Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unajuaje kupatikana au kutokea kile walichoomba kumesababishwa na maombi kujibiwa, na si kitu kingine chochote?Kwa kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje kupatikana au kutokea kile walichoomba kumesababishwa na maombi kujibiwa, na si kitu kingine chochote?Kwa kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa.
Hilo swali hana jibu lake kwa sababu huko kudai uthibitisho ni kama wimbo tu ni kitu alichokikariri, uthibitisho si kitu ambacho kilichomfanya aseme hakuna Mungu kwamba et hakuna uthibitisho ndio maana anasema Mungu hayupo.Wewe unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Utajuaje kama huo utakaopewa ndio uthibitisho?
Nipe uthibitisho kwanza.Wewe unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Utajuaje kama huo utakaopewa ndio uthibitisho?
Swali nimelijibu.Hilo swali hana jibu lake kwa sababu huko kudai uthibitisho ni kama wimbo tu ni kitu alichokikariri, uthibitisho si kitu ambacho kilichomfanya aseme hakuna Mungu kwamba et hakuna uthibitisho ndio maana anasema Mungu hayupo.
Maombi kwa Mungu ni suala la imani hivyo kwenye kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa inawezakuwa ni majibu ya maombi kwa mwenye kuamini au inaweza kuwa ni kitu chengine.Unajuaje kupatikana au kutokea kile walichoomba kumesababishwa na maombi kujibiwa, na si kitu kingine chochote?
Si mara moja kuulizwa hilo swali hata mimi nilikuuliza sana swali kama hilo.Swali nimelijibu.
Acha ku assume.
Ume assume sitaweza kulijibu swali.Si mara moja kuulizwa hilo swali hata mimi nilikuuliza sana swali kama hilo.
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.Mjadala uendelee bila jazba wala kashfa.
Nakuuliza unajuaje ni A na si B.Maombi kwa Mungu ni suala la imani hivyo kwenye kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa inawezakuwa ni majibu ya maombi kwa mwenye kuamini au inaweza kuwa ni kitu chengine.
Makosa gani na wakati kweli haujajibu hilo swali, unachoulizwa chengine na unachokuja kukijaza chengine na ndio ulichokifanya.Ume assume sitaweza kulijibu swali.
Nimelijibu.
Ume assume kwa makosa.
Kubali tu.
Ungeeleza basi hiyo B ni nini, wewe umeuliza najuaje kwamba kilichotokea ni majibu ya maombi au kitu chengine ila hujaeleza hicho chengine ni kipi ili tuchambue kilichotokea ni majibu ya maombi au ni hicho kitu chengine.Nakuuliza unajuaje ni A na si B.
Unanijibu inawezekana ni A au B.
Hujajibu swali.
Umekubali hujui kutenganisha A na B.
Uthibitisho mmoja ni moral law. Dunia nzima kuna ufanano wa tafsiri wa kufahamu wema au ubaya. Mungu ameumba utashi huu ndani ya kila mwanadamu. Imekuwa point of reference bila kujali mtu yupo wapi.Nipe uthibitisho kwanza.
Mimi naanzia kutaka uthibitisho ulio logically consistent na usioweza kuwa contradicted.
Maombi kwa Mungu ni suala la imani hivyo kwenye kupatikana au kutokea kwa kile kilichoombwa inawezakuwa ni majibu ya maombi kwa mwenye kuamini au inaweza kuwa ni kitu chengine.
Mmeanzisha ligi na Kiranga, poleniUthibitisho mmoja ni moral law. Dunia nzima kuna ufanano wa tafsiri wa kufahamu wema au ubaya. Mungu ameumba utashi huu ndani ya kila mwanadamu. Imekuwa point of reference bila kujali mtu yupo wapi.
Sasa utafahamu vipi kwamba huu ni uthibitisho? Kwenye imani yenu ya hakuna Mungu, mnafahamu vipi kama jambo ni baya au jema ikiwa kila kitu kilitokea kwa bahati?
Hakuna anayeamini Mungu kwa sababu ana huo uthibitisho, na hata wewe madai ya kusema hakuna Mungu si kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu.Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.
Kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?Uthibitisho mmoja ni moral law. Dunia nzima kuna ufanano wa tafsiri wa kufahamu wema au ubaya. Mungu ameumba utashi huu ndani ya kila mwanadamu. Imekuwa point of reference bila kujali mtu yupo wapi.
Sasa utafahamu vipi kwamba huu ni uthibitisho? Kwenye imani yenu ya hakuna Mungu, mnafahamu vipi kama jambo ni baya au jema ikiwa kila kitu kilitokea kwa bahati?
Ikiwa vilivyo complex na vinavyoonekana kuwa na mpangilio ni lazima viwe vimeumbwa, hilo linathibitisha Mungu muumba wa vyote hawezi kuwepo.
Kwa sababu, hata yeye, ambaye ni complex pia, atahitaji muumbaji wake.
Unaelewa hilo?
Kama ana muda wa kusoma,ebu asome dialogue hii kati ya Atheist Ivan Karamazov na Mdogo wakeKama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?