Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Unasema mimi nimekariri theory.

Wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli tujue habari zake si theory tu, tena ya uongo?
Kama hujakariri weka theory yako au version yako ya special or general relativity, according to Einstein . Mimi naweza kuongelea mambo ya Mungu kwa jinsi alivyonigusa (experience yangu) na kwa kutumia maneno yangu tofauti kabisa na watu wengine. Lakini wewe na wenzako hamwezi. Hamna uhuru wa kujadili kitu, isipokuwa kurudia rudia vitu ambavyo wengine walishavisema hata kama havileti maana au maana yake haieleweki.
 
Qur-an imeandikwa na Muhammad, akidai kua ameshushiwa kutoka kwa Mungu!. hakuna uthibitisho kua kweli alipokea kwani kwa mujibu wa hadith za uislamu ni kua alikua akipokea usiku na kuwaambia asubuhi!.

hapo nimekujibu swali lako la kwanza, swali langu ni kua "Thibitisha Mungu yupo".

unasema kua kurani ina scientific facts kua zimevumbuliwa katika ulimwengu wa leo!.. mimi nasema kua Quran ilikusanya nadharia na kuziunganisha katika hicho kitambi ndo maana zina contradict! aghalabu, Quran inazungumzia chanzo cha mwanadamu kua ni manii, pia ikasema kua ni damu, pia ikasema kua ni vumbi, na ikasema kua ametokana na kisicho chochote(nothing)!, sasa hapo ni dhahiri utabaki kujiuliza katokana na nn!? vumbi, damu, manii, nothing!? hapa najenga hoja kua Quran ilikua inaotea(guess) haina uhakika ndo maana ina contradict!.


mi si muandishi mzuri na pia sio atheist,.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole. Kumbe hata mchango wako huu hujauweka vizuri kwa kutokuwa mwandishi mzuri.
 
Wakana mungu wote unao wajua wewe hawatoki nje ya sifa hizi :

1. Hawamjui Mungu katika hakika yake
2. Wagonjwa wa akili
3. Wabishi (hii hutokana na wao kuwa weupe katika jambo hili)
4. Hudhani ya kuwa jukumu la kuthibitisha uwepo wa Mungu ni letu sisi tunao sadiki na wao haliwahusu.
5. Hukimbia kujibu maswali,mpaka uwabane sana na wakijibu sasa ndiyo utaona ni kwa namna gani walivyo wajinga.
Ni kwanini mnahangaika sana kumtetea huyo Mungu? Hivi kama kweli angekuwepo na sifa zote anazopewa si angeshajitokeza japo kidogo tu kuonyesha nguvu zake?
Maana kiuhalisia Mungu kama yupo kweli, kwa jinsi dunia ilivyo basi huyu Mungu nimdhaifu sana ndio maana mnahangaika kutuaminisha kuwa yupo na ana uwezo wote,
 
Ni kwanini mnahangaika sana kumtetea huyo Mungu? Hivi kama kweli angekuwepo na sifa zote anazopewa si angeshajitokeza japo kidogo tu kuonyesha nguvu zake?
Maana kiuhalisia Mungu kama yupo kweli, kwa jinsi dunia ilivyo basi huyu Mungu nimdhaifu sana ndio maana mnahangaika kutuaminisha kuwa yupo na ana uwezo wote,
Wewe wa kiume au wa kike ?
 
Kwa faida yako narudia tena,

NATHITIBISHA MUNGU YUPO NA KWA USHAHIDI WA UUMBAJI WAKE ALIOUFANYA, WA KUUMBA:-
Inafaa kusema kitu fulani kimeumbwa na mungu baada ya kutoa uthibitisho kuonesha mungu yupo, na sio sawa ku point kitu ambacho kipo kinacho thibitishika kua ndio uthibitisho wa kingine kisichothibitishika
1. Ulimwengu usioonekana kwa macho (The unlimited universe from time, space and matter)
Umeujuaje?

Unaweza kuthibitisha upo na sio hallucinations tu?
2. Ulimwengu unaoonekana kwa macho (The limited universe to time, space and matter)
-Hapa Mungu akaumba na kuudesign ulimwengu huu ukae vile alivyotaka yeye,
Cosmological argument

Sio wewe tu, hii hata aquinas ilimshinda
kama:-
. Sayari zote
. Jua, mwezi , vimondo na nyota zote
. Hewa/upepo, mawingu na mifumo mbalimbali ya misimu ya mvua na majira
Vinathibitishaje mungu yupo?
Mungu AKAITEUA SAYARI DUNIA NA KUIWEKEA MARIGHAFI RAFIKI KWA VIUMBE HAI VYOTE ILI WAISHI KATIKA SAYARI DUNIA.
Hapa umehubiri
Uumbaji alioufanya katika sayari dunia ni kama ifuatavyo:-
Uumbaji

hii habari umeipatia wapi?

Unaweza kuthibitisha uumbaji ulifanyika?

. Ardhi yenye rutuba
. Madini, mafuta, gas ardhini
. Mimea ya kila aina kama nafaka, matunda, miti na mboga mboga ili viwe chakula kwa viumbe hai vyote.
. Mito, maziwa na bahari
. Samaki wa kila aina akawaumbia waishi kwenye maji.
. Ndege wa kila aina
. Wanyama wa kila aina waishio nchi kavu na kwenye maji
Vyote hivyo havithibitishi mungu yupo
. MWISHO MUNGU ALIMUUMBA BINADAMU KWA UPEKEE KULIKO VIUMBE WENGINE
Well, hii inatgemeana na namna unavyo define neno "upekee"

Watu walioumbwa na mungu mwenye uwezo wote tusingetegemea kuona kasoro ambazo zinaondoa sifa nzuri ya upekee.

Vilema, vipofu, viziwi, na wote waliozaliwa na magonjwa ya asili wanathibitisha kua hakuna intelligent being aliyetuumba kwa upekee
Binadamu alituumba kwa kutupa akili/utashi kwenye ubongo akili hii inatambua jema na baya na kusaidia kiumbe BiNADAMU kufanya maamuzi yake kwa kujitegemea.
Maamuzi yake kujitegemea unamaanisha freewill?

Kama ni freewill basi basically itathibitisha hakuna hayo maamuzi ya kujitegemea

Freewill ni hadithi kama ilivyo mungu
Aliumba binadamu waa kila aina e.g mchina, mwafrika, mhindi, mzungu n.k
So kwa mujibu wa source yako na mtazamo binafsi wa mungu, siku ya kwanza mungu aliumba watu wenye race zote?
NB: Baada ya Mungu kudesign na kuiumba dunia kwa upekee, MUNGU akatuweka viumbe hai wooote tuishi kwa kutegemeana. Kuishi kwa kiumbe chochote duniani kunamtegemea Mungu. Ndio maana hata wewe Scars au Kiranga na Atheist wote ILI MUISHI INATAKIWA MVUTE HEWA YA OKSIJENI ALIOIUMBA MUNGU, MLE CHAKULA ALICHOKIUMBA MUNGU ILI MUWEZE KUISHI.

Nawasilisha.
Bado hujathibitisha mungu yupo
 
Hapa umejibu swali gani kati ya hayo niliyouliza??
😄😄😄
Kwa upeo wako unadhani katika ulicho uliza nastahiki nikujibu ?

Swali langu lina maana sana kuliko kuendelea kujadiliana na wewe.

Nakupa udhuru,nimegundua wewe ni mtoto wa kike,katika jambo gumu kwangu ni kujadiliana na mtoto wa kike juu ya mambo ya kielimu.

Ushauri wangu,endelea kusoma maoni ya wadau,kisha uchague unacho kiona kipo sahihi kwako.

Nipo ....
 
asante sisemi kua kipo kwasababu sina ushahidi kua kipo hivo kwangu ni hakipo, je waweza nithibitishia kipo ili nami nipate mwanga!?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokuwa na ushahidi haina maana ya moja kwa moja kuwa hilo jambo si la kweli au halipo, ukisema kabisa kuwa fulani hakipo maana yake una uhakika na sababu, huwezi kudai kitu fulani hakipo kwa sababu et hauna ushahidi wa kuwepo hicho kitu.
 
Kama hujakariri weka theory yako au version yako ya special or general relativity, according to Einstein . Mimi naweza kuongelea mambo ya Mungu kwa jinsi alivyonigusa (experience yangu) na kwa kutumia maneno yangu tofauti kabisa na watu wengine. Lakini wewe na wenzako hamwezi. Hamna uhuru wa kujadili kitu, isipokuwa kurudia rudia vitu ambavyo wengine walishavisema hata kama havileti maana au maana yake haieleweki.
Wewe kama hujakariri tunga alphabwt yako tujue hujakariri.

Acha maneno ya kipumbavu.

Kitu chenye logic kitabaki kuwa na logic whether kimekaririwa au kimekuwa deducted na anayekisema.

Vivyo hivyo kwenye kitu kisichokuwa na logic.

Kwa hiyo, kukariri au kutokariri ni distraction tu.

Tuangalie logic.

Wewe unayekataa kukariri na kusema unamjua Mungu kwa experience yako, unaweza kuthibitisha yupo na hujamuota tu au hujajifariji kwa kujiaminisha tu?
 
Wewe unayekataa kukariri na kusema unamjua Mungu kwa experience yako, unaweza kuthibitisha yupo na hujamuota tu au hujajifariji kwa kujiaminisha tu?
Ndiyo. Mungu amenigusa na amenisaidia katika nyakati ambazo sikuwa na mtu wa kunisaidia. Nilipokuwa nimeshindwa kusamehe, nimeweza kusamehe, nilipokuwa nakosa upendo nimeweza upendo na hata kutotumia lugha inayoweza kuwaudhi wengine katika michango yangu ni kwa sababu ya Mungu. Nikisoma maandiko matakatifu napata inspiration na naona vitu kwa namna mpya na bora zaidi.
 
Sio sahihi,, umekosea.... Qur'an haijaandikwa na Muhammad SAW,, kwasababu alikuwa hajui kusoma wala kuandika.... This clearly shows your ignorance

Umekosea kujibu swali.....

Uthibitisho upo kwenye jibu la swali hili

" Qur'an ni maandiko ya nani ? “

Kwahiyo hizo scientific facts aliziandika Muhammad SAW ?
Sasa imekuaje ameweza kupatia scientific facts zote ?.... Alikuwa anabahatisha au ?
Utanithibitishiaje kama kweli walikusanya nadharia ?

Ulisoma logic kwenye hesabu ?
There is no such contradiction, if all propositions/statements are true independently.

Binadamu ametokana na vitu vyote hivo...
Ametokana na manii,, Ametokana na damu,, Ametokana from nothing.... Au hulijui hilo ?
Hapo itategemea na suala linalozungumziwa.....
mzushi flani kwa kukusaidia kdg,, swali langu linasema hv " Qur'an ni maandiko ya nani ? “

Hapo nahitaji unitajie Mtunzi wa kitabu sio mwandishi... Tofautisha hivo vitu viwili

Kuhusu mwandishi wa Qur'an, hili swali itakuwa nimekuonea, bila shaka utakua hujui ( ndo maana umesema Muhammad SAW)...

“ Qur'an ni maandiko ya nani ? “

kwako ewe ndugu mzushi flani
 
Sio sahihi,, umekosea.... Qur'an haijaandikwa na Muhammad SAW,, kwasababu alikuwa hajui kusoma wala kuandika.... This clearly shows your ignorance

Umekosea kujibu swali.....

Uthibitisho upo kwenye jibu la swali hili

" Qur'an ni maandiko ya nani ? “

Kwahiyo hizo scientific facts aliziandika Muhammad SAW ?
Sasa imekuaje ameweza kupatia scientific facts zote ?.... Alikuwa anabahatisha au ?
Utanithibitishiaje kama kweli walikusanya nadharia ?

Ulisoma logic kwenye hesabu ?
There is no such contradiction, if all propositions/statements are true independently.

Binadamu ametokana na vitu vyote hivo...
Ametokana na manii,, Ametokana na damu,, Ametokana from nothing.... Au hulijui hilo ?
Hapo itategemea na suala linalozungumziwa.....
umeuliza Qur an ni maandiko ya nani!? nimekujibu ya Muhammad, umekataaa jibu langu, hivyo wewe unatakiwa unipe jibu sahihi,

pia uniambie ni nani kaandika haya maandishi ya koran? maana umesema mohamedi hakujua kusoma wala kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeuliza Qur an ni maandiko ya nani!? nimekujibu ya Muhammad, umekataaa jibu langu, hivyo wewe unatakiwa unipe jibu sahihi,

pia uniambie ni nani kaandika haya maandishi ya koran? maana umesema mohamedi hakujua kusoma wala kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ana matatizo ya macho kuwa naye makini

Nishawahi mpa hii link iliyojibu swali lake tena kwa muumini mwenzake kabla hata mjadala haujaamishwa jukwaa la dini akasema haoni kitu

 
Hawawezi discussion au debate, maana wao wamekariri theories na hawawezi kueleza kwa mawazo yao mpaka wakariri alichosema huyo mwenye theory. Ndiyo maana ukiwachanganya kidogo wanakuwa arrogant. Sijawahi kuona watu wasiojua mijadala kama hawa jamaa. Kuna mwingine (yeye siyo atheist) ila naye ni mtu wa kukariri theories za wengine, ukiongea naye anataka mara zote ukubaline naye. Ila yeye hawezi na hataki akubaliane na unachosema. Na yote hayo ni kwa sababu ya kukariri tu maana hawawezi kuwa na kitu kipya. Hopeless guys and shame upon them for always repeating theories of other people without critiquing them.
Kweli Mkuu, hawana hoja wanawaamini wanasayansi ambao baadhi yao wamewakaririsha theories za kupinga uwepo wa Mungu kupitia imani ya Atheism. Bahati mbaya hao wanasayansi kuna mambo mengi wao wenyewe hawayajui na hawana majibu.
 
Back
Top Bottom