Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Then, you've made this guy your god. Aren't you?

Nikisoma between the lines nadhani una tatizo fulani ambalo hujafanikiwa kulitatua wewe mwenyewe au na mtu mwingine na ndilo linalokufanya u'behave' namna hii. Una aina fulani ya arrogance ambayo sijui unataka kupata nini - kushinda mjadala at all costs? Kama ni hivyo, inatosha tu kutumia lugha inayoshawishi (persuasive) na siyo kulazimisha hoja na kila mara uonyeshe kuwa wengine tu ndiyo wasioelewa maneno unayotumia, wana hoja ambazo ni "obscurantist bullshit" and the like. Mara nyingi najizuia sana kutumia aina ileile ya lugha ya kuudhi kwa sababu si tabia yangu kufanya hivyo, lakini kusema kweli unakera sana! Una 'tendency' ya kulazimisha kwa wengine unachoona ni sahihi. Kama kwenye mtandao tu uko hivi, itakuwaje kwa wale unaoishi nao, unaofanya nao kazi au unaokutana nao? I'm sure, it's hell!
Inanilaumu kulazimisha wengine kilicho sahihi, wakati huo huo unanilazimisha kwamba ninachofanya mimi si sahihi.

Kwanza kabisa unaji contradict.

Pili, hujaelewa hata nilipoanzia, achilia mbali nilipomalizia.

Mimi sikulazimishi uone alichosema Einstein ni sahihi.

Ndiyo maana nikakuambia ukiwa unabishia hayo mambo, andika paper, chapisha kwenye journal labkueleweka la Physics.

Nakupa guarantee ukiweza kum prove Einstein kakosea kwenye fundamentals za Relativity kuhusu time, utapata nishanibya Nobel ya Physics.

Sasa hapo nimekulazimisha vipi uone ninachoandika mimi ni sahihi wakati kuna njia nzuri tu ya kupinga itakayokupa tuzo kubwa tu duniani?

Hebu nieleze nimekulazimishaje hapo?

Ukiketa obscurantists bullshit ya "what if..", nitaiita tu obsurantists bullshit.

Kwa sababu naweza kukuuliza "What if you are a tadpole who is incapable of understanding jack shit, and your thoughts do not really matter?"
 
Inanilaumu kulazimisha wengine kilicho sahihi, wakati huo huo unanilazimisha kwamba ninachofanya mimi si sahihi.

Kwanza kabisa unaji contradict.

Pili, hujaelewa hata nilipoanzia, achilia mbali nilipomalizia.

Mimi sikulazimishi uone alichosema Einstein ni sahihi.

Ndiyo maana nikakuambia ukiwa unabishia hayo mambo, andika paper, chapisha kwenye journal labkueleweka la Physics.

Nakupa guarantee ukiweza kum prove Einstein kakosea kwenye fundamentals za Relativity kuhusu time, utapata nishanibya Nobel ya Physics.

Sasa hapo nimekulazimisha vipi uone ninachoandika mimi ni sahihi wakati kuna njia nzuri tu ya kupinga itakayokupa tuzo kubwa tu duniani?

Hebu nieleze nimekulazimishaje hapo?

Ukiketa obscurantists bullshit ya "what if..", nitaiita tu obsurantists bullshit.

Kwa sababu naweza kukuuliza "What if you are a tadpole who is incapable of understanding jack shit, and your thoughts do not really matter?"
Kwanza shughulikia tatizo lako, kisha uje kuchangia ukiwa sober na kujenga hoja intelligently na siyo arrogantly.
 
Hawezi. Nimemuuliza baadhi ya maswali anadai hata akishindwa kuthibitisha haina maana kwamba sayansi haisemi ukweli, lakini yeye anataka usishindwe kuthibitisha siyo kwa namna anayoona yeye ni sahihi. Mfano, nimemuuliza kama anakubaliana na theory ya evolution, according to Darwin na pia kama anakubalina na alternative theories to Darwinism kama vile Lamarckism, orthogenesis, saltationism, catastrophism na creationism, anikwepa. Akadai swali ni irrelevant.
Pole sana mkuu, hao ndo Atheist ni wataalam wa kukwepa kujibu maswali. Mkomalie asikwepe watupe majibu kama na sisi tunavyowapa majibu yenye FACTS.
 
Kwani wapi nimedai mnipe uthibitisho physically kuonesha mungu yupo?
Hahahahaha duu mkuu wewe ni mtaalam wa kubadilika, Sikia nikwambie wewe pamoja na Atheist wote mkiweza kututhibitisha Hisia, upendo, homoni, stress n.k scientifically, mkatuonesha kwamba huu ni upendo, hizi ni stress n.k, mtakua na Mandate ya kutaka uthibitisho wa Mungu scientifically kama mnavyotaka.

Unataka uthibitisho wa Mungu methodologically wewe unaweza kuthibitisha hisia/stress methodologically/scientifically?
 
wapi umethibitisha?

weka nukuu ya post uliyojibu
Kwa faida yako narudia tena,

NATHITIBISHA MUNGU YUPO NA KWA USHAHIDI WA UUMBAJI WAKE ALIOUFANYA, WA KUUMBA:-
1. Ulimwengu usioonekana kwa macho (The unlimited universe from time, space and matter)

2. Ulimwengu unaoonekana kwa macho (The limited universe to time, space and matter)
-Hapa Mungu akaumba na kuudesign ulimwengu huu ukae vile alivyotaka yeye, kama:-
. Sayari zote
. Jua, mwezi , vimondo na nyota zote
. Hewa/upepo, mawingu na mifumo mbalimbali ya misimu ya mvua na majira

Mungu AKAITEUA SAYARI DUNIA NA KUIWEKEA MARIGHAFI RAFIKI KWA VIUMBE HAI VYOTE ILI WAISHI KATIKA SAYARI DUNIA. Uumbaji alioufanya katika sayari dunia ni kama ifuatavyo:-
. Ardhi yenye rutuba
. Madini, mafuta, gas ardhini
. Mimea ya kila aina kama nafaka, matunda, miti na mboga mboga ili viwe chakula kwa viumbe hai vyote.
. Mito, maziwa na bahari
. Samaki wa kila aina akawaumbia waishi kwenye maji.
. Ndege wa kila aina
. Wanyama wa kila aina waishio nchi kavu na kwenye maji
. MWISHO MUNGU ALIMUUMBA BINADAMU KWA UPEKEE KULIKO VIUMBE WENGINE, Binadamu alituumba kwa kutupa akili/utashi kwenye ubongo, akili hii inatambua jema na baya na kusaidia kiumbe BiNADAMU kufanya maamuzi yake kwa kujitegemea. Aliumba binadamu waa kila aina e.g mchina, mwafrika, mhindi, mzungu n.k

NB: Baada ya Mungu kudesign na kuiumba dunia kwa upekee, MUNGU akatuweka viumbe hai wooote tuishi kwa kutegemeana. Kuishi kwa kiumbe chochote duniani kunamtegemea Mungu. Ndio maana hata wewe Scars au Kiranga na Atheist wote ILI MUISHI INATAKIWA MVUTE HEWA YA OKSIJENI ALIOIUMBA MUNGU, MLE CHAKULA ALICHOKIUMBA MUNGU ILI MUWEZE KUISHI.

Nawasilisha.
 
Do we need to check if 10 is the square root of 2 if we know that the square root of 2 must be less than 2?

Unarudi kwenye habari ya muumbaji.

Unaelewa katika quantum physics cause and effect inavunjika, time inatoweka na hivyo hakuna cause and effect, kiumbwacho kinatokea kabla ya muumba na muumba anatokea baada ya alichoumba?

Unaelewa kwamba time is fundamentally relative and even an illusion, and if time is not fundamental, the entire question of cause and effect is an illusion due to our scale in the universe.

Haya mambo uneyasoma kwa kiasi gani mpaka kujiridhisha na habari za Mungu kuwapo?
Unautaalam wa kuingiza concepts zenye lengo la kupoteza au kubadili lengo la swali

Bahati mbaya unaejadiliana nae hoja ambae ni mimi, ni mtaalam wa kumfanya mtu asimame pale pale kwenye lengo la swali.

Narudia kusema, utazunguka uwezavyo ninachohitaji ni majibu ya swali kwenye post #584

Unasema "kiumbwacho kinatokea kabla ya muumba" UNAWEZA KUTHIBITISHA KILICHOTOKEA KABLA YA MUUMBA?
 
Hahahahaha duu mkuu wewe ni mtaalam wa kubadilika, Sikia nikwambie wewe pamoja na Atheist wote mkiweza kututhibitisha Hisia, upendo, homoni, stress n.k scientifically, mkatuonesha kwamba huu ni upendo, hizi ni stress n.k, mtakua na Mandate ya kutaka uthibitisho wa Mungu scientifically kama mnavyotaka.

Unataka uthibitisho wa Mungu methodologically wewe unaweza kuthibitisha hisia/stress methodologically/scientifically?
Kwani wapi nimedai mnipe uthibitisho physically kuonesha mungu yupo?
 
Unautaalam wa kuingiza concepts zenye lengo la kupoteza au kubadili lengo la swali

Bahati mbaya unaejadiliana nae hoja ambae ni mimi, ni mtaalam wa kumfanya mtu asimame pale pale kwenye lengo la swali.

Narudia kusema, utazunguka uwezavyo ninachohitaji ni majibu ya swali kwenye post #584

Unasema "kiumbwacho kinatokea kabla ya muumba" UNAWEZA KUTHIBITISHA KILICHOTOKEA KABLA YA MUUMBA?
Maswali yako ya post #584 ni irrelevant kama kutafuta square root ya 2 iliyo kubwa kuliko 2.

Ni irrelevant kama kutaka kuthibitisha mama wa mzee wa miaka 70 ni nani wakati swali tunalotaka kujibu ni kama binti wa miaka 5 ni mama wa mzee wa miaka 70.

Sihitqji kujua Mama wa mzee wa miaka 70 ni nani ili kujua kwamba huyu binti wa miaka 5 si mama wa mzee wa miaka 70.

Ukishikilia haya maswali nitaona huwezi mjadala. Unashikilia maswali tu.

Kama ni kushikilia maswali tu naweza kukuuliza maswali ambayo hayana logic.

Nikikuuliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani utanijubu vipi?

Kuhusu cause and effect, effect kutokea kabla ya cause, hii ni key concept ya Quantum Physics.

Unaelewa nini kuhusu Quantum Physics?
 
Kama hauna imani ya kuamini hakuna Mungu, BASI UNAWEZAJE KUSEMA HAKUNA MUNGU?


Hiyo definition yako ndio potofu, unawezaje kusema (Lack of beliefs/siamini) uwepo wa Mungu ikiwa huamini?
kwasababu hamjathibitisha Uwepo wake!. mi sisemi kua hayupo ila nataka uthibitisho kua yupo ili hata nikiamini nakua sina imani pofu(blind faith). siku mkithibitisha kua yupo bila kutoa hadithi mtazima hii mijadala!.

unapotuuliza swali kua, thibitisha mungu hayupo, jibu ni rahisi kua
"KISICHOPO HAKITHIBITISHIKI KUA HAKIPO, KWASABABU HAKIPO KUTHIBITISHIKA KUA HAKIPO"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali yako ya post #584 ni irrelevant kama kutafuta square root ya 2 iliyo kubwa kuliko 2.

Ni irrelevant kama kutaka kuthibitisha mama wa mzee wa miaka 70 ni nani wakati swali tunalotaka kujibu ni kama binti wa miaka 5 ni mama wa mzee wa miaka 70.

Sihitqji kujua Mama wa mzee wa miaka 70 ni nani ili kujua kwamba huyu binti wa miaka 5 si mama wa mzee wa miaka 70.

Ukishikilia haya maswali nitaona huwezi mjadala. Unashikilia maswali tu.

Kama ni kushikilia maswali tu naweza kukuuliza maswali ambayo hayana logic.

Nikikuuliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani utanijubu vipi?

Kuhusu cause and effect, effect kutokea kabla ya cause, hii ni key concept ya Quantum Physics.

Unaelewa nini kuhusu Quantum Physics?
Umekua ukiniuliza maswali nami nimekua nikijibu, iweje swali hilo nililoliuliza unazunguka kunipa jibu.

Nahitaji kujua position yako moja tu, ili nisiendelee kudai majibu ya swali hilo kwenye post #584

Nahitaji kujua kama ifuatavyo:-

Wewe unajua majibu ya swali hilo kwenye post #584?
 
kwasababu hamjathibitisha Uwepo wake!. mi sisemi kua hayupo ila nataka uthibitisho kua yupo ili hata nikiamini nakua sina imani pofu(blind faith). siku mkithibitisha kua yupo bila kutoa hadithi mtazima hii mijadala!.

unapotuuliza swali kua, thibitisha mungu hayupo, jibu ni rahisi kua
"KISICHOPO HAKITHIBITISHIKI KUA HAKIPO, KWASABABU HAKIPO KUTHIBITISHIKA KUA HAKIPO"


Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea post #812 juu tu hapo nimetoa uthibitisho na ushahidi wake. Karibu kwenye mjadala Mkuu.
 
kwasababu hamjathibitisha Uwepo wake!. mi sisemi kua hayupo ila nataka uthibitisho kua yupo ili hata nikiamini nakua sina imani pofu(blind faith). siku mkithibitisha kua yupo bila kutoa hadithi mtazima hii mijadala!.

unapotuuliza swali kua, thibitisha mungu hayupo, jibu ni rahisi kua
"KISICHOPO HAKITHIBITISHIKI KUA HAKIPO, KWASABABU HAKIPO KUTHIBITISHIKA KUA HAKIPO"


Sent using Jamii Forums mobile app
"kisichopo au unachodai kuwa hakipo?" kuna tofauti hapo.
 
Umekua ukiniuliza maswali nami nimekua nikijibu, iweje swali hilo nililoliuliza unazunguka kunipa jibu.

Nahitaji kujua position yako moja tu, ili nisiendelee kudai majibu ya swali hilo kwenye post #584

Nahitaji kujua kama ifuatavyo:-

Wewe unajua majibu ya swali hilo kwenye post #584?
Swali lipi kwenye post #584? Una maswali mengi.

Na nikikwambia sijui jibu la hata swali moja, lakini najua kwamba hakuna swali lenye jibu la Mungu, kwa sababu naweza kuwa sijui jibu la square root ya 2, lakini nikajua kwa jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2, na hivyo jibu la 10 si sahihi, utanielewa?

Hivi, ni lazima mimi nije umri wa mama yako mzazi ili kujua kwamba yeye ni mkubwa kuliko wewe?

Maswali yako ni kama vile tunabishana wewe na Mama yako mzazi nani mkubwa zaidi. Mimi nakwambia lazima Mama yako atakuwa mkubwa zaidi yako, wewe unang'ang'ania nitaje umri wa Mama yako.

Sihitaji kujua umri wa Mama yako mzazi ili kujua kwamba Mama yako mzazi ni mkubwa kuliko wewe.

Mabishano yetu kwa sasa ni kama hivi

Nzige Mdudu: Mimi Nzige Mdudu ni mkubwa kiumri kuliko mama yangu mzazi.

Kiranga: Hicho kitu hakiwezekani.

Nzige Mdudu: Kwa nini hakiweekani?

Kiranga: Kwa sababu wewe kuwa mkubwa kuliko mama yako mzazi ni contradiction, ungekuwa mkubwa kuliko mama yako mzazi asingeweza kukuzaa na hivyo asingeweza kuwa mama yako mzazi.

Nzige Mdudu: Kama unabisha mimi si mkubwa kuliko mama yangu mzazi, nitajie umri wa mama yangu mzazi tuulinganishe na umri wangu.

Kiranga: Sihitaji kujua umri wa mama yako mzazi kujua kwamba wewe si mkubwa kuliko mama yako mzazi, ninachohitaji kujua ni kwamba huyo ni mama yako mzazi, akishakuwa mama yako mzazi, umri wake wowote ule atakaokuwa nao utakuwa mkubwa kuliko wako.

Nzige Mdudu: Nitajie umri wa mama yangu mzazi sasa, mbona hunijibu hili swali?

Kiranga: Umri wa mama yako mzazi ni irrelevant hapa, akishakuwa mama yako mzazi tu, sihitaji kujua umri wake, umri wake wowote ule utakuwa mkubwa kuliko wako per ceteris peribus.

Nzige Mdudu: Wewe unajua kupinda maneno na kukwepa maswali, nitajie umri wa mama yangu mzai basi , unaujua umri wake?

Kiranga: Sihitaji kuujua umri wa mama yako mzazi kujua kwamba mama yako mzazi ni mkubwa kuliko wewe, swali la umri ni irrelevant, tukishajua ni mama yako mzazi tu anakuwa na umri mkubwa kuliko wewe

And on and on and on.

Ndipo mjadala huu kati yangu nawe ulipo sasa hivi.
 
Kwa faida yako narudia tena,

NATHITIBISHA MUNGU YUPO NA KWA USHAHIDI WA UUMBAJI WAKE ALIOUFANYA, WA KUUMBA:-
1. Ulimwengu usioonekana kwa macho (The unlimited universe from time, space and matter)

2. Ulimwengu unaoonekana kwa macho (The limited universe to time, space and matter)
-Hapa Mungu akaumba na kuudesign ulimwengu huu ukae vile alivyotaka yeye, kama:-
. Sayari zote
. Jua, mwezi , vimondo na nyota zote
. Hewa/upepo, mawingu na mifumo mbalimbali ya misimu ya mvua na majira

Mungu AKAITEUA SAYARI DUNIA NA KUIWEKEA MARIGHAFI RAFIKI KWA VIUMBE HAI VYOTE ILI WAISHI KATIKA SAYARI DUNIA. Uumbaji alioufanya katika sayari dunia ni kama ifuatavyo:-
. Ardhi yenye rutuba
. Madini, mafuta, gas ardhini
. Mimea ya kila aina kama nafaka, matunda, miti na mboga mboga ili viwe chakula kwa viumbe hai vyote.
. Mito, maziwa na bahari
. Samaki wa kila aina akawaumbia waishi kwenye maji.
. Ndege wa kila aina
. Wanyama wa kila aina waishio nchi kavu na kwenye maji
. MWISHO MUNGU ALIMUUMBA BINADAMU KWA UPEKEE KULIKO VIUMBE WENGINE, Binadamu alituumba kwa kutupa akili/utashi kwenye ubongo, akili hii inatambua jema na baya na kusaidia kiumbe BiNADAMU kufanya maamuzi yake kwa kujitegemea. Aliumba binadamu waa kila aina e.g mchina, mwafrika, mhindi, mzungu n.k

NB: Baada ya Mungu kudesign na kuiumba dunia kwa upekee, MUNGU akatuweka viumbe hai wooote tuishi kwa kutegemeana. Kuishi kwa kiumbe chochote duniani kunamtegemea Mungu. Ndio maana hata wewe Scars au Kiranga na Atheist wote ILI MUISHI INATAKIWA MVUTE HEWA YA OKSIJENI ALIOIUMBA MUNGU, MLE CHAKULA ALICHOKIUMBA MUNGU ILI MUWEZE KUISHI.

Nawasilisha.
hujathibitisha mkuu, reference ya huu uthibitisho imetoka wapi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali lipi kwenye post #584? Una maswali mengi.

Na nikikwambia sijui jibu la hata swali moja, lakini najua kwamba hakuna swali lenye jibu la Mungu, kwa sababu naweza kuwa sijui jibu la square root ya 2, lakini nikajua kwa jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2, na hivyo jibu la 10 si sahihi, utanielewa?

Hivi, ni lazima mimi nije umri wa mama yako mzazi ili kujua kwamba yeye ni mkubwa kuliko wewe?

Maswali yako ni kama vile tunabishana wewe na Mama yako mzazi nani mkubwa zaidi. Mimi nakwambia lazima Mama yako atakuwa mkubwa zaidi yako, wewe unang'ang'ania nitaje umri wa Mama yako.

Sihitaji kujua umri wa Mama yako mzazi ili kujua kwamba Mama yako mzazi ni mkubwa kuliko wewe.

Mabishano yetu kwa sasa ni kama hivi

Nzige Mdudu: Mimi Nzige Mdudu ni mkubwa kiumri kuliko mama yangu mzazi.

Kiranga: Hicho kitu hakiwezekani.

Nzige Mdudu: Kwa nini hakiweekani?

Kiranga: Kwa sababu wewe kuwa mkubwa kuliko mama yako mzazi ni contradiction, ungekuwa mkubwa kuliko mama yako mzazi asingeweza kukuzaa na hivyo asingeweza kuwa mama yako mzazi.

Nzige Mdudu: Kama unabisha mimi si mkubwa kuliko mama yangu mzazi, nitajie umri wa mama yangu mzazi tuulinganishe na umri wangu.

Kiranga: Sihitaji kujua umri wa mama yako mzazi kujua kwamba wewe si mkubwa kuliko mama yako mzazi, ninachohitaji kujua ni kwamba huyo ni mama yako mzazi, akishakuwa mama yako mzazi, umri wake wowote ule atakaokuwa nao utakuwa mkubwa kuliko wako.

Nzige Mdudu: Nitajie umri wa mama yangu mzazi sasa, mbona hunijibu hili swali?

Kiranga: Umri wa mama yako mzazi ni irrelevant hapa, akishakuwa mama yako mzazi tu, sihitaji kujua umri wake, umri wake wowote ule utakuwa mkubwa kuliko wako per ceteris peribus.

Nzige Mdudu: Wewe unajua kupinda maneno na kukwepa maswali, nitajie umri wa mama yangu mzai basi , unaujua umri wake?

Kiranga: Sihitaji kuujua umri wa mama yako mzazi kujua kwamba mama yako mzazi ni mkubwa kuliko wewe, swali la umri ni irrelevant, tukishajua ni mama yako mzazi tu anakuwa na umri mkubwa kuliko wewe

And on and on and on.

Ndipo mjadala huu kati yangu nawe ulipo sasa hivi.
na nnashangaa sana unaendelea kujibizana nae!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inanilaumu kulazimisha wengine kilicho sahihi, wakati huo huo unanilazimisha kwamba ninachofanya mimi si sahihi.

Kwanza kabisa unaji contradict.

Pili, hujaelewa hata nilipoanzia, achilia mbali nilipomalizia.

Mimi sikulazimishi uone alichosema Einstein ni sahihi.

Ndiyo maana nikakuambia ukiwa unabishia hayo mambo, andika paper, chapisha kwenye journal labkueleweka la Physics.

Nakupa guarantee ukiweza kum prove Einstein kakosea kwenye fundamentals za Relativity kuhusu time, utapata nishanibya Nobel ya Physics.

Sasa hapo nimekulazimisha vipi uone ninachoandika mimi ni sahihi wakati kuna njia nzuri tu ya kupinga itakayokupa tuzo kubwa tu duniani?

Hebu nieleze nimekulazimishaje hapo?

Ukiketa obscurantists bullshit ya "what if..", nitaiita tu obsurantists bullshit.

Kwa sababu naweza kukuuliza "What if you are a tadpole who is incapable of understanding jack shit, and your thoughts do not really matter?"

Pole sana mkuu, hao ndo Atheist ni wataalam wa kukwepa kujibu maswali. Mkomalie asikwepe watupe majibu kama na sisi tunavyowapa majibu yenye FACTS.
Hawawezi discussion au debate, maana wao wamekariri theories na hawawezi kueleza kwa mawazo yao mpaka wakariri alichosema huyo mwenye theory. Ndiyo maana ukiwachanganya kidogo wanakuwa arrogant. Sijawahi kuona watu wasiojua mijadala kama hawa jamaa. Kuna mwingine (yeye siyo atheist) ila naye ni mtu wa kukariri theories za wengine, ukiongea naye anataka mara zote ukubaline naye. Ila yeye hawezi na hataki akubaliane na unachosema. Na yote hayo ni kwa sababu ya kukariri tu maana hawawezi kuwa na kitu kipya. Hopeless guys and shame upon them for always repeating theories of other people without critiquing them.
 
Hawawezi discussion au debate, maana wao wamekariri theories na hawawezi kueleza kwa mawazo yao mpaka wakariri alichosema huyo mwenye theory. Ndiyo maana ukiwachanganya kidogo wanakuwa arrogant. Sijawahi kuona watu wasiojua mijadala kama hawa jamaa. Kuna mwingine (yeye siyo atheist) ila naye ni mtu wa kukariri theories za wengine, ukiongea naye anataka mara zote ukubaline naye. Ila yeye hawezi na hataki akubaliane na unachosema. Na yote hayo ni kwa sababu ya kukariri tu maana hawawezi kuwa na kitu kipya. Hopeless guys and shame upon them for always repeating theories of other people without critiquing them.
Unasema mimi nimekariri theory.

Wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli tujue habari zake si theory tu, tena ya uongo?
 
Qur-an imeandikwa na Muhammad, akidai kua ameshushiwa kutoka kwa Mungu!. hakuna uthibitisho kua kweli alipokea kwani kwa mujibu wa hadith za uislamu ni kua alikua akipokea usiku na kuwaambia asubuhi!.

hapo nimekujibu swali lako la kwanza, swali langu ni kua "Thibitisha Mungu yupo".

unasema kua kurani ina scientific facts kua zimevumbuliwa katika ulimwengu wa leo!.. mimi nasema kua Quran ilikusanya nadharia na kuziunganisha katika hicho kitambi ndo maana zina contradict! aghalabu, Quran inazungumzia chanzo cha mwanadamu kua ni manii, pia ikasema kua ni damu, pia ikasema kua ni vumbi, na ikasema kua ametokana na kisicho chochote(nothing)!, sasa hapo ni dhahiri utabaki kujiuliza katokana na nn!? vumbi, damu, manii, nothing!? hapa najenga hoja kua Quran ilikua inaotea(guess) haina uhakika ndo maana ina contradict!.


mi si muandishi mzuri na pia sio atheist,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom