Kwenu mnaojiita Atheist.
Nyie mnasema hakuna uwepo wa Mungu.
Kama hakuna uwepo wa Mungu lazima mtakua mnajua formation of the universe (ulimwengu) Formation ya vitu vyote hivi vifiatavyo:-
1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote na viumbe vyote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti ya aina zote, mimea na mbogamboga za aina zote
NB: Mtuambie hivyo vitu vimetokeaje, msikimbie hili swali.