Wewe ulipofikia hitimisho kua mungu yupo ulitupa chanzo cha huyo mungu ni kipi?Kama umefikia hitimisho la kusema hakuna uwepo wa Mungu, sisi pia tunataka utujuze hivyo vitu(Hai na visivyo hai) vimetokeaje (formation) maana lazima unajua.
tumepewa akili na ufaham, sihitaj kukaririshwa eti sabab tu vitabu vimesema.Hivi mnavyotaka mthibitishiwe Mungu, huwa mnataraji nini katika huo uthibitisho yani mnataka muoneshwe huyo Mungu au ni kipi hasa ambacho mnakikusudia?
Na mungu pia tunaweza kumuona kwa njia hiyo?Hata atom na virus unaweza kuona kwa kutumia microscope tu.
Nani tena aliyekupa akili na ufahamu?tumepewa akili na ufaham, sihitaj kukaririshwa eti sabab tu vitabu vimesema.
Wanaodai hivyo nadhani wanaona ni jambo ambalo kwa kutumia akili wanaona haliingi akilini kwamba kuweze kutokea na kitu pasina chanzo.hoja ya kwamba mungu yupo na hana chanzo imetumia principle gani?
Mimi sipingi wala sikubali kwasababu sijui, na ndio maana niko hapa kuhoji kwa wanao dai kua kilichopo kinaweza kuwepo bila chanzo, hapo wananipa tafsiri kua chanzo ni unnecessary kumbe hata ulimwengu tunaweza kuulezea vizuri bila chanzo
Na wewe unakubaliana nao?Wanaodai hivyo nadhani wanaona ni jambo ambalo kwa kutumia akili wanaona haliingi akilini kwamba kuweze kutokea na kitu pasina chanzo.
Yeah nakubaliana nao, kwani we hukubaliani nao?Na wewe unakubaliana nao?
Kama neno ulimwengu unaoonekana kwa macho linakuchanganya, ibakie neno Ulimwengu. Haya nipe majibu mkuuUlimwengu unao onekana kwa macho ni nini?
Umetaja wanyama na mwezi kua ndio mfano wa ulimwengu unaoonekana kwa macho, lakini upepo ambao hauonekani kwa macho hautakua sehemu ya huu ulimwengu siyo?
Upepo unaonekana kwa macho?
Naendelea kusubiri majibu, tuendelee na mjadala Mkuu. Bado swali nililokuuliza haujanijibu.Wewe ulipofikia hitimisho kua mungu yupo ulitupa chanzo cha huyo mungu ni kipi?
Bado nasubiri majibu ya swali nililouliza. Tafadhali sana usilikwepe. Kama majibu unayo nipe kama hauna pia niambieNa mungu pia tunaweza kumuona kwa njia hiyo?
Mimi sielewiYeah nakubaliana nao, kwani we hukubaliani nao?
swali gani?Bado nasubiri majibu ya swali nililouliza. Tafadhali sana usilikwepe. Kama majibu unayo nipe kama hauna pia niambie
Aisee unanisikitisha mkuuswali gani?
Kwenu mnaojiita Atheist.swali gani?
Sasa hili swali nimelijibu labda kama unataka nilijibu tena na hapaKwenu mnaojiita Atheist.
Nyie mnasema hakuna uwepo wa Mungu.
Kama hakuna uwepo wa Mungu lazima mtakua mnajua formation of the universe (ulimwengu) Formation ya vitu vyote hivi vifiatavyo:-
1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote na viumbe vyote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti ya aina zote, mimea na mbogamboga za aina zote
NB: Mtuambie hivyo vitu vimetokeaje, msikimbie hili swali.
Mkuu nimekuuliza unipe formation ya hivyo vitu vyote ambavyo vipo katika ulimwengu tunaoishi.Sasa hili swali nimelijibu labda kama unataka nilijibu tena na hapa
Formation ya vitu vyote vimeasisiwa na ulimwengu, ulimwengu ndio chanzo cha vilivyomo, ulimwengu hauna chanzo
Umenisoma?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?hawa ndo binadamu baada ya kupewa pumzi wanamkufuru muumba wao watakavyo
ivi wewe unaweza ata kuumba nzi wewe unokanusha kua Mungu hayupo? Kiukweli m.damu ni mwenye kumkufuru Mungu wake
Ila wewe endelea kuamini ivo ivo utakuja kuujua ukweli siku ukifa saivi endelea kukaza fuvu ivo ivo
Kama huwezi kitu siyo lazima kujua kama huwezi. Kwa mfano, ninapokuwa nimelala usingizi nyumbani usiku siwezi kwenda kufanya kazi ofisini wakati niko usingizini. Lakini sijui kama nikiwa nimelala usingizini huwa naenda kufanya kazi usiku ofisini.Sasa unajuaje kwamba huwezi wewe kwa ujinga wako tu, na kiukweli yupo, au huwezi kwa sababu hayupo?
Kama huwezi kitu siyo lazima kujua kama huwezi. Kwa mfano, ninapokuwa nimelala usingizi nyumbani usiku siwezi kwenda kufanya kazi ofisini wakati niko usingizini. After all sijawahi kwenda kufanya kazi ofisini usiku. Lakini sijui kama nikiwa nimelala usingizini huwa naenda kufanya kazi usiku ofisini.Sasa unajuaje kwamba huwezi wewe kwa ujinga wako tu, na kiukweli yupo, au huwezi kwa sababu hayupo?
Mtu kutoweza kuthibitisha au kushindwa kuthibitisha kuwa Mungu yupo siyo ushahidi kwamba hayupo. Mfano, wewe ukishindwa kuthibitisha kuwa nimeoa siyo ushahidi kuwa sijaoa.Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha kwamba ukifa ndipo unaona?