Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Mkuu nimekuuliza unipe formation ya hivyo vitu vyote ambavyo vipo katika ulimwengu tunaoishi.

Unaniambia hivyo vitu vimeasisiwa na ulimwengu, huniambii ulimwengu umeasisi vipi na kuform hivyo vitu? Hivyo vitu vyote nilivyokuuliza ni Matter. Unipe facts how they formed scientifically.

Kwanini unipe facts scientifically kwasababu wewe hauamini katika miujiza, yaan ukisema ulimwengu umeasisi ni sawa na kusema hivyo vitu vimetokea tu kimiujiza without proof

Uniambie Ulimwengu umewezaje ku-form/kuunda vitu vyote hivi vifuatavyo:-

1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti, mimea na mbogamboga za aina zote
Formation nimekutajia kua ni ulimwengu, sasa we unataka jibu gani tofauti na hilo?

1. Sayari zimetokana na nebula

2. Swala la bahari limetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba

3. Ina maana haujui gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi?. Sikutegemea utauliza swali la namna hii

4. Samaki wametokana na maji, maji nimeelezea hapo juu

5. Ndege wame evolve kutoka kwa theropods

6. Wanyama wame evolved kutoka tiktaalik, kasome evolution

7. Binadamu, hili swali ni uzembe kuuliza

8. Miti na mimea imekuja baada ya mechanism ya maji kufanyika na tayari nimeelezea hapo juu
 
Kama huwezi kitu siyo lazima kujua kama huwezi. Kwa mfano, ninapokuwa nimelala usingizi nyumbani usiku siwezi kwenda kufanya kazi ofisini wakati niko usingizini. After all sijawahi kwenda kufanya kazi ofisini usiku. Lakini sijui kama nikiwa nimelala usingizini huwa naenda kufanya kazi usiku ofisini.

Nakwambia hivi.

Umeshindwa kwenda sehemu A, tuseme nchi ya Wagagagigikoko.

Hujawahi kwenda, huna ujuzi wa kwenda huko.

Nakuuliza, unajuaje kwamba umeshindwa kwenda hiyo nchi ya Wagagagigikoko ilhali nchi hiyo ipo kweli, na hujashindwa kwa sababu nchi hiyo ni ya kufikirika tu, haipo kiuhalisia, na kwa hiyo huwezi kwenda ukafika kwenye hiyo nchi?

Unanijibu kwamba kama huwezi kitu sio lazima ujue kwamba huwezi.

Wewe hata swali langu umelielewa? Achilia mbali kulinibu!

Mimi nakuuliza kuhusu kujua. Unajuaje.

Wewr unanijibu kuhusu kutojua.

Inaonekana umekaa sana kwenye kutojua mpaka umejibu swali bila kulijua.
 
Formation nimekutajia kua ni ulimwengu, sasa we unataka jibu gani tofauti na hilo?

1. Sayari zimetokana na nebula

2. Swala la bahari limetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba

3. Ina maana haujui gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi?. Sikutegemea utauliza swali la namna hii

4. Samaki wametokana na maji, maji nimeelezea hapo juu

5. Ndege wame evolve kutoka kwa theropods

6. Wanyama wame evolved kutoka tiktaalik, kasome evolution

7. Binadamu, hili swali ni uzembe kuuliza

8. Miti na mimea imekuja baada ya mechanism ya maji kufanyika na tayari nimeelezea hapo juu
Yani hawa watu hawa yni wewe ushalishwa ety kila kitu kime evolve tuu mbona iyo simu yko unotumia haijaevolve tuu imetengenezwa na kampuni

Yni ni akili ndogo sana ya kufahamu kua Yupo aliyeumba ila nyie mnajitia uziwi
 
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Wewe ulishawahi kufa ukathibitisha kwamba ukifa ndipo unaona?
Naomba nianze na kukuuliza swali dogo sana

Ivi iyo simu yako unotumia imeevolve kutoka wapi au imetengenezwa na kampuni?

ukinijibu hili swali tutaendelea na mjadala
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu kutengeneza vitu haimaanishi na viumbe tumeumbwa. Science inaonyesha asili ya viumbe wote duniani na hamna sehemu ilionyesha tuliumbwa kwa udongo tukapuliziwa pumzi.
Peleka ujinga wako huko kma iyo simu yko tu imetengenezwa kwanini Ardhi na mbingu na vyote vilivyomo visitengenezwe?
Mbona hatuoni Izi simu zikievolve tuu kama mnavojidai nyinyi anything kimeevolve tuu

Iyo science yenu mlolishwa kua anything evolve waambieni wafanye na pesa,simu,nguo,magari yaevolve tuu kama ni kweli

Nyie mumelishwa imani na hao maatheists lkn kusema ukweli hmna chchte nyinyi ila kila kitu munamtegemea Muumba
 
Kuna mwamba mmoja humu maarufu alisema binadamu tumeumbwa kwa udongo kwasababu hata miili yetu imethibitishwa kuwa na madini ambayo yanapatikana kwenye udongo

Huyo mwamba alipewa kongole sana, mi nikamuuliza vyakula vyote tunavyokula vinatoka ardhini utasemaje kua hayo madini ya mwilini yametokana na udongo alioutumua mungu kuumba na sio kwamba kupitia vyakula tunavyokula vilivyo absorb hayo madini ardhini?

Mwamba akanyuti hakutaka kabisa kunijibu
Kama unasema vitu vimeevolve tuu mbona hiki chakula hakijaevolve tuu kinatoka Ardhini hebu thibitisha hili
 
Nimesema kitu kilicho karibu na sifa za huyo mungu basi ni jua na bila jua maisha hapa duniani yangekuwa hayawezekani. At least jua naliona
Inajulikana wapo watu wanaomini kwamba jua ni mungu, na unaonesha kwamba dhana ya kuwepo mungu at least ina fit kwa jua.

Kupatwa kwa jua.
 
1. Sayari zimetokana na nebula
Unasema Sayari zimetokana na Nebula,
Nebula ni Matter niambie hii Nebula imetokea wapi? Formation yake kisayansi, imeform vipi sayari zote?, Au Nebula imetokea tu kimiujiza? Ukisema Nebula imeform sayari bila kuniambia Nebula ilitokea wapi kwanza, huo utakua ni muujiza na sio sayansi.

Niambie hiyo Nebula ilitokea wapi?(formation) yake, imeform vipi Sayari zote?


2. Swala la bahari limetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba
Niambie hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi? (formation) zake au zilitokea tu kimiujiza? Ukiniambia bahari imetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba bila kuniambia hiyo miamba na wingu lenye dust vimetokeaje (formation) scientifically huo utakua ni muujiza kitu ambacho nyie hamuamini katika muujiza.

Niambie hiyo miamba na wingu lenye dust formation yake, vimetokea vipi na vimeform vipi bahari, mito na maziwa yote? Kisayansi.


3. Ina maana haujui gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi?. Sikutegemea utauliza swali la namna hii
Kama gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi, nipe kwanza formation ya mimea na hao wanyama walitokea vipi?(formation) na wameform vipi gesi na mafuta kisayansi.


4. Samaki wametokana na maji, maji nimeelezea hapo juu
Kama samaki wametokana na maji, niambie hayo maji yametokeaje(formation) yake na yameform vipi samaki wa aina zote? Hayo maji yalikuwepo tu kimiujiza?


5. Ndege wame evolve kutoka kwa theropods
Uniambie theropods imetokeaje vipi(formation), au imetokea tu kimiujiza? Niambie kisayansi theropods imetokea vipi na imeform vipi Ndege wa aina zote?


6. Wanyama wame evolved kutoka tiktaalik
Kama wanyama wame evolve kutoka tiktaalik, niambie tiktaalik imetokea vipi(formation) au imetokea tu kimiujiza? Kusikojulikana. Imeform vipi wanyama wa aina zote kisayansi.


7. Binadamu, hili swali ni uzembe kuuliza
Niambie formation ya binadamu wametokea vipi?


8. Miti na mimea imekuja baada ya mechanism ya maji kufanyika na tayari nimeelezea hapo juu
Uniambie hayo maji yametokea vipi(formation) yake na yameform vipi miti na mimea ya aina zote yalio baharini, mito maziwa na nchi kavu. Usiniambie miti imetokana na maji bila kuniambia maji kwanza yalitokeaje? na yameform vipi miti na mimea kisayansi.


NB: Bado nasubiria majibu. Mfano:- Nakukumbusha ukiniambia JUICE YA PARACHICHI IMETOKANA NA MAJI, TUNDA PARACHICHI NA SUKARI, NITAKUOMBA UNIAMBIE KWANZA(Formation) ya PARACHICHI LIMETOKA WAPI, MAJI YAMETOKA WAPI NA SUKARI, JE VIMETOKEA TU KIMIUJIZA? Uniambie kisayansi vimetoka wapi kwanza, alafu ndio uniambie process iliyotumika kuform juice ya parachichi.
 
Nakwambia hivi.

Umeshindwa kwenda sehemu A, tuseme nchi ya Wagagagigikoko.

Hujawahi kwenda, huna ujuzi wa kwenda huko.

Nakuuliza, unajuaje kwamba umeshindwa kwenda hiyo nchi ya Wagagagigikoko ilhali nchi hiyo ipo kweli, na hujashindwa kwa sababu nchi hiyo ni ya kufikirika tu, haipo kiuhalisia, na kwa hiyo huwezi kwenda ukafika kwenye hiyo nchi?

Unanijibu kwamba kama huwezi kitu sio lazima ujue kwamba huwezi.

Wewe hata swali langu umelielewa? Achilia mbali kulinibu!

Mimi nakuuliza kuhusu kujua. Unajuaje.

Wewr unanijibu kuhusu kutojua.

Inaonekana umekaa sana kwenye kutojua mpaka umejibu swali bila kulijua.
Sasa kama hiyo nchi ya wagagagigikoko hujawahi kwenda na wala huna ujuzi wa kwenda huko, utajuaje kuwa ni ya kufikirika tu na haipo? Mimi ninachosema ni kwamba kama nikishindwa kuthibitisha kuwa wewe ulikuwa Mkatoliki na ukaachana na Ukatoliki, siyo ushahidi a) kuwa wewe siyo Mkatoliki na hujaachana na Ukatoliki na b) siyo ushahidi kuwa wewe ni Mkatoliki na hujaachana na Ukatoliki. Vivyo hivyo, kuwepo kwa Mungu - hakutegemei kuweza kuthibitisha uwepo wake au kuweza kuthibitisha kutokuwepo kwake - maana Mungu ni beyond unachoweza kuthibitisha au hata usichoweza kuthibitisha. Mfano, nikishindwa kuthibitisha jinsi dunia ilivyoanza siyo ushahidi kwamba dunia haikuanza au haipo. Na hata nikiweza kuthibitisha siyo ushahidi kuwa ipo kwa sababu kuwepo wake au kutokuwepo kwake hakutegemei kuweza kuthibitisha au kushindwa kuthibitisha kwangu. Whether nithibitishe au nisithibitishe au nishindwe kuthibitisha - dunia ipo na ilianza wakati fulani.
 
Yani hawa watu hawa yni wewe ushalishwa ety kila kitu kime evolve tuu mbona iyo simu yko unotumia haijaevolve tuu imetengenezwa na kampuni

Yni ni akili ndogo sana ya kufahamu kua Yupo aliyeumba ila nyie mnajitia uziwi
Umeishia langapi?
 
Unasema Sayari zimetokana na Nebula,
Nebula ni Matter niambie hii Nebula imetokea wapi? Formation yake kisayansi, imeform vipi sayari zote?, Au Nebula imetokea tu kimiujiza? Ukisema Nebula imeform sayari bila kuniambia Nebula ilitokea wapi kwanza, huo utakua ni muujiza na sio sayansi.

Niambie hiyo Nebula ilitokea wapi?(formation) yake, imeform vipi Sayari zote?



Niambie hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi? (formation) zake au zilitokea tu kimiujiza? Ukiniambia bahari imetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba bila kuniambia hiyo miamba na wingu lenye dust vimetokeaje (formation) scientifically huo utakua ni muujiza kitu ambacho nyie hamuamini katika muujiza.

Niambie hiyo miamba na wingu lenye dust formation yake, vimetokea vipi na vimeform vipi bahari, mito na maziwa yote? Kisayansi.



Kama gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi, nipe kwanza formation ya mimea na hao wanyama walitokea vipi?(formation) na wameform vipi gesi na mafuta kisayansi.



Kama samaki wametokana na maji, niambie hayo maji yametokeaje(formation) yake na yameform vipi samaki wa aina zote? Hayo maji yalikuwepo tu kimiujiza?



Uniambie theropods imetokeaje vipi(formation), au imetokea tu kimiujiza? Niambie kisayansi theropods imetokea vipi na imeform vipi Ndege wa aina zote?



Kama wanyama wame evolve kutoka tiktaalik, niambie tiktaalik imetokea vipi(formation) au imetokea tu kimiujiza? Kusikojulikana. Imeform vipi wanyama wa aina zote kisayansi.



Niambie formation ya binadamu wametokea vipi?



Uniambie hayo maji yametokea vipi(formation) yake na yameform vipi miti na mimea ya aina zote yalio baharini, mito maziwa na nchi kavu. Usiniambie miti imetokana na maji bila kuniambia maji kwanza yalitokeaje? na yameform vipi miti na mimea kisayansi.


NB: Bado nasubiria majibu. Mfano:- Nakukumbusha ukiniambia JUICE YA PARACHICHI IMETOKANA NA MAJI, TUNDA PARACHICHI NA SUKARI, NITAKUOMBA UNIAMBIE KWANZA(Formation) ya PARACHICHI LIMETOKA WAPI, MAJI YAMETOKA WAPI NA SUKARI, JE VIMETOKEA TU KIMIUJIZA? Uniambie kisayansi vimetoka wapi kwanza, alafu ndio uniambie process iliyotumika kuform juice ya parachichi.
unauliza maswali ambayo nisha elezea mapema kabisa

Nilivyokuambia kua kila kilichomo ndani ya ulimwengu kimesababishwa na ulimwengu except ulimwengu, ulielewaje?
 
Back
Top Bottom