Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

Epicurean Paradox haithibitishi kuwa Mungu hayupo, bali inapinga uwezekano wa kuwepo kwa Mungu mwenye sifa za ujuzi wote, uwezo wote, na upendo wote.
Epicurean Paradox inahitimisha kuwa Mungu mwenye sifa fulani hayupo, si kwamba Mungu yoyote hayupo. Umewezaje kuthibitisha kuwa hakuna Mungu yeyote, hata asiye na sifa hizo? Kwa sababu hoja yako ni dhidi ya sifa, si uwepo wa Mungu kwa ujumla.
Duuh nchi inawatu wengi😄😄
Vitu vingine muwe mnanyamaza basi mnatufanya mda mwingne tuonekane sisi ni mazombi ya waarabu na wazungu,
Kwahyo sisi tunaposema Mungu mwenye nguvu,asieshindwa,anaejua kila kitu kabla na baada,mwenye upendo mwenye huruma mwenye hekima na busara, ,,unafikiri Hawa washkaji zetu wasioamini wanakuwa hawasikii? Haya tukiwanyima hizo sifa kwa akina mungu wetu Hawa Jehova/Allah WANAKUWA WAPO AU HAWAPO?
 
Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Hakuna uhakika, ushahidi wala uthibitisho wowote ule wa kwamba Mungu yupo.

Hivyo Mungu hayupo.

Sasa wewe unakataa kwamba Mungu hayupo, Halafu umeshindwa kumthibitisha yupo.

Sasa unataka nini zaidi?
Mungu yupo kwa asilimia 100 na ushahidi upo na wanasanyansi wakubwa na mashirika ya kisayansi ya juu wanajua mungu ni nini tena ana sifa zote zilizo tajwa
 
Mungu yupo kwa asilimia 100 na ushahidi upo na wanasanyansi wakubwa na mashirika ya kisayansi ya juu wanajua mungu ni nini tena ana sifa zote zilizo tajwa
Mthibitishe huyo Mungu yeye kama yeye.

Wanasayansi kujua sifa za Mungu bado hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.
 
Mthibitishe huyo Mungu yeye kama yeye.

Wanasayansi kujua sifa za Mungu bado hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.
Ukitaka kujua kuwa mungu yupo mbona ni rahisi tu ...kwanza unatakiwa kujijua wewe ni nani kisayansi basi kazi imekwisha
 
Ukitaka kujua kuwa mungu yupo mbona ni rahisi tu ...kwanza unatakiwa kujijua wewe ni nani kisayansi basi kazi imekwisha
Mimi ni mtu.

Sihusiki na huyo Mungu.

Mthibitishe huyo Mungu, yeye kama yeye.

Usimhusishe huyo Mungu na chochote, mthibitishe yeye kama yeye.
 
Mimi ni mtu.

Sihusiki na huyo Mungu.

Mthibitishe huyo Mungu, yeye kama yeye.

Usimhusishe huyo Mungu na chochote, mthibitishe yeye kama yeye.
Kuna uhusiano mkubwa wa mtu na mungu kama ukijua kwa undani binadamu ni nani basi utamjua mungu kidini na kisayansi
 
Kuna uhusiano mkubwa wa mtu na mungu kama ukijua kwa undani binadamu ni nani basi utamjua mungu kidini na kisayansi
Mungu hayupo kwa namna yoyote ile.

Zaidi ya imaginations tu.

Ndio maana unahangaika kumwelezea na kufosi uwepo wake.

Hakuna Mungu.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
 
Mungu hayupo kwa namna yoyote ile.

Zaidi ya imaginations tu.

Ndio maana unahangaika kumwelezea na kufosi uwepo wake.

Hakuna Mungu.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Mungu ni energy katika utimilifu wake
 
Back
Top Bottom