Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo paragraph ya mwisho sasa
Hahaaaaaaa
Ndio maana ukaitwa mfano,uwe imara au dhaifu utabaki hivyo hivyo!Huo mfano wako ni hafifu. Tafuta mfano imara.
kama ambavyo Sijawahi muona Mungu!Unapimaje uhalisia wa fikra? Umewahi kuziona fikra?
Hili kwangu rahisi sana, nakuthibitishia tena, hapa. Kisha tuuchambue huu uthibitisho ninao kuwekea hapa.Hujathibitisha hata mara moja.
Kama unabisha, weka link umethibitisha wapi.
Ngoja nionyeshe ujinga wako ulipo.Ila cha ajabu linapokuja swala la Mungu tunatoa Tu points kwake bila kutoa credits Kwa aliefanikisha uwepo wake, kama unaamini hakuna ambacho kinaweza kutokea Tu from no where na credits zote anapewa Mungu inakuwaje unaamini Mungu hajatokana na kitu?
Hakuna mtu mwenye akili timamu mwenye kupinga uwepo wa Mola muumba, ukijiona unapinga hilo ujue huna akili timamu au unafikiria kitoto sana.Ni nani alietuaminisha kuwa dunia imeumbwa na Mungu Ila Mungu hajaumbwa na chochote? Ni sababu zipi za msingi ambazo ukimwambia mtu mwenye Akili timamu anaweza kukuelewa kuwa vitu vyooote vimeumbwa ila muumbaji ye ametokea Tu
Mfano wako huu wa uongo, sababu mimi naamini juu ya uwepo wa Mola, ila siwezi kujenga hoja kijinga namna hii. Huu mfano unaingia kwa wakana Mungu wote, mfano wa mkana Mungu huyu aliyeanzishiwa hii mada, ukimuuliza kwanini unasema Mungu hayupo, anakujibu "Kwa sababu hayupo". Hili si jibu bali ni uoga wakujibu maswali.Mdau 1: hivi unajua kama kuna kuku mwenye miguu 4?
Mdau 2: Ahhh wapi haiwezekani kukawa na kuku mwenye miguu 4
Mdau 1: me ndo nakwambia sasa
Mdau 2: Thibitisha
Mdau 1: we amini Tu hivo mkuu
Mdau 2: anyway source ya habari yako?
Mdau 1: Trust me brother
Huo ni mfano wa watu ambao wanamtetea Mungu kuwa yupo, majibu Yao yamekaa kihisia Sana na sio uhalisia, cha ajabu Mungu hajawahi kujitetea mwenyewe juu ya uwepo wake Ila ajabu aliowaacha wamtetee majibu Yao ni mepesi sana
Usijali yeye atamaliza utata kwa kutuhakikishia kabisa kuwa Mungu hayupo huko panapoaminiwa kuwa ndio yupo huyo Mungu, tatizo anapoteza muda kuelezea kwamba Mungu hajaumba huu ulimwengu badala ya kutuhakikishia kuwa huyo Mungu hayupo.Jana niliwaambia huku Kiranga Hakubaligi kushindwa,
Leo tena msilale hadi muonyeshe Mungu alipo
Mungu hayupo au hajaumba huu ulimwengu? Maana umejikita kwenye issue ya Mungu kuumba huu ulimwengu tu na si kuumba binaadamu au vitu vyengine.Ujinga unao wewe unayeamini kuwapo kwa Mungu ambaye huwezi hata kumuelezea.
Nakuuliza kwa nini Mungu kaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, unajibu swali tofauti, eti Mungu ana uhuru wa kuumba vyovyote.
Sawa, tuseme ana uhuru, sijabishia hilo.
Lakini, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana na hakuumba ulimwengu huu uwe hauwezekani mabaya?
Huwezi kujibu.
Unakubali uwepo wa Mungu usiyemuelewa.
Hapo wewe si mjinga kweli?
Unapowaza kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho unathibitisha kwamba nguvu inayoumba huo mwanzo na mwisho unatakiwa kuwa nje yake.Mdau 1: hivi unajua kama kuna kuku mwenye miguu 4?
Mdau 2: Ahhh wapi haiwezekani kukawa na kuku mwenye miguu 4
Mdau 1: me ndo nakwambia sasa
Mdau 2: Thibitisha
Mdau 1: we amini Tu hivo mkuu
Mdau 2: anyway source ya habari yako?
Mdau 1: Trust me brother
Huo ni mfano wa watu ambao wanamtetea Mungu kuwa yupo, majibu Yao yamekaa kihisia Sana na sio uhalisia, cha ajabu Mungu hajawahi kujitetea mwenyewe juu ya uwepo wake Ila ajabu aliowaacha wamtetee majibu Yao ni mepesi sana
Binadamu tumekuwa na kasumba ya kutoa credits Kwa watengenezaji wa vitu vyote vizuri katika uso wa dunia, tunaangalia uumbaji wa dunia tunatoa sifa Kwa Mungu
Ukiangalia wajenzi wa majengo,magari,madaraja,vifaa vya umeme nk unaishia kutoa sifa Kwa mjenzi wa kitu husika, ata kama hujawahi kumuona utasema dahh huyu jamaa ni Noma Sana
Ila cha ajabu linapokuja swala la Mungu tunatoa Tu points kwake bila kutoa credits Kwa aliefanikisha uwepo wake, kama unaamini hakuna ambacho kinaweza kutokea Tu from no where na credits zote anapewa Mungu inakuwaje unaamini Mungu hajatokana na kitu?
Kama unaamini kuwa Mungu hajatokana na chochote iweje ushindwe kuamini kuwa wanyama,sayari,nyota,vyanzo vya maji,mimea kuwa vimetokea Tu from no where kama ambavyo Mungu ametokea?
Ni nani alietuaminisha kuwa dunia imeumbwa na Mungu Ila Mungu hajaumbwa na chochote? Ni sababu zipi za msingi ambazo ukimwambia mtu mwenye Akili timamu anaweza kukuelewa kuwa vitu vyooote vimeumbwa ila muumbaji ye ametokea Tu
Mkuu Bahati mbaya sijaandika comment/mawazo yangu ili kubishana na mtu na ndomana sija quote mtu yoyote YuleNgoja nionyeshe ujinga wako ulipo.
Naomba unipe sababu tano zinazo onyesha ulazima wa Mola awe ana chanzo.
Kisha uniambie je kuna infinity series ?
Hakuna mtu mwenye akili timamu mwenye kupinga uwepo wa Mola muumba, ukijiona unapinga hilo ujue huna akili timamu au unafikiria kitoto sana.
Kwanini nasema hivi ? Mola alivyo tuumba akatuwekea Fitrah (Innate disposition) hali wezekano ya kumkubali na kujua ya kuwa huu ulimwengu umeumbwa na unaendeshwa.
Mola muumba wa mbingu na ardhi na vilivyo yeye yupo wala hakuna kitu kabla yake wala hakuna kitu baada yake, hii ndiyo sifa ya muumbaji,hatakiwi kutanguliwa na wakati, bali yeye ndiye amumba wakati.
Mfano wako huu wa uongo, sababu mimi naamini juu ya uwepo wa Mola, ila siwezi kujenga hoja kijinga namna hii. Huu mfano unaingia kwa wakana Mungu wote, mfano wa mkana Mungu huyu aliyeanzishiwa hii mada, ukimuuliza kwanini unasema Mungu hayupo, anakujibu "Kwa sababu hayupo". Hili si jibu bali ni uoga wakujibu maswali.
Mkuu umemaliza Ngoja Sasa waamini Mungu wakija na hoja ZaoMdau 1: hivi unajua kama kuna kuku mwenye miguu 4?
Mdau 2: Ahhh wapi haiwezekani kukawa na kuku mwenye miguu 4
Mdau 1: me ndo nakwambia sasa
Mdau 2: Thibitisha
Mdau 1: we amini Tu hivo mkuu
Mdau 2: anyway source ya habari yako?
Mdau 1: Trust me brother
Huo ni mfano wa watu ambao wanamtetea Mungu kuwa yupo, majibu Yao yamekaa kihisia Sana na sio uhalisia, cha ajabu Mungu hajawahi kujitetea mwenyewe juu ya uwepo wake Ila ajabu aliowaacha wamtetee majibu Yao ni mepesi sana
Binadamu tumekuwa na kasumba ya kutoa credits Kwa watengenezaji wa vitu vyote vizuri katika uso wa dunia, tunaangalia uumbaji wa dunia tunatoa sifa Kwa Mungu
Ukiangalia wajenzi wa majengo,magari,madaraja,vifaa vya umeme nk unaishia kutoa sifa Kwa mjenzi wa kitu husika, ata kama hujawahi kumuona utasema dahh huyu jamaa ni Noma Sana
Ila cha ajabu linapokuja swala la Mungu tunatoa Tu points kwake bila kutoa credits Kwa aliefanikisha uwepo wake, kama unaamini hakuna ambacho kinaweza kutokea Tu from no where na credits zote anapewa Mungu inakuwaje unaamini Mungu hajatokana na kitu?
Kama unaamini kuwa Mungu hajatokana na chochote iweje ushindwe kuamini kuwa wanyama,sayari,nyota,vyanzo vya maji,mimea kuwa vimetokea Tu from no where kama ambavyo Mungu ametokea?
Ni nani alietuaminisha kuwa dunia imeumbwa na Mungu Ila Mungu hajaumbwa na chochote? Ni sababu zipi za msingi ambazo ukimwambia mtu mwenye Akili timamu anaweza kukuelewa kuwa vitu vyooote vimeumbwa ila muumbaji ye ametokea Tu
Shukrani.Mkuu Bahati mbaya sijaandika comment/mawazo yangu ili kubishana na mtu na ndomana sija quote mtu yoyote Yule
Na bahati mbaya zaidi ata nikisema nianze kubishana na wewe utanisumbua Tu bure huna facts, kuna baadhi ya wenzio at least waga wanajenga hoja
Kwa kuangalia vile unajenga hoja na kujibu maswali ya wadau we ni mweupe sana kichwani, kwahiyo itahitaji niwe mweupe zaidi yako Kichwani ili kuendana na uelewa wako. Endelea Tu na kiranga me nilikuwa napita Tu
Hii ni nini? [emoji23]yaani baba unaona mwanao mvuta bange anapanga mipango ya kuuza nyumba unakausha tu,hati ya nyumba inachukuliwa,madalali wanaletwa pamoja na mteja hatimaye nyumba inauzwa wewe upo tu huchukui hatua eti kisa matokeo ya huo Ujinga mwanao atalala nje baada ya nyumba kupigwa Bei
Hivi Ina make sense?
Sasa nani aliyekwambia MUNGU ni kitu?Mental disorder zitawaua Kwa kufikiria vitu ambavyo sio halisia!
Uandishi wako unadhihirisha wazi kwamba unachojaribu kujadili huna maarifa nachoMental disorder zitawaua Kwa kufikiria vitu ambavyo sio halisia!
Sijamuelewa aisee, alikuwa anazungumzia nini? [emoji23]Huo mfano wako ni hafifu. Tafuta mfano imara.
Ila cha ajabu linapokuja swala la Mungu tunatoa Tu points kwake bila kutoa credits Kwa aliefanikisha uwepo wake, kama unaamini hakuna ambacho kinaweza kutokea Tu from no where na credits zote anapewa Mungu inakuwaje unaamini Mungu hajatokana na kitu?
Kama unaamini kuwa Mungu hajatokana na chochote iweje ushindwe kuamini kuwa wanyama,sayari,nyota,vyanzo vya maji,mimea kuwa vimetokea Tu from no where kama ambavyo Mungu ametokea?
Ni nani alietuaminisha kuwa dunia imeumbwa na Mungu Ila Mungu hajaumbwa na chochote? Ni sababu zipi za msingi ambazo ukimwambia mtu mwenye Akili timamu anaweza kukuelewa kuwa vitu vyooote vimeumbwa ila muumbaji ye ametokea Tu