Uyahudi unasema Mungu aliumba Ulimwengu mkamilifu ila kiumbe wa Mungu aitwae malaika akahasi kwa kutumia uhuru wake wa kifkra kwa kuchagua kumpinga Mungu
Toka umalaika mpaka akawa Shetani
Ila kumbuka katika mtiririko huo wote Mungu alikuwa anajua kuwa siku moja ataumba kiumbe ambae ni malaika na baadae huyo malaika atahasi ili awe shetani
Na huyo Shetani baadaye aatatupwa na Mungu duniani ali awajaribu binadamu ili waweze kuutumia uhuru wao wa kumchagua Mungu au Shetani kwa ahadi ya Kuzimu kama wataamua kwa uhuru wao aliyowapa Mungu kumtumikia Shetani
Au ahadi ya uzima wa milele kama wataamua kumtumikia Mungu kwa uhuru wao
Huyo uhuru una faida gani kama mwisho wa siku umepewa alternative mbili tu?