of others).
sasa umejuaje yupo?

Kama athibitishiki kwa njia hizo anathibitishika kwa njia gani?
 
huyo jamaa aliyesema hata akishindwa kuthibitisha haina maana kwamba sayansi haisemi ukweli ni nani?
 
Addressee wa agizo la Mungu maandiko matakatifu anaweza kuamua kulifanyia kazi agizo la Mungu au kutolifanyia kazi. Ana huo uhuru, lakini pia anajua Mungu ameweka Amri zake 10 - ambazo Yesu alizi'summarise' katika Amri Kuu 2: 1) Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote na kwa akili zako zote na 2) mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Yaani, maagizo ya Mungu yanahusu welfare ya mtu na ya wengine na chochote mtu atakachokifanya afanye ili kisilete madhara kwake yeye mwenyewe au kwa watu wengine na chochote anachokifanya ambacho kinakuza ustawi wake na wa wengine anapaswa akifanye na akishindwa anakuwa amejikosea yeye mwenyewe au amewakosea wengine na kufanya hivyo ni kutenda dhambi machoni pa Mwenyezi Mungu.
 
Do we need to check if 10 is the square root of 2 if we know that the square root of 2 must be less than 2?

Unarudi kwenye habari ya muumbaji.

Unaelewa katika quantum physics cause and effect inavunjika, time inatoweka na hivyo hakuna cause and effect, kiumbwacho kinatokea kabla ya muumba na muumba anatokea baada ya alichoumba?

Unaelewa kwamba time is fundamentally relative and even an illusion, and if time is not fundamental, the entire question of cause and effect is an illusion due to our scale in the universe.

Haya mambo uneyasoma kwa kiasi gani mpaka kujiridhisha na habari za Mungu kuwapo?
 
sasa umejuaje yupo?

Kama athibitishiki kwa njia hizo anathibitishika kwa njia gani?
Uthibitisho ni kwa njia ya 1) neno lake (maandiko matakatifu), 2) ulimwengu uonekanao, 3) ushuhuda wa watu mbalimbali (kwa upande wa imani na hata proofs of God's existence by various philosophers and theologians) na 4) matukio mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…