Sababu gani zinazokuja bila uthibitisho?Kwenye kukubali kuamini jambo huwa hatutumii uthibitisho bali hutumia sababu na dalili za kuamini hivyo, kama ukiwa na uthibitisho wa hilo jambo sidhani tena kama utasema unaamini hilo jambo.
Je, tupo pamoja hapo?
Sijasema kuwa lazima niwe sahihi na ndio maana nikaita ni nadharia,Kwenye mabishano ya vijiwe vya kahawa ulichokiandika kinaweza kua hoja ila sio hapa, mfano wako ni irrelevant kwasababu watu wapo na wanathibitishika kua wapo ni tofauti sana na mtu anayesema jambo fulani limefanywa na mungu ambaye hathibitishiki kua yupo na ukaweka assertion kua yeye ndio kasababisha
Ni sawa na mimi nikuambie kufuli lako halijavunjwa na mtu limejivunja lenyewe na wala sihitaji kukuthibitishia kua ni kweli kitu hicho kinaweza kutokea kwasababu hata kama siwezi kukuthibitishia kua kufuli halijajivunja, haitathibitisha kua kufuli halijajivunja. Umeona?
Kwa hiyo kama sio lazima kujua ukweli kwa uthibitisho, maana yake sio lazima kuwa sahihi kwenye hayo madai yako ambayo hayajapitia uthibitisho
Kama umeelewa nilichosema, kuwepo kwa Mungu hakutegemei mtu athibitishe, asithibitishe au ashindwe kuthibitisha. Ni kama wewe uthibitishe au usithibitishe au ushindwe kuthibitisha kuwa kwa sababu ya kuwa mbali sana kuna nyota ambazo mwanga wake bado unasafiri haujaifikia dunia. Yaani, uthibitishe au usithibitishe kama hizo nyota zipo na mwanga wake bado unasafiri utafika tu siku moja.Nikikwambia mimi ndiye Mungu mwenyewe, una uwezo wa kuthibitisha au kutothibitisha hilo?
Kupitia evolution na njia zingine za ki natural ambazo zinakua facilitated na ulimwenguUlimwengu unawezaje kusababisha kila kilichopo? Thibitisha kisayansi na sio kinadharia wala kufikirika. Ukisema tu ulimwengu umesababisha kila kilichopo huo ni muujiza na si sayansi. Yaan ulimwengu umesababisha kila kitu kimiujiza sasa wewe utakua Atheist kweli? Au unaamini miujiza ya ulimwengu?
Thibitisha kisayansi ulimwengu umeform vipi vitu vyote hivi? Na si nadharia ya kufikirika unayoniambia hapa.
Nazungumzia imani hapa labda useme kuwa wewe hutaki imani au uniambie ni vp unaweza ukawa na uthibitisho wa jambo halafu bado ukawa unaamini hilo jambo.Sababu gani zinazokuja bila uthibitisho?
Nitakua sahihi kwamba umekubali kwa assumption ambazo huna uhakika?
Unaelewa kwamba kama hujapitia uthibitisho huwezi kuweka madai kua jambo fulani ni lazima liwe sahihi na kinyume chake haiwezekani?
kwa hiyo uwepo wa mungu ni nadharia?Sijasema kuwa lazima niwe sahihi na ndio maana nikaita ni nadharia,
Nazungumzia kuhusu kuwa kila kitu lazima kiwe na chanzo,tujikite hapo kwanza.kwa hiyo uwepo wa mungu ni nadharia?
Imani ingekua ni njia sahihi ya kufikia ukweli basi kungekua na dini moja yenye kuamini mungu mmojaNazungumzia imani hapa labda useme kuwa wewe hutaki imani au uniambie ni vp unaweza ukawa na uthibitisho wa jambo halafu bado ukawa unaamini hilo jambo.
Imani ingekua ni njia sahihi ya kufikia ukweli basi kungekua na dini moja yenye kuamini mungu mmoja
Imani inaonesha sio njia sahihi kuonesha ukweli wa kitu na ndio maana tuna hadi imani potofu, utajuaje kwamba imani yako sio potofu?
Kwa hiyo uwepo wa mungu sio nadharia?Nazungumzia kuhusu kuwa kila kitu lazima kiwe na chanzo,tujikite hapo kwanza.
Kwani nani kasema hakuna uthibitisho fake?Hata uthibitisho upo fake, tunaona watu wakitoa ushauhidi wa uongo huko mahakamani penye kutumika uthibitisho.
Ndio maana nikasema kwenye kuamini hutumika sababu na dalili na hapo tutajua nguvu ya hiyo imani husika.
Wewe ulisema kwamba kuna imani potofu na ndio maana mie nikasema hata uthibitisho fake pia upo, kwahiyo tunaweza kujua ipi imani sahihi na ipi ni potofu.Kwani nani kasema hakuna uthibitisho fake?
Unaelewa uthibitisho una hakikiwa kupitia observations?
Hiyo imani unaweza kuihakiki kwa njia gani?
Ukitumia sababu au dalili, huo ni ubashiri ambao kimsingi haukuweki moja kwa moja kwenye meza ya kukubali kua kitu hicho ni kweli. Hilo ni hope
Sasa kusema haiingii akilini kilichopo kuwepo bila chanzo, halafu hapo hapo unasema mungu yupo tukueleweje?
Tukuelewe kwamba unakubali mungu ana chanzo ila hujui hicho chanzo chake ni nini?
Bado hatujaelewana kwenye suala la kila kitu kuwa kuwa na chanzo ila unarukia kutaka chanzo cha Mungu.Kwani nani kasema hakuna uthibitisho fake?
Unaelewa uthibitisho una hakikiwa kupitia observations?
Hiyo imani unaweza kuihakiki kwa njia gani?
Ukitumia sababu au dalili, huo ni ubashiri ambao kimsingi haukuweki moja kwa moja kwenye meza ya kukubali kua kitu hicho ni kweli. Hilo ni hope
Sasa kusema haiingii akilini kilichopo kuwepo bila chanzo, halafu hapo hapo unasema mungu yupo tukueleweje?
Tukuelewe kwamba unakubali mungu ana chanzo ila hujui hicho chanzo chake ni nini?
Ni rahisi tu, uthibitisho unaweza kuwa verified, inatgemeana ulichokisema ni uthibitisho kilipitia verification?Wewe ulisema kwamba kuna imani potofu na ndio maana mie nikasema hata uthibitisho fake pia upo, kwahiyo tunaweza kujua ipi imani sahihi na ipi ni potofu.
Point ya msingi hapa ni kwamba kwenye imani huwa hatuamini kwa kutumia uthibitisho, tatizo hapo hupakubali ndio maana tunashindwa kuelewana huko mbele. Wewe labda uniambie ni jambo lipi ambalo wewe unaliamini baada ya uthibitisho?
Kwa kauli yako ya kusema kila kilichopo lazima kiwe na chanzoBado hatujaelewana kwenye suala la kila kitu kuwa kuwa na chanzo ila unarukia kutaka chanzo cha Mungu.
Nimekuomba unitajie kitu kimoja tu ambacho unakiamini baada ya kupata uthibitisho.Ni rahisi tu, uthibitisho unaweza kuwa verified, inatgemeana ulichokisema ni uthibitisho kilipitia verification?
Imani inaweza kuwa verified?
Kulingana na hoja yako ni kwamba kila kilichopo lazima kiwe na chanzo, na wewe umedai mungu yupo. Chanzo cha mungu ni nini?
Au tuseme hujui chanzi cha mungu ni jini ila unajua haiwezekani akawepo bila chanzo?
Narudia tena kwamba wewe haujakubali suala la kwamba kila kitu kuwa na chanzo, sasa point ya kuuliza chanzo cha Mungu ni ipi?Kwa kauli yako ya kusema kila kilichopo lazima kiwe na chanzo
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?
Irrelevant, mi ndo nimekuuliza unaweza ku verify imaniNimekuomba unitajie kitu kimoja tu ambacho unakiamini baada ya kupata uthibitisho.
Mbona wewe unafanya mjadala na mimi ambaye siamini mungu wako na bado umekua ukinuliza maana ya mungu, hukuona busara kukaa kimya wakati unajua sikubali kua mungu yupo?Narudia tena kwamba wewe haujakubali suala la kwamba kila kitu kuwa na chanzo, sasa point ya kuuliza chanzo cha Mungu ni ipi?