mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
shukrani sana!.Nimejibizana naye kwa faida ya wengine wanaosoma, yeye kashaamua kujivua kanuni za mjadala.
Mtu kama huyu nikisema hajafikia viwango vya mjadala na mimi na nimuache tu naomba mnielewe.
Maana hata kama ni kwa faida ya wengine inatosha sasa.
Kama hujakariri weka theory yako au version yako ya special or general relativity, according to Einstein . Mimi naweza kuongelea mambo ya Mungu kwa jinsi alivyonigusa (experience yangu) na kwa kutumia maneno yangu tofauti kabisa na watu wengine. Lakini wewe na wenzako hamwezi. Hamna uhuru wa kujadili kitu, isipokuwa kurudia rudia vitu ambavyo wengine walishavisema hata kama havileti maana au maana yake haieleweki.Unasema mimi nimekariri theory.
Wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli tujue habari zake si theory tu, tena ya uongo?
Pole. Kumbe hata mchango wako huu hujauweka vizuri kwa kutokuwa mwandishi mzuri.Qur-an imeandikwa na Muhammad, akidai kua ameshushiwa kutoka kwa Mungu!. hakuna uthibitisho kua kweli alipokea kwani kwa mujibu wa hadith za uislamu ni kua alikua akipokea usiku na kuwaambia asubuhi!.
hapo nimekujibu swali lako la kwanza, swali langu ni kua "Thibitisha Mungu yupo".
unasema kua kurani ina scientific facts kua zimevumbuliwa katika ulimwengu wa leo!.. mimi nasema kua Quran ilikusanya nadharia na kuziunganisha katika hicho kitambi ndo maana zina contradict! aghalabu, Quran inazungumzia chanzo cha mwanadamu kua ni manii, pia ikasema kua ni damu, pia ikasema kua ni vumbi, na ikasema kua ametokana na kisicho chochote(nothing)!, sasa hapo ni dhahiri utabaki kujiuliza katokana na nn!? vumbi, damu, manii, nothing!? hapa najenga hoja kua Quran ilikua inaotea(guess) haina uhakika ndo maana ina contradict!.
mi si muandishi mzuri na pia sio atheist,.
Sent using Jamii Forums mobile app
asante, angalau nafarijika huna hoja!Pole. Kumbe hata mchango wako huu hujauweka vizuri kwa kutokuwa mwandishi mzuri.
asante sisemi kua kipo kwasababu sina ushahidi kua kipo hivo kwangu ni hakipo, je waweza nithibitishia kipo ili nami nipate mwanga!?."kisichopo au unachodai kuwa hakipo?" kuna tofauti hapo.
Ni kwanini mnahangaika sana kumtetea huyo Mungu? Hivi kama kweli angekuwepo na sifa zote anazopewa si angeshajitokeza japo kidogo tu kuonyesha nguvu zake?Wakana mungu wote unao wajua wewe hawatoki nje ya sifa hizi :
1. Hawamjui Mungu katika hakika yake
2. Wagonjwa wa akili
3. Wabishi (hii hutokana na wao kuwa weupe katika jambo hili)
4. Hudhani ya kuwa jukumu la kuthibitisha uwepo wa Mungu ni letu sisi tunao sadiki na wao haliwahusu.
5. Hukimbia kujibu maswali,mpaka uwabane sana na wakijibu sasa ndiyo utaona ni kwa namna gani walivyo wajinga.
Wewe wa kiume au wa kike ?Ni kwanini mnahangaika sana kumtetea huyo Mungu? Hivi kama kweli angekuwepo na sifa zote anazopewa si angeshajitokeza japo kidogo tu kuonyesha nguvu zake?
Maana kiuhalisia Mungu kama yupo kweli, kwa jinsi dunia ilivyo basi huyu Mungu nimdhaifu sana ndio maana mnahangaika kutuaminisha kuwa yupo na ana uwezo wote,
Nikushukuru wewe zaidi kwa kujigundua maana sitapoteza muda tena kusoma unachoandika mpaka utakapoanza kuona umeanza kuandika vizuri.
Inafaa kusema kitu fulani kimeumbwa na mungu baada ya kutoa uthibitisho kuonesha mungu yupo, na sio sawa ku point kitu ambacho kipo kinacho thibitishika kua ndio uthibitisho wa kingine kisichothibitishikaKwa faida yako narudia tena,
NATHITIBISHA MUNGU YUPO NA KWA USHAHIDI WA UUMBAJI WAKE ALIOUFANYA, WA KUUMBA:-
Umeujuaje?1. Ulimwengu usioonekana kwa macho (The unlimited universe from time, space and matter)
Cosmological argument2. Ulimwengu unaoonekana kwa macho (The limited universe to time, space and matter)
-Hapa Mungu akaumba na kuudesign ulimwengu huu ukae vile alivyotaka yeye,
Vinathibitishaje mungu yupo?kama:-
. Sayari zote
. Jua, mwezi , vimondo na nyota zote
. Hewa/upepo, mawingu na mifumo mbalimbali ya misimu ya mvua na majira
Hapa umehubiriMungu AKAITEUA SAYARI DUNIA NA KUIWEKEA MARIGHAFI RAFIKI KWA VIUMBE HAI VYOTE ILI WAISHI KATIKA SAYARI DUNIA.
UumbajiUumbaji alioufanya katika sayari dunia ni kama ifuatavyo:-
Vyote hivyo havithibitishi mungu yupo. Ardhi yenye rutuba
. Madini, mafuta, gas ardhini
. Mimea ya kila aina kama nafaka, matunda, miti na mboga mboga ili viwe chakula kwa viumbe hai vyote.
. Mito, maziwa na bahari
. Samaki wa kila aina akawaumbia waishi kwenye maji.
. Ndege wa kila aina
. Wanyama wa kila aina waishio nchi kavu na kwenye maji
Well, hii inatgemeana na namna unavyo define neno "upekee". MWISHO MUNGU ALIMUUMBA BINADAMU KWA UPEKEE KULIKO VIUMBE WENGINE
Maamuzi yake kujitegemea unamaanisha freewill?Binadamu alituumba kwa kutupa akili/utashi kwenye ubongo akili hii inatambua jema na baya na kusaidia kiumbe BiNADAMU kufanya maamuzi yake kwa kujitegemea.
So kwa mujibu wa source yako na mtazamo binafsi wa mungu, siku ya kwanza mungu aliumba watu wenye race zote?Aliumba binadamu waa kila aina e.g mchina, mwafrika, mhindi, mzungu n.k
Bado hujathibitisha mungu yupoNB: Baada ya Mungu kudesign na kuiumba dunia kwa upekee, MUNGU akatuweka viumbe hai wooote tuishi kwa kutegemeana. Kuishi kwa kiumbe chochote duniani kunamtegemea Mungu. Ndio maana hata wewe Scars au Kiranga na Atheist wote ILI MUISHI INATAKIWA MVUTE HEWA YA OKSIJENI ALIOIUMBA MUNGU, MLE CHAKULA ALICHOKIUMBA MUNGU ILI MUWEZE KUISHI.
Nawasilisha.
Hapa umejibu swali gani kati ya hayo niliyouliza??Wewe wa kiume au wa kike ?
Kwa upeo wako unadhani katika ulicho uliza nastahiki nikujibu ?Hapa umejibu swali gani kati ya hayo niliyouliza??
😄😄😄
Kutokuwa na ushahidi haina maana ya moja kwa moja kuwa hilo jambo si la kweli au halipo, ukisema kabisa kuwa fulani hakipo maana yake una uhakika na sababu, huwezi kudai kitu fulani hakipo kwa sababu et hauna ushahidi wa kuwepo hicho kitu.asante sisemi kua kipo kwasababu sina ushahidi kua kipo hivo kwangu ni hakipo, je waweza nithibitishia kipo ili nami nipate mwanga!?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaonyeshwa mwezi kwa kutumia kidole "mwezi ule..." halafu unabaki ukiangalia kidole ukidhani ndicho mwezi? Ukionyeshwa kwa kidole (mwezi ule...), fuatisha kidole unachoonyeshwa, then utaona mwezi.
Wewe kama hujakariri tunga alphabwt yako tujue hujakariri.Kama hujakariri weka theory yako au version yako ya special or general relativity, according to Einstein . Mimi naweza kuongelea mambo ya Mungu kwa jinsi alivyonigusa (experience yangu) na kwa kutumia maneno yangu tofauti kabisa na watu wengine. Lakini wewe na wenzako hamwezi. Hamna uhuru wa kujadili kitu, isipokuwa kurudia rudia vitu ambavyo wengine walishavisema hata kama havileti maana au maana yake haieleweki.
Ndiyo. Mungu amenigusa na amenisaidia katika nyakati ambazo sikuwa na mtu wa kunisaidia. Nilipokuwa nimeshindwa kusamehe, nimeweza kusamehe, nilipokuwa nakosa upendo nimeweza upendo na hata kutotumia lugha inayoweza kuwaudhi wengine katika michango yangu ni kwa sababu ya Mungu. Nikisoma maandiko matakatifu napata inspiration na naona vitu kwa namna mpya na bora zaidi.Wewe unayekataa kukariri na kusema unamjua Mungu kwa experience yako, unaweza kuthibitisha yupo na hujamuota tu au hujajifariji kwa kujiaminisha tu?
mzushi flani kwa kukusaidia kdg,, swali langu linasema hv " Qur'an ni maandiko ya nani ? “Sio sahihi,, umekosea.... Qur'an haijaandikwa na Muhammad SAW,, kwasababu alikuwa hajui kusoma wala kuandika.... This clearly shows your ignorance
Umekosea kujibu swali.....
Uthibitisho upo kwenye jibu la swali hili
" Qur'an ni maandiko ya nani ? “
Kwahiyo hizo scientific facts aliziandika Muhammad SAW ?
Sasa imekuaje ameweza kupatia scientific facts zote ?.... Alikuwa anabahatisha au ?
Utanithibitishiaje kama kweli walikusanya nadharia ?
Ulisoma logic kwenye hesabu ?
There is no such contradiction, if all propositions/statements are true independently.
Binadamu ametokana na vitu vyote hivo...
Ametokana na manii,, Ametokana na damu,, Ametokana from nothing.... Au hulijui hilo ?
Hapo itategemea na suala linalozungumziwa.....
nakutunuku shahada ya ujuha!.Yaani unaonyeshwa mwezi kwa kutumia kidole "mwezi ule..." halafu unabaki ukiangalia kidole ukidhani ndicho mwezi? Ukionyeshwa kwa kidole (mwezi ule...), fuatisha kidole unachoonyeshwa, then utaona mwezi.
umeuliza Qur an ni maandiko ya nani!? nimekujibu ya Muhammad, umekataaa jibu langu, hivyo wewe unatakiwa unipe jibu sahihi,Sio sahihi,, umekosea.... Qur'an haijaandikwa na Muhammad SAW,, kwasababu alikuwa hajui kusoma wala kuandika.... This clearly shows your ignorance
Umekosea kujibu swali.....
Uthibitisho upo kwenye jibu la swali hili
" Qur'an ni maandiko ya nani ? “
Kwahiyo hizo scientific facts aliziandika Muhammad SAW ?
Sasa imekuaje ameweza kupatia scientific facts zote ?.... Alikuwa anabahatisha au ?
Utanithibitishiaje kama kweli walikusanya nadharia ?
Ulisoma logic kwenye hesabu ?
There is no such contradiction, if all propositions/statements are true independently.
Binadamu ametokana na vitu vyote hivo...
Ametokana na manii,, Ametokana na damu,, Ametokana from nothing.... Au hulijui hilo ?
Hapo itategemea na suala linalozungumziwa.....
Huyo ana matatizo ya macho kuwa naye makiniumeuliza Qur an ni maandiko ya nani!? nimekujibu ya Muhammad, umekataaa jibu langu, hivyo wewe unatakiwa unipe jibu sahihi,
pia uniambie ni nani kaandika haya maandishi ya koran? maana umesema mohamedi hakujua kusoma wala kuandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Mkuu, hawana hoja wanawaamini wanasayansi ambao baadhi yao wamewakaririsha theories za kupinga uwepo wa Mungu kupitia imani ya Atheism. Bahati mbaya hao wanasayansi kuna mambo mengi wao wenyewe hawayajui na hawana majibu.Hawawezi discussion au debate, maana wao wamekariri theories na hawawezi kueleza kwa mawazo yao mpaka wakariri alichosema huyo mwenye theory. Ndiyo maana ukiwachanganya kidogo wanakuwa arrogant. Sijawahi kuona watu wasiojua mijadala kama hawa jamaa. Kuna mwingine (yeye siyo atheist) ila naye ni mtu wa kukariri theories za wengine, ukiongea naye anataka mara zote ukubaline naye. Ila yeye hawezi na hataki akubaliane na unachosema. Na yote hayo ni kwa sababu ya kukariri tu maana hawawezi kuwa na kitu kipya. Hopeless guys and shame upon them for always repeating theories of other people without critiquing them.