Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga ndio Ibilisi tunaemsoma kwenye vitabu vya dini.Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.
Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.
Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?
Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.
RAMADHAN KAREEM
I do not see Faizafoxy's posts. Nor do I intend to.
Deepseek la mchina nimeliongoza sala ya toba likampokea yesu... Now limeokoka 🤣🤣Wajulishe kuwa hata AI Chatgpt amesilimu.
Nimekupata vema mkuu!!!I do not see Faizafoxy's posts. Nor do I intend to.
She has been in my ignore list for quite some time.
She does not meet my standards for healthy engagement and I do not wish to delve into unhealthy engagement.
😂😂😂😂 Kwamba uko fifute fifute au hoja zao huwa zinamake sense kiasi cha kukufanya ushindwe kujua wapi ubakie? Huo ndio unaitwa uamsho, tumia hoja zao kwenye Kutafakari labda unaweza ukaupata ukweli mkuu.huwa mnatuvuruga sana
Muda mwingine naona kubishana na hawa watu wa dini kunaharibu afya yangu ya akiliKazi ya kupinga uwepo wa Mungu ni kazi endelevu.
Kila siku wanazaliwa watoto wapya wanapewa mafundisho ya uongo kwamba Mungu yupo.
Sasa tutaridhika vipi tukae kimya ikiwa uongo huu unafundishwa kila siku?
Ulishaona makanisa yanaridhika yanasema tusifundishe tena watu habari za uongo huu wa kuwapo Mungu?
Ulishaona misikiti inaridhika na kusema sasa tumeridhika kusema habari za uongo kwamba Mungu yupo?
Sasa kama hawa wasema uongo wa makanisani na misikitini na wengine wengi kama wao hawaridhiki kusema uongo, unapata wapi uhalali wa kutuambia sisi tunaonyoosha mambo na kuhoji uongo huo turidhike?
Jibu hoja, acha kushambulia watoa hoja.
Kushambulia mtoa hoja badala ya kujibu hoja ni logical fallacy.
Ni tabia ya watu wasio na hoja.
Ni ad hominem logical fallacy.
Unajua logical fallacy ni nini?
Muda mwingine naona kubishana na hawa watu wa dini kunaharibu afya yangu ya akili
Kwanza hata wakimuamini huyo mungu hawamfanyi awepo
Sema na wewe una hoja, tukinyamaza hii falsafa itaenea vipi?
Kuwa atheist kazi sana.
Mkuu,Muda mwingine naona kubishana na hawa watu wa dini kunaharibu afya yangu ya akili
Kwanza hata wakimuamini huyo mungu hawamfanyi awepo
Sema na wewe una hoja, tukinyamaza hii falsafa itaenea vipi?
Kuwa atheist kazi sana.
NISAIDIE JIBU LA HILI SWALI "JE SHETANI YUPO?"Amenitag mkuu.
Na mimi naona mtu akinitag halafu nisipomjibu ni kama nimemdharau.
Hiyo kisaikolojia maana yake ni kwamba Awa amini kile wanacho.kiamini..Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.
Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.
Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?
Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.
RAMADHAN KAREEM
Huyu kiranga msimwamini ana uwezo mdogo sana wa uelewa ...ushahidi ninao ila kanipiga ban ya ignore listMkuu,
Ni kweli kuna watu wengine ukibishana nao unaweza kuharibu afya yako ya akili.
Na mimi ninatumia sana ignore list.
Lakini pia, sitaki kuitumia kirahisi, kuna watu wana engage vizuri tu, hata kama ni kwa bias na ujinga, lakini kama mazungumzo hayajafika kwenye disrespectful discourse hapo tunaelezana tu.
Haya mambo yameelezwa kwa miaka mingi sana. Epicurus aliandika Epicurean paradox miaka mingi kabla ya kuzaliwa Yesu. Epicurus alizaliwa takribam miaka 341 kabla ya Yesu. Na yeye wala hakuwa wa kwanza kufikiria hivyo, mawazo hayo yalikuwapo maelfu ya miaka kabla ya Epicurus.
Na hata huku Afrika watu walikuwa na imani nyingi sana tofauti kabla ya kuwapo Uislamu na Ukristo. Na wengine hawakuamini Mungu kabisa. Tatizo watu hata historia hawasomi.
Sasa, kujifunga kwenye imani fulani tu ni ushamba. Hata historia yetu Afrika ya kuwa very diverse kwenye mambo ya imani tunaifuta, na kuweka imani chache tu, na kuwafanyia censorship watu wasioamini Mungu.
Tena kivivu na kijinga sana tu.
Those stupid days, we were busy arguing against the life ( money), now we're apologizing but it never listens😬😬Motion mover
Proposer side
Opposer side
Time keeper
"Education is better than money"🥶
Upo Sahihi kwenye Atheists kuwa wapo daraja ya kati maana kuna madaraja 3 ...mawili yanayo sema mungu yupo na moja linalo kanusha .....kati ya hayo madaraja lililo la wapumbavu kabisa ni mojawapo ya hayo mawili yanayo sema mungu yupo...na daraja la Atheists ni lenye watu wenye akili akili siyo wapumbavu kivileee ila lipo daraja la watu wenye akili kamili na timamu katika kupambanua mambo nalo linasama MUNGU YUPO NA AIWEZEKANI KUWE HAKUNA MUNGUGod exist
Atheists ni watu ambao bado wapo katika hatua za Kati za ukuaji wa ufahamu.
Kitu Ambacho hakipo ni dini but not God
NISAIDIE JIBU LA HILI SWALI "JE SHETANI YUPO?"
Wewe hata huko shule hukuelewa ulichofundishwa.Akina kiranga ni wazee wa theory za binadamu alikuwa nyani, hata sisi huko shule ya msingi tulisoma vitabu vya historia ya binadamu kubadiika kutoka kuwa nyani, lakini tulivyokuwa na ufahamu wetu tumechanganya za kuambiwa na za kwetu wenyewe.
😁😁du wewe muhuni hupo kitambo sana sijakuona jfJikite kwenye kuwapuuza, fahamu kuwa shetani ana ufahamu mkubwa kutuzidi hadi alijitutumua kubishana na Yesu, sasa wewe binadamu unataka ushindane naye?