Shida yenu hamjui wapi mshike, hakuna aliyekataa kama mpagani hawezi kuwa mwema.
Hoja ipo katika matumizi ya tamko "Sadaka". Unatoa sadaka kwa ajili ya nini na kwa nani ?
Kingine hamjui hata wapi pakuchukua maana za maneno, mwenzako akaenda Wikipedia au huko alikochukua, nikajua amepita kwenye Kamusi ya Waarabu wenyewe hata moja akachukua maana ya tamko hilo, sababu hata "tabasamu" nalo ni sadaka, lakini utaulizwa kwa nani na kwanini ?
Sasa nina uhakika mimi nimesoma vitabu vingi nje ya dini kukuzidi wewe. Msifikiri sisi wajinga kama nyinyi, sisi kila kitu tunakirudisha kwa watu wake.