Kwani charity na benevolence ni kiarabu?Naona ukaenda Wikipedia, ulitakiwa utafute Kamusi ya Kiarabu yenyewe ufaidike na maana ya tamko hilo, sababu tamko hilo lina asili ya Kiarabu. Sijui kwanini hamsomi vijana ?
Ilo swali ungemuuliza Kiranga mwenyewe ni nini madhumuni ya kutoa sadaka hiyoShida yenu hamjui wapi mshike, hakuna aliyekataa kama mpagani hawezi kuwa mwema.
Hoja ipo katika matumizi ya tamko "Sadaka". Unatoa sadaka kwa ajili ya nini na kwa nani ?
Kingine hamjui hata wapi pakuchukua maana za maneno, mwenzako akaenda Wikipedia au huko alikochukua, nikajua amepita kwenye Kamusi ya Waarabu wenyewe hata moja akachukua maana ya tamko hilo, sababu hata "tabasamu" nalo ni sadaka, lakini utaulizwa kwa nani na kwanini ?
Sasa nina uhakika mimi nimesoma vitabu vingi nje ya dini kukuzidi wewe. Msifikiri sisi wajinga kama nyinyi, sisi kila kitu tunakirudisha kwa watu wake.
Kwanza kabisa mimi si mpagani, mpagani anaamini katika Mungu/ supernatural power.Shida yenu hamjui wapi mshike, hakuna aliyekataa kama mpagani hawezi kuwa mwema.
Hoja ipo katika matumizi ya tamko "Sadaka". Unatoa sadaka kwa ajili ya nini na kwa nani ?
Kingine hamjui hata wapi pakuchukua maana za maneno, mwenzako akaenda Wikipedia au huko alikochukua, nikajua amepita kwenye Kamusi ya Waarabu wenyewe hata moja akachukua maana ya tamko hilo, sababu hata "tabasamu" nalo ni sadaka, lakini utaulizwa kwa nani na kwanini ?
Sasa nina uhakika mimi nimesoma vitabu vingi nje ya dini kukuzidi wewe. Msifikiri sisi wajinga kama nyinyi, sisi kila kitu tunakirudisha kwa watu wake.
Naongela asili ya tamko "Sadaka", usiniulize swali hilo, halipo katika msingi wa tamko, bali limekuja kuelezea kwa lugha ya kiingereza. Elewa nilichokiandika.Kwani charity na benevolence ni kiarabu?
Sasa ulivyo dakia jambo huku huna ujuzi nalo, ulitaka usiulizwe maswali ya msingi ?
Imesemwa na nani ? Unatakiwa uwe unarejea za kielimu, siyo unasema imesemwa, unamjua aliyeweka hiyo maana huko "Wikipedia" ?Pili, sadaka imesemwa kuwa ni charity na benevolence
Nani amesema wewe ni mpagani ? Mimi nilikuwa namjibu aliye jenga hoja dhidi yangu.Kwanza kabisa mimi si mpagani, mpagani anaamini katika Mungu/ supernatural power.
Mimi siamini.
Anafanya jema ila hana sadaka sababu sadaka ina mafungamo na jambo fulani na kutarajia malipo kwa yule aliyeelekezewa kwalo.Sasa mtu asiyeamini Mungu hawezi kuwa na charity na benevolence?
Unafahamu vipi kwamba hilo ulilofanya ni jema ikiwa kila kitu kilitokea tu kwa bahati baada ya utupu kupasuka?Unadili na watu ambao vitabu vyao walivyosoma tangu utoto wao ni biblia,quran na madaftari ya notisi za shule
Sasa unafikili atawaza nini nje ya mambo ya dini na kujua mji mkuu wa Rwanda ni Kigali
Hawa watu hawaamini kama kuna jema nje ya Ukristo na Uislamu
Hawaamini mpagani anaweza kuwa mwema
Hivyo ni kuwasamehe bure tu
😀😀😀😀😀 'Wachungaji' wataendelea kuwapiga na vitu vizito sana.Sadaka inatolewa katika madhabahu hata kama mpokeaji ni binadamu. Sadaka inaunganishwa na ulimwengu wa roho kupitia madhabahu. Ulimwengu wa roho ndio sasa Mungu yupo na wale viumbe wasioonekana ikiwa ni pamoja na walioasi.
Nilishakuwa boss enzi hizo Polish, alikuwa Hana msaaafu wala biblia wala Buddha statues, alikuwa anasema hakuna Mungu, na haamini, things happen because that's how it is, they have to happen!Kwa hivyo mtu asiyeamini Mungu hawezi kuwa benevolent, hawezi kuwa charitable?
sio kweliSadaka ni tamko maalumu halitumiki bila kuhusianisha au kufungamanisha na Mola, sababu tamko hili hufungamana na matarajio ya malipo toka kwa Mola.
Nilichokiona hapo, hujui maana ya tamko "Sadaka" ila umelitumia kwa ujinga tu.
Hihiiii huu mjadala umenfurahisha asubuhiUnafahamu vipi kwamba hilo ulilofanya ni jema ikiwa kila kitu kilitokea tu kwa bahati baada ya utupu kupasuka?
Shukrani.sio kweli
Unatajaje kitu ambacho huna uhakika nacho kama kipo au hakipo, huo si upungufu wa akili [emoji848][emoji19]Sawa basi, kwa tafsiri yako hiyo, nimekosea kutaja sadaka. Weka kama nimetoa msaada.
Ushafurahi?
Na kutaja majini si kuamini majini, kama vile kumtaja James Bond 007 si kuamini yupo.
Wwewe hujui kusoma kwa ufahamu na hujui tafsida, huwezi kuelewa.
Also, usipende kick kwa kutumia jina langu.
Stay off my dilsnick.
Sadaka lazima iunganike na madhabahu kwa namna moja au nyingine.Sadaka sio lazima itolewe katika madhabahu kwahiyo hamna limitation ya mazingira ya kutoa sadaka na alichofanya Kiranga ni sawa kuita vyovyote msaada au sadaka sababu sadaka haitolewi na wanaoamini katika kitu flani pekee.
Mkuu naomba kwanza ueleze sadaka ni nini na madhabahu alafu uoneshe huo muunganiko wake unakuaje.Sadaka lazima iunganike na madhabahu kwa namna moja au nyingine.
Sadaka ni matoleo yanayofanywa kukiwa na matarajio ya kupata majibu fulani kutoka katika ulimwengu wa roho.Mkuu naomba kwanza ueleze sadaka ni nini na madhabahu alafu uoneshe huo muunganiko wake unakuaje.