Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje kama duniani kuna jambo baya? Kila kitu si kilitokana na mlipuko wa utupu tena kwa bahati tu? Reference yako ni nini kujua lipi baya na lipi jema?Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, mabaya yasingewezekana kuwepo.
Mabaya yanawezekana kuwepo.
Hilo linathibitisha Mungu huyo hayupo.
Mungu si complex, kwa sababu hayupo.Mungu sio complex. Hili umelitoa wapi ikiwa Mungu hayupo?
Wakipata vihela kidogo, wakawasoma philosophers wawili watatu basiii wanamfuta Mungu.. kiburi cha kijinga kabisa....!Shida yenu hamjui wapi mshike, hakuna aliyekataa kama mpagani hawezi kuwa mwema.
Hoja ipo katika matumizi ya tamko "Sadaka". Unatoa sadaka kwa ajili ya nini na kwa nani ?
Kingine hamjui hata wapi pakuchukua maana za maneno, mwenzako akaenda Wikipedia au huko alikochukua, nikajua amepita kwenye Kamusi ya Waarabu wenyewe hata moja akachukua maana ya tamko hilo, sababu hata "tabasamu" nalo ni sadaka, lakini utaulizwa kwa nani na kwanini ?
Sasa nina uhakika mimi nimesoma vitabu vingi nje ya dini kukuzidi wewe. Msifikiri sisi wajinga kama nyinyi, sisi kila kitu tunakirudisha kwa watu wake.
Hujathibitisha Mungu yupo.Wakipata vihela kidogo, wakawasoma philosophers wawili watatu basiii wanamfuta Mungu.. kiburi cha kijinga kabisa....!
Mungu ni muumbaji asiyeumbwa kwasababu yeye ni chanzo cha kila kitu. Hahitaji kuumbwa kwasababu yeye ndio chanzo cha hii dimension yote iliyopo.Mungu si complex, kwa sababu hayupo.
Nakueleza wewe unayesema Mungu yupo.
Ikiwa kilicho complex ni lazima kiwe kimeumbwa na kilicho complex zaidi, hilo litathibitisha Mungu muumba vyote hawezi kuwepo.
Kwa sababu hata yeye itabidi awe na muumba wake, na akihitaji muumba wake, anakuwa si muumba vyote.
Kwanini unaandika uongo ? Nilikwambia unatakiwa ujifunze sana maana za maneno unayo yatumia.Wewe unaongelea neno, mimi naongelea dhana.
Hivyo umebaki kwenye lugha moja, wakati mimi nimekusanya lugha zote katika dhana.
Hiyo ndiyo tofauti yako na mimi.
Wa Shinto wanatoa sadaka?Kwanini unaandika uongo ? Nilikwambia unatakiwa ujifunze sana maana za maneno unayo yatumia.
Hilo neno halina maana ? Halitumiki mpaka useme naongelea neno na wewe unasema unaongelea dhana ? Dhana ni wazo, na neno ni tamko lenye maana na kufanyiwa kazi kwa munasaba husika.
Tamko ulilo litumia lina asili, na asili yake ni Kiarabu, kwahiyo watu wa kwanza kuwauliza wenye neno lao, kisha lugha nyingine inakuja kufasiri kwa kufata maana ya watu husika. Kama ilivyo maneno yenye asili ya Kiingereza, marejo ya maana ni kwa wenye neno lao.
Sasa lugha gani umekusanya, wakati aliyefasiri neno hilo kwa kiingereza hajakidhi haja ya tamko husika ?
Unajuaje hilo ni kweli na si hadithi uliyojazwa kwa uongo tu?Mungu ni muumbaji asiyeumbwa kwasababu yeye ni chanzo cha kila kitu. Hahitaji kuumbwa kwasababu yeye ndio chanzo cha hii dimension yote iliyopo.
Hujathibitisha Mungu yupo kweli.Tuendelee kuwakumbusha hawa watu bila kuchoka.
Siwajui.Wa Shinto wanatoa sadaka?
Ok nisiegemee upande wowote, wapo wengine ambao wanaomba na kujibiwa hao unawazungumzia vp?Basi niseme hajibu tu kwakwel mana mambo yanavyokwenda ni kama nisipotumia akili yangu aisee hakuna kitakachotokea
Sasa huoni kwamba umeshajimalizia habari za sadaka bila kujua mambo mengi sana na ndiyo maana hatuelewani?Siwajui.
Haya mambo ya complexity nimeyaandika wapi? Kila kitu kina chanzo chake. Mungu ndio chanzo cha kila kitu.Unajuaje hilo ni kweli na si hadithi uliyojazwa kwa uongo tu?
Na huoni kwamba, ukiruhusu Mungu kuwa muumbaji asiyeumbwa, umeruhusu hata vingine kuwepo bila kuumbwa na hivyo kuondoa sababu ya Mungu muumbaji kuwepo?
Mbona unaweka arbitrary rules?
Mara Mungu anahitajika kuwepo kama muumbaji, kwa kuwa complexity haiwezi kuwepo bila kuumbwa, mara Mungu hakuumbwa.
This is a contradion.
It shows that that God does not exist.
He is just a made up story, one that is not even logically consistent.
Unajuaje wanaomba na kujibiwa?Ok nisiegemee upande wowote, wapo wengine ambao wanaomba na kujibiwa hao unawazungumzia vp?
Unajua maana ya tamko "msingi" ? Mimi nina msingi yaani mizani, kwayo linalokuja linapimwa humo kisha hukumu inatoka. Kwahiyo kutokuwajua hakubadilishi chochote kwa namna yoyote. Wewe unaye wajua sema kisha tuwaweke sehemu wanayo stahiki.Sasa huoni kwamba umeshajimalizia habari za sadaka bila kujua mambo mengi sana na ndiyo maana hatuelewani?
Kwa kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa.Unajuaje wanaomba na kujibiwa?