Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.

Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.

Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?

Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.


RAMADHAN KAREEM
 
Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.

Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.

Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?

Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.


RAMADHAN KAREEM
Hayo ni mapepo full wanaambukiza kwa wajinga wachache wasijitambua humu.
 
Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.

Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.

Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?

Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.


RAMADHAN KAREEM
JF ni public forum, kila mtu ana uhuru wa kuchangia mada anayoitaka.

Na kila mtu ana mada zake pendwa, wengine mada za michezo hawakosi, wengine mada za siasa hawakosi. Na sisi hizi ndizo mada zetu, tatizo lako nini?

Usiulize kwa nini Kiranga anachangia sana mada hizi. Huu ni uhuru wangu. Jibu hoja.

Ukiuliza sana swali hilo utakuwa kama unafanya censorship hawa wakina Kiranga wasiandike.

Mimi hata sianzishi mada mkuu. Mada wanaanzisha wengine. Nyingine wala sizioni watu wananiita nichangie, wanapenda kujua mawazo yangu.

Tatizo lako nini?

Hupendi kuona mawazo tofauti na yako?

Kubali tu kuwa kuna watu tofauti na wewe.

Mbona sisi tumezungukwa na watu wanaoamini Mungu na kila siku tunalazimishwa kusikia habari za Mungu, ambazo tunaona ni uongo tu, na bado tunadunda tu?

Acha kufanya censorship.

Waachie watu waandike wanavyotaka.

Wewe pia unaruhusiwa kuandika unavyotaka hatujawahi kukuzuia kuanzisha au kupost mada zako.
 
JF ni public forum, kila mtu ana uhuru wa kuchangia mada anayoitaka.

Na kila mtu ana mada zake pendwa, wengine mada za michezo hawakosi, wengine mada za siasa hawakosi. Na sisi hizi ndizo mada zetu, tatizo lako nini?

Usiulize kwa nini Kiranga anachangia sana mada hizi. Huu ni uhuru wangu. Jibu hoja.

Ukiuliza sana swali hilo utakuwa kama unafanya censorship hawa wakina Kiranga wasiandike.

Mimi hata sianzishi mada mkuu. Mada wanaanzisha wengine. Nyingine wala sizioni watu wananiita nichangie, wanapenda kujua mawazo yangu.

Tatizo lako nini?

Hupendi kuona mawazo tofauti na yako?

Kubali tu kuwa kuna watu tofauti na wewe.

Mbona sisi tumezungukwa na watu wanaoamini Mungu na kila siku tunalazimishwa kusikia habari za Mungu, ambazo tunaona ni uongo tu, na bado tunadunda tu?

Acha kufanya censorship.

Waachie watu waandike wanavyotaka.

Wewe pia unaruhusiwa kuandika unavyotaka hatujawahi kukuzuia kuanzisha au kupost mada zako.

Nimecheka sana, yaani umeibuka less than 10 minutes, anyway I agree with you, the right to freedom of opinion and expression.
Tatizo Kuna watu na dini zao hata kichwa wanakukata.
 
JF ni public forum, kila mtu ana uhuru wa kuchangia mada anayoitaka.

Na kila mtu ana mada zake pendwa, wengine mada za michezo hawakosi, wengine mada za siasa hawakosi. Na sisi hizi ndizo mada zetu, tatizo lako nini?

Usiulize kwa nini Kiranga anachangia sana mada hizi. Huu ni uhuru wangu. Jibu hoja.

Ukiuliza sana swali hilo utakuwa kama unafanya censorship hawa wakina Kiranga wasiandike.

Mimi hata sianzishi mada mkuu. Mada wanaanzisha wengine. Nyingine wala sizioni watu wananiita nichangie, wanapenda kujua mawazo yangu.

Tatizo lako nini?

Hupendi kuona mawazo tofauti na yako?

Kubali tu kuwa kuna watu tofauti na wewe.

Mbona sisi tumezungukwa na watu wanaoamini Mungu na kila siku tunalazimishwa kusikia habari za Mungu, ambazo tunaona ni uongo tu, na bado tunadunda tu?

Acha kufanya censorship.

Waachie watu waandike wanavyotaka.

Wewe pia unaruhusiwa kuandika unavyotaka hatujawahi kukuzuia kuanzisha au kupost mada zako.
Hoja ni kwamba tangu muanze kupinga uwepo wa Mungu je hajamridhika? kwanini msituache sisi nasi tukaendelea na mtazamo wetu.

wewe una swali gani jipya tofauti na kwamba thibitisha huo uwepo wa mungu?
 
Hoja ni kwamba tangu muanze kupinga uwepo wa Mungu je hajamridhika? kwanini msituache sisi nasi tukaendelea na mtazamo wetu.

wewe una swali gani jipya tofauti na kwamba thibitisha huo uwepo wa mungu?
Kazi ya kupinga uwepo wa Mungu ni kazi endelevu.

Kila siku wanazaliwa watoto wapya wanapewa mafundisho ya uongo kwamba Mungu yupo.

Sasa tutaridhika vipi tukae kimya ikiwa uongo huu unafundishwa kila siku?

Ulishaona makanisa yanaridhika yanasema tusifundishe tena watu habari za uongo huu wa kuwapo Mungu?

Ulishaona misikiti inaridhika na kusema sasa tumeridhika kusema habari za uongo kwamba Mungu yupo?

Sasa kama hawa wasema uongo wa makanisani na misikitini na wengine wengi kama wao hawaridhiki kusema uongo, unapata wapi uhalali wa kutuambia sisi tunaonyoosha mambo na kuhoji uongo huo turidhike?

Jibu hoja, acha kushambulia watoa hoja.

Kushambulia mtoa hoja badala ya kujibu hoja ni logical fallacy.

Ni tabia ya watu wasio na hoja.

Ni ad hominem logical fallacy.

Unajua logical fallacy ni nini?
 
Back
Top Bottom