Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

Kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
Kaumba kweli huu ulimwengu au hajaumba? Tuanzie hapo.
 
Hoja zote za @Kiranga kuhusu inakuwaje Mungu muweza wa yote,mjuzi na anayejua yaliyopita,ya sasa na yajayo inakuwaje anaumba Ulimwengu amabao watoto,walemavu na wasiojiweza wanateseka eti kwa kigezo kuwa wakiteseka ndiyo njia ya kuupata wokovu?
Unatakiwa kuuliza imekuwaje ulimwengu mzuri alioumba Mungu ukageuka kuwa na haya yote mabaya?

Mungu alishindwa nini kuumba ulimwengu uliyo perfect?
Mungu aliumba ulimwengu ambao ni perfect.
Kwanini alimuumba Shetani huku akijua kuwa baadae atahasi na kuusumbua ulimwengu?
Mungu anafahamu upendo wa kweli unakuwepo ikiwa kuna uhuru. Alimuumba shetani na yeye akaamua kuasi. Ni uamuzi wake.


Kwanini gharama ya binadamu anayolipia ili Mungu aamini kuwa binadamu anampenda ni maumivu na mateso yanyoitwa eti "majalibu"?
Hili umelitoa wapi?
 
Unatakiwa kuuliza imekuwaje ulimwengu mzuri alioumba Mungu ukageuka kuwa na haya yote mabaya?


Mungu aliumba ulimwengu ambao ni perfect.

Mungu anafahamu upendo wa kweli unakuwepo ikiwa kuna uhuru. Alimuumba shetani na yeye akaamua kuasi. Ni uamuzi wake.



Hili umelitoa wapi?
Yanini kuwatesa binadamu na uhuru?

Uhuru ambao wana uwezo wa kuuishi?

Tunarudi palepale yanini kuumba ulimwengu wa vita,mafuriko,ajali,magonjwa ili tu kuwajaribu viumbe wako kama wamaweza kuamua kukupenda kwa kutumia uhuru wao?

Kama ulimwengu ulikuwa perfect mbona kuna dhambi duniani?
 
Yanini kuwatesa binadamu na uhuru?

Uhuru ambao wana uwezo wa kuuishi?

Tunarudi palepale yanini kuumba ulimwengu wa vita,mafuriko,ajali,magonjwa ili tu kuwajaribu viumbe wako kama wamaweza kuamua kukupenda kwa kutumia uhuru wao?

Kama ulimwengu ulikuwa perfect mbona kuna dhambi duniani?
Unafahamu dhambi ilianzaje duniani?
 
Wapi nimesema hakujua?
Unaposema unatakiwa kujiuliza ilikuwaje ulimwengu mzuri....
Tafsiri yake ni kwamba mwanzo hakulenga ulimwengu uwe mbaya ila kuna sababu za baadae ndizo zikachange plan...
Sasa ndio maana nikakuuliza kwa hiyo mwanzo hakujua nini kitatokea baadae?
 
Unaposema unatakiwa kujiuliza ilikuwaje ulimwengu mzuri....
Tafsiri yake ni kwamba mwanzo hakulenga ulimwengu uwe mbaya ila kuna sababu za baadae ndizo zikachange plan...
Sasa ndio maana nikakuuliza kwa hiyo mwanzo hakujua nini kitatokea baadae?
Mungu anajua mwisho tangu mwanzoni. Plan hajaibadilisha yeye. Mwanadamu alipoasi ndipo dhambi na mabaya yalipoanza.
 
Back
Top Bottom