Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kwani wewe kuamini kuwa Diamond Platinumz ndiye Baba Mzazi wa Mzee Mwinyi kunafanya kweli Diamond awe ndiye Baba Mzazi wa huyo Rais Mstaafu?

Kuhusu formation ya vitu bado hujathibitisha kama vina formation.

Na kwa sababu ya ujinga wako unalazimisha kila kitu kiwe na formation bila kwanza hata kuleta huo uthibitisho kama vina formation.
Mkuu, mimi nataka kujua naomba unijuze hivi vitu vyote vimetokeaje? Kwa uthibitisho wa kisayansi na si kwa majibu ya kufikirika.

Unipe majibu ambayo yanathibitishika kisayansi na si hadisi ya kusimulika. Kama unayo majibu nijulishe kama hauna au haujui pia nijulishe.
 
Tunachokifanya hapa ni wewe unanilazimu ni switch kutoka kwenye mjadala kwenda kwenye somo
Hakuna anaekulazimu, mimi nataka kujua hivyo vitu vimetokeaje(formation) kwa uthibitisho wa kisayansi. Unachofanya wewe ni kunizungusha tu.
 
Hakuna anaekulazimu, mimi nataka kujua hivyo vitu vimetokeaje(formation) kwa uthibitisho wa kisayansi. Unachofanya wewe ni kunizungusha tu.
Sasa sikiliza, nenda kajisomee hayo masomo afu ukishaona umeelewa uje hapa tufanye mjadala
 
Mkuu, mimi nataka kujua naomba unijuze hivi vitu vyote vimetokeaje? Kwa uthibitisho wa kisayansi na si kwa majibu ya kufikirika.

Unipe majibu ambayo yanathibitishika kisayansi na si hadisi ya kusimulika. Kama unayo majibu nijulishe kama hauna au haujui pia nijulishe.
Uthibitisho siwezi kukupea Jf lazima tuwe laboratory.
 
Hakuna anaekulazimu, mimi nataka kujua hivyo vitu vimetokeaje(formation) kwa uthibitisho wa kisayansi. Unachofanya wewe ni kunizungusha tu.
Ili uelewe Evolution ni lazima uwe na knowledge ya Genetics hizi sio topic ndogo za biology siwezi nikakueleza kupitia JF ukaelewe. Ushahidi wa kisayansi wa evolution upo wakutosha lakini siwezi nikakuonesha fossils na kukuelezea kupitia social media hutanielewa Biology sio maandiiko ya biblia useme kila mtu atatafsiri anavotaka hii ni science it is based on facts and practical demonstration to prove the facts
 
Eeeh Mkuu kila kilichopo katika ulimwengu huu tunaoishi kipo limited to time, space and matter, lazima kina formation yake na kiwe kimeundwa na muundaji.

Unaposema nisione shida nikiambiwa dunia ilikuwepo tu haina chanzo, nitakua na wasiwasi nauwezo wako wa kufikiri

Kwanini?
Kwasababu vitu vyote hivi vinawezaje kuwepo bila kuwa na formation? Tena iliyo proved scientifically

Ukiniambia vilikuwepo tu, how? Vilikuwepo tu kwa kifikirika ama kimiujiza?

Sasa ukisema hivi vitu vilikuwepo tu, unatofauti gani na anaeamini Mungu ndie muumbaji.

Wewe si unajiita ni Atheist, thibitisha hivi vitu vimetokeaje (formation) kwa uthibitisho wa kisayansi, na si kwa majibu ya kufikirika.
Utofauti upo sababu ukisema mungu ni muumbaji wa vitu tunavyoviona umeleta swali lingine mungu yeye aliletwa na nani
 
Mkuu, mimi nataka kujua naomba unijuze hivi vitu vyote vimetokeaje? Kwa uthibitisho wa kisayansi na si kwa majibu ya kufikirika.

Unipe majibu ambayo yanathibitishika kisayansi na si hadisi ya kusimulika. Kama unayo majibu nijulishe kama hauna au haujui pia nijulishe.
Wewe ndiye unaleta habari za kukariri formation bila uthibitisho.

Na unachokifanya hapa ni kunilazimisha nikwambie jinsi Diamond alivyomlala Wema na kumzaa Mzee Mwinyi bila kwanza kuthibitisha kama ni kweli Diamond ndiye mzazi wa Mzee Mwinyi.

Unaweza kunipa uthibitisho wa kuwa Diamond ndiye Mzazi wa Mwinyi?

Una uhakika upi kwanza kwamba vitu hivyo vilitokea?

Kwa nini huu ufafanuzi unaukwepa?
 
Kwasababu chochote kinachoonekana kipo limited to time, space and matter lazima kiwe na formation
Chochote kinachoonekana? Kwa hiyo hewa kwa kuwa haionekani haina formation siyo?

I have told you earlier, time fundamentally is not real, it is a manifestation and limitation in speed and relative movements

Unaelewa hata maana ya hayo maelezo au ndiyo umeshakiriri tu time,space na matter ambazo unaziimba bila hata kuonesha huyo Mungu wako kwamba yuko kweli beyond hizo parameters au hayupo kabisa!?
 
Ili uelewe Evolution ni lazima uwe na knowledge ya Genetics hizi sio topic ndogo za biology siwezi nikakueleza kupitia JF ukaelewe. Ushahidi wa kisayansi wa evolution upo wakutosha lakini siwezi nikakuonesha fossils na kukuelezea kupitia social media hutanielewa Biology sio maandiiko ya biblia useme kila mtu atatafsiri anavotaka hii ni science it is based on facts and practical demonstration to prove the facts
Uniambie hizo facts how those thing were formed, ukisema huwezi kunielezea unanipa ukakasi. Mimi nataka kujua (scientifically)
 
Utofauti upo sababu ukisema mungu ni muumbaji wa vitu tunavyoviona umeleta swali lingine mungu yeye aliletwa na nani
Pia tambua wewe unaesema hakuna uwepo wa Mungu, umeleta swali jingine je hivi vitu vimetokea wapi? (Formation) ndio uniambie
 
Uniambie hizo facts how those thing were formed, ukisema huwezi kunielezea unanipa ukakasi. Mimi nataka kujua (scientifically)
Unaelewa maana ya practical demonstration hakuna test tube jamii forum hakuna kifaa chochote Cha biology laboratory HAKIPO hivi sio vitu vya maneno inatakiwa uone kwa macho kwanza ndo maelezo yafate tofauti na hapo ntakuwa najichosha kukueleza
 
Wewe ndiye unaleta habari za kukariri formation bila uthibitisho.

Na unachokifanya hapa ni kunilazimisha nikwambie jinsi Diamond alivyomlala Wema na kumzaa Mzee Mwinyi bila kwanza kuthibitisha kama ni kweli Diamond ndiye mzazi wa Mzee Mwinyi.

Unaweza kunipa uthibitisho wa kuwa Diamond ndiye Mzazi wa Mwinyi?

Una uhakika upi kwanza kwamba vitu hivyo vilitokea?

Kwa nini huu ufafanuzi unaukwepa?
Mkuu, bado haujanijibu swali langu. Mimi nataka kujua hivyo vitu vyote vimetokea wapi (formation) zake, naona unazunguka bila kunipa jibu
 
Chochote kinachoonekana? Kwa hiyo hewa kwa kuwa haionekani haina formation siyo?

I have told you earlier, time fundamentally is not real, it is a manifestation and limitation in speed and relative movements

Unaelewa hata maana ya hayo maelezo au ndiyo umeshakiriri tu time,space na matter ambazo unaziimba bila hata kuonesha huyo Mungu wako kwamba yuko kweli beyond hizo parameters au hayupo kabisa!?
Nasisitiza tena mkuu, naomba kujua hivyo vitu vimetokea wapi (formation) zake? Wewe unasema hakuna uwepo wa Mungu, naomba kujua (formation) ya hivyo vitu.
 
Mkuu, bado haujanijibu swali langu. Mimi nataka kujua hivyo vitu vyote vimetokea wapi (formation) zake, naona unazunguka bila kunipa jibu
Wewe mwenyewe unazunguka hujatupa jibu kama mungu ndio alivileta mungu ye alitokea wapi

Mi jibu nilikupa
Viumbe hai vimeletwa na evolution
Ulimwengu (universe) Big bang theory hiajakamilika lakini mpaka Sasa Ina maelezo yakutosha yenye ushahidi keamba ulimwengu haujaumbwa
 
Back
Top Bottom