Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Huwa namaliziaga na hii statement kama kuna mungu basi kitu cha karibu kufananisha na mungu ni jua maana bila jua viumbe vingi vitapotea kama sio kuisha vyote. So jua ni kitu kilichongia maisha sana humu duniani
Wewe sema tu unaamini mungu Jua basi,unaogopa nini sasa?
 
ulimwengu usioonekana wewe umeujua vipi, Nani kakwambia? Thibitisha kwanza mungu yupo
Kama wewe ni Atheist unasema hakuna uwepo wa Mungu, ni lazima utakua unajua hivyo vitu vimetokeaje. nimeuliza uniambie hivyo vitu vimetokeaje (formation) nahitaji majibu na sio kuzunguka. Jibu hoja hiyo kwanza.
 
Umesema ulimwengu unao onekana, hii kwangu ni hoja tata kwasababu ni kama unanielekeza kwa kunitofautishia na ulimwengu mwingine ambao hauonekani

Pili umedai kua kila kinacho onekana katika ulimwengu huu ni LAZIMA kiwe KIMEUNDWA

hapa pia pana utata

1. Mpaka unafikia kusema kua kila kinacho onekana ni lazima kiwe kimeundwa tafsiri yake ni kwamba ushafanya research na ukafikia conclusion with no doubt kua ni lazima kuwe na MUUNDAJI

Sasa hiyo research mimi sijaiona, nitathibitisha vipi kua ULAZIMA huo ni necessary? Kwa hiyo weka calculations zinazothibitisha kua kila kinacho onekana kimeundwa

2. Neno MUUNDAJI linani changanya, shabaha yako ni nini unaposema muundaji? Kwasababu ni swali ambalo limelenga kupata aina fulani ya jibu ambalo jibu hilo lipo specific kua ni lazima kuwe na dhana kama ya mtu, au kiumbe chochote lakini sio kwa kitu chochote ambacho hakiwezi kuwa refered kwa neno MUUNDAJI

mfano kama mtu akisema nani anayeleta mvua, kwangu hilo swali halija kaa poa kwasababu najua sababu ya mvua ni combination ya series ya vitu ambavyo huwezi kuvi refer kama MUUNDAJI, kama vile mawingu, sasa nafasi ya neno NANI hapo ina fit wapi?
Narudia tena kusema,

Ulimwengu unaoonekana kwa macho, ni huu ulimwengu tunaishi viumbe hai vyote na vitu vyake vyote ambavyo vingine sio viumbe hai, pia unaweza KUVIONA KWA MACHO YA KIBINADAMU (Yaani unaweza kuona mwezi, wanyama, madini, binadamu, ndege, samaki, gari, baiskeli, nyumba, meza n.k)

Katika ulimwengu huu kila unachokiona NI LAZIMA KIWE KIMEUNDWA NA MUUNDAJI, ni kwa sababu vitu vyote katika ulimwengu huu vilivyo hai na visivyo hai vipo limited to time, space and matter.

Kivipi?

Ili kuwe na matter ni lazima kuwe na space and time. Kitu(Matter) chochote ili kiwepo ni lazima kuwe na sehemu/nafasi(Space) ya kukiweka au sehemu kitakapokaa na muda(Time) wa hicho kitu kuundwa ili kiwepo/ ku-exist.

Hivyo, Gari ni Matter na gari lina formation yaani features/ingredients ambazo zimetumika kuliunda, ili gari liwepo ni lazima kuwe na space ya hilo gari kukaa na time ya hilo gari kuundwa, na yupo muundaji wa hilo gari. Hii ni scientifically.

Hivyo basi, HAKUNA CHOCHOTE(MATTER) KINACHOWEZA KUWEPO KATIKA SEHEMU(SPACE) YOYOTE BILA KUWA NA MUDA(TIME) WA HICHO KITU KUUNDWA NA MUUNDAJI.

MUUNDAJI NDIE ANAEUNDA KITU(Matter) KATIKA MUDA(Time) FULANI NA KUKIWEKA SEHEMU(Space) FULANI.

Hivyo, swali nililokuuliza ni vitu vinavyoonekana kwa macho nipo limited to time, space and matter. Haviwezi kuwepo bila kuundwa na muundaji.

NB: Nasubiri unipe majibu ya formation ya hivyo vitu nilivyokuuliza kwasababu unasema hakuna uwepo wa Mungu, basi ni lazima unajua na umejiridhisha hivyo vitu vyote unajua formation yake.
 
Mbona we unanipangia nijibu swali kwa namna ambavyo unataka wewe mi sisemi?

Utata nishakutajia uko wapi rudia kusoma post zangu
Hakuna sehemu niliyokupangia namna ya wewe kujibu, mimi nimeuliza swali nasubiri jibu.
 
Unaweza ukahisi umeuliza swali gumu lakini ni utopolo majibu ya maswali yako mengi sayansi imeshayatolea maelezo na mengine yapo kwenye utafiti zaidi . Ningependa kukusaidia kukupa majibu ila nataka uchangamshe ubongo wako uyatafute majibu.

Ninachojua hata hiyo dini unayo ishabikia haijajibu hayo maswali zaidia ya kusema sentensj moja tuu kuwa mungu ndio ameviumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hamna supporting evidence kama aliviumba
Mkuu karibu, kama una majibu ya hilo swali yalete.
 
TAMKO RASMI

Kwenu mnaojiita Atheist.
Nyie mnasema hakuna uwepo wa Mungu.

Kama hakuna uwepo wa Mungu lazima mtakua mnajua formation of the universe (ulimwengu) ulivyoanza na formation ya vitu vyote hivi vifiatavyo:-

1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti, mimea na mbogamboga za aina zote

NB: Mtuambie hivyo vitu vimetokeaje, msikimbie hili swali.

KAMA HAMNA MAJIBU YA HILI SWALI HAMFAI MJIITE ATHEIST, NA HAMTAKIWI KUSEMA HAKUNA UWEPO WA MUNGU IKIWA HAMNA MAJIBU YA HILO SWALI.

Ajitokeze Atheist yoyote atoe majibu, msipotoa majibu. Hamna mandate ya kujiita Atheist na mtakuwa ni watu mliopotoka tu.

NAWASILISHA KWENYU MNAOJIITA ATHEIST.
Swali 1 mpaka 4 imetokana na big bang, then gravitational force to hold things together ongezea some chemicalz reaction/ au physics on atomic fusion and atomic fission(radio activity)
kuanzia 5 kwenda chini evolution ndio imetengeneza hivyo vyote nimekupa kijuu juu nataka ukajisomee mwenyewe.
Ngoja nikupe namna ya kusearcg
1 formation of stars
2 formation of moon
3 formation of elements
4 what is life
5 what is natural selection
6 what is evolution.
Hayo maswali ukiyafanyia research utapata majibu ya maswali yako
 
Wewe sema tu unaamini mungu Jua basi,unaogopa nini sasa?
Nimesema kitu kilicho karibu na sifa za huyo mungu basi ni jua na bila jua maisha hapa duniani yangekuwa hayawezekani. At least jua naliona
 
Akili za Kiranga hazichunguziki mkuu, huyu ni miongoni mwa watu wenye uelewa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua na kuelezea mambo kwa marefu na mapana, huku yote yakiwa kwa ufasaha.
Kama Mungu mweza yote anachunguzwa, kuchambuliwa na kukosolewa, iweje huyo Kiranga? Kuna geniuses wanachunguzika, kuchambuliwa na kukoselewa pia. Yaani mwanadamu yeyote yule anachunguzika awe na uwezo mdogo sana au uwezo mkubwa sana.
 
Narudia tena kusema,

Ulimwengu unaoonekana kwa macho, ni huu ulimwengu tunaishi viumbe hai vyote na vitu vyake vyote ambavyo vingine sio viumbe hai, pia unaweza KUVIONA KWA MACHO YA KIBINADAMU (Yaani unaweza kuona mwezi, wanyama, madini, binadamu, ndege, samaki, gari, baiskeli, nyumba, meza n.k)

Katika ulimwengu huu kila unachokiona NI LAZIMA KIWE KIMEUNDWA NA MUUNDAJI, ni kwa sababu vitu vyote katika ulimwengu huu vilivyo hai na visivyo hai vipo limited to time, space and matter.

Kivipi?

Ili kuwe na matter ni lazima kuwe na space and time. Kitu(Matter) chochote ili kiwepo ni lazima kuwe na sehemu/nafasi(Space) ya kukiweka au sehemu kitakapokaa na muda(Time) wa hicho kitu kuundwa ili kiwepo/ ku-exist.

Hivyo, Gari ni Matter na gari lina formation yaani features/ingredients ambazo zimetumika kuliunda, ili gari liwepo ni lazima kuwe na space ya hilo gari kukaa na time ya hilo gari kuundwa, na yupo muundaji wa hilo gari. Hii ni scientifically.

Hivyo basi, HAKUNA CHOCHOTE(MATTER) KINACHOWEZA KUWEPO KATIKA SEHEMU(SPACE) YOYOTE BILA KUWA NA MUDA(TIME) WA HICHO KITU KUUNDWA NA MUUNDAJI.

MUUNDAJI NDIE ANAEUNDA KITU(Matter) KATIKA MUDA(Time) FULANI NA KUKIWEKA SEHEMU(Space) FULANI.

Hivyo, swali nililokuuliza ni vitu vinavyoonekana kwa macho nipo limited to time, space and matter. Haviwezi kuwepo bila kuundwa na muundaji.

NB: Nasubiri unipe majibu ya formation ya hivyo vitu nilivyokuuliza kwasababu unasema hakuna uwepo wa Mungu, basi ni lazima unajua na umejiridhisha hivyo vitu vyote unajua formation yake.
Mwezi na wanyama ndio ulimwengu unao onekana?
 
Swali 1 mpaka 4 imetokana na big bang, then gravitational force to hold things together ongezea some chemicalz reaction/ au physics on atomic fusion and atomic fission(radio activity)
kuanzia 5 kwenda chini evolution ndio imetengeneza hivyo vyote nimekupa kijuu juu nataka ukajisomee mwenyewe.
Ngoja nikupe namna ya kusearcg
1 formation of stars
2 formation of moon
3 formation of elements
4 what is life
5 what is natural selection
6 what is evolution.
Hayo maswali ukiyafanyia research utapata majibu ya maswali yako
Wewe ndio unijibu na sio mimi nikajisomee sasa itakua ni nini maana ya kuuliza swali?

Unasema 1 mpaka 4 imetokana na big bang, uniambie hiyo big bang ni nini? Imetokeaje? na imeform vipi hivyo vitu?

Uniambie pia hizo gravitational forces, chemical reaction, physics on atomic fusion and atomic fission ni nini? Zimetokeaje? Zilitokea tu kimiujiza na imeform vipi hivyo vitu?
 
Unajua hapo kuna vitu viwili,kuna hoja ya kwamba kila kilichopo kina chanzo Na kuna hoja ya kuwepo Mungu kuwa ndio chanzo cha hivyo vitu vyote na yeye hana chanzo.

Sasa wewe unaweza kuwa na una hoja ya msingi kwenye maswali yako ila sijajua kwamba hii hoja ya kwanza ya kwamba kila kilichopo kina chanzo unaikubali au unaipinga? yani ukiachana na hiyo hoja ya pili ya kuwa Mungu ndio chanzo cha hivyo vitu vyote na kuwa yeye hana chanzo.
hoja ya kwamba mungu yupo na hana chanzo imetumia principle gani?

Mimi sipingi wala sikubali kwasababu sijui, na ndio maana niko hapa kuhoji kwa wanao dai kua kilichopo kinaweza kuwepo bila chanzo, hapo wananipa tafsiri kua chanzo ni unnecessary kumbe hata ulimwengu tunaweza kuulezea vizuri bila chanzo
 
hoja ya kwamba mungu yupo na hana chanzo imetumia principle gani?

Mimi sipingi wala sikubali kwasababu sijui, na ndio maana niko hapa kuhoji kwa wanao dai kua kilichopo kinaweza kuwepo bila chanzo, hapo wananipa tafsiri kua chanzo ni unnecessary kumbe hata ulimwengu tunaweza kuulezea vizuri bila chanzo
Kama umefikia hitimisho la kusema hakuna uwepo wa Mungu, sisi pia tunataka utujuze hivyo vitu(Hai na visivyo hai) vimetokeaje (formation) maana lazima unajua.
 
Wewe ndio unijibu na sio mimi nikajisomee sasa itakua ni nini maana ya kuuliza swali?

Unasema 1 mpaka 4 imetokana na big bang, uniambie hiyo big bang ni nini? Imetokeaje? na imeform vipi hivyo vitu?

Uniambie pia hizo gravitational forces, chemical reaction, phuysics on atomic fusion and atomic fission ni nini? Zimetokeaje? Zilitokea tu kimiujiza na imeform vipi hivyo vitu?
Na mimi niambie mungu ametokea wapi. Maana swali lako limeshajibiwa miaka mingi iliyopita ila nyinyi bado hamjaweza jibu mungu ametokea wapi
 
Na mimi niambie mungu ametokea wapi. Maana swali lako limeshajibiwa miaka mingi iliyopita ila nyinyi bado hamjaweza jibu mungu ametokea wapi
Unaponiambia limeshajibiwa miaka mingi bado sikuelewi, nijibu hapa Mkuu. Nijibu kwanza hiyo hoja yangu hivyo vitu vimetokeaje(formation)
 
Mwezi na wanyama ni vitu vilivyopo katika ulimwengu unaoneekana kwa macho, je wewe huwezi kuona wanyama au mwezi? Kwa macho yako.
Ulimwengu unao onekana kwa macho ni nini?

Umetaja wanyama na mwezi kua ndio mfano wa ulimwengu unaoonekana kwa macho, lakini upepo ambao hauonekani kwa macho hautakua sehemu ya huu ulimwengu siyo?

Upepo unaonekana kwa macho?
 
Back
Top Bottom