Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Sisi wafuasi wa vuguvugu la kupinga ufirauni tumesikitishwa na kutokomea kwa Museven baada ya muswada dhidi ya ushoga kuletwa kwake.

Bunge lilishamaliza kazi yake, hivyo tulitarajia apitishe hiyo sheria chap chap tuanze kazi ya kuwasambaratisha wasagaji kwa mijeledi.

Kwa jinsi tulivyojaa upepo na mihemko ya kutaka kuwashughulikia mashoga, tunaona tunachelewashwa, na inaonekana ni kama vile Museven ametokomea shimoni bila kutujuza sisi wafuasi wake.

Tangu Museven alipopigwa mkwara na mabeberu, leo ni siku ya saba hajaonekana. Tuna mashaka amejibanza mahali akitafakari mbwinu mpya na mikakati kabambe ya kuishinda vita hii iliyobarikiwa sana.

Vita hii ya usagaji ikishinda, hata sisi wafuasi wake tulio Tanzania tutapata motisha na ari ya kutunga sheria ya kulinda mila zetu zilizoasisiwa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere na machifu wenzake.

Hili ni jambo jema, lakini tunatamani kiranja wetu wa ushoga kutoka Uganda atuongoze, ili hata akipewa kibano na mabeberu, sisi tutajifunza kwake na kuchukua hatua stahiki kwa mustakabali wa taifa.
Screenshot_20230330-164914.jpg
 
Ushoga haudhibitiwi kwa sheria kali.
Mindset na misingi bora ya familia.

Shoga
Basha
Mwizi wa kuku
Muongo
Liasherati
Lizinzi
Muuaji
Msengenyaji
MSagaji
Msagwaji
Mkobolewaji

Hao wooote ni daraja moja kwenye dhambi


Nabii wa uongo ni hatari na dhambi yake ina adhabu kali sana
 
Ushoga haudhibitiwi kwa sheria kali.
Mindset na misingi bora ya familia.

Shoga
Basha
Mwizi wa kuku
Muongo
Liasherati
Lizinzi
Muuaji
Msengenyaji
MSagaji
Msagwaji
Mkobolewaji


Hao wooote ni daraja moja kwenye dhambi


Nabii wa uongo ni hatari na dhambi yake ina adhabu kali sana
Asante kwa ufafanuzi meku.
IMG-20230331-WA0003.jpg
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Kwahiyo ule muswada wetu itakuwaje?
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Acha upumbavu kijana kuwa mfuatiliaji wa mambo, ushoga asili yake ni watu weupe, ndiomaana sehemu zote walipopita watu weupe&waarabu ktk kipindi cha utumwa, wameacha tamaduni zao na ushoga kwa wingi, hawa mashoga wanaoongezeka hiv leo ni matokeo ya mashoga waliotokana hayo maeneo ama kuambukizwa huo ushenz na watu wa maeneo hayo.

Na ujue kuwa ushoga unaambukizwa ama kusababishwa na mawakala ambao wanafadhiliwa na watu weupe, fuatilia hili utajua.

Ujuaji wa kipumbavu muache
 
Acha upumbavu kijana kuwa mfuatiliaji wa mambo, ushoga asili yake ni watu weupe, ndiomaana sehemu zote walipopita watu weupe&waarabu ktk kipindi cha utumwa, wameacha tamaduni zao na ushoga kwa wingi, hawa mashoga wanaoongezeka hiv leo ni matokeo ya mashoga waliotokana hayo maeneo ama kuambukizwa huo ushenz na watu wa maeneo hayo.

Na ujue kuwa ushoga unaambukizwa ama kusababishwa na mawakala ambao wanafadhiliwa na watu weupe, fuatilia hili utajua.

Ujuaji wa kipumbavu muache
Kukujibu rofa kama wewe ni kupoteza muda tuu
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa...
Kwahiyo unamaanisha tuendelee kuishi na wezi, majambazi, vibaka? Ushoga ni uhalifu. Mimi naona haya mambo wangeachiwa wananchi wawashughulikie hata kwa viboko tu ingetosha sana kuondoa hili tatizo mbona simple sana. Ila serikali inawaacha na jamii pia haipewi mamlaka ya kutatua tatizo tunabaki tunawaangalia wanavyoiangamiza jamii na taifa letu.
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwahiyo unamaanisha tuendelee kuishi na wezi, majambazi, vibaka? Ushoga ni uhalifu. Mimi naona haya mambo wangeachiwa wananchi wawashughulikie hata kwa viboko tu ingetosha sana kuondoa hili tatizo mbona simple sana. Ila serikali inawaacha na jamii pia haipewi mamlaka ya kutatua tatizo tunabaki tunawaangalia wanavyoiangamiza jamii na taifa letu.
Watu wanapiga dola milioni 50 za ndege mko kimya, mngekuwa na energy kama ya kelele mnazopiga kwa mashoga mngekuwa na maendeleo kuliko US, hamjitambui nyie kaa kimya
 
Kwa kelele hizi za kitoto mnazoleta humu kila siku ni kama mnachochea kasi ya ushoga...
Mashoga wamejaa hapo mtaani kwako na umeshndwa kuchukua hatua,unamlaumu museveni...unaakili timamu kweli...

Hakuna katiba wala sharia itakuja kukwambia shoga auwawe,wewe kama hutoi tako,huli tako¡¡¡ kalinde familia yako...
 
Acha upumbavu kijana kuwa mfuatiliaji wa mambo, ushoga asili yake ni watu weupe, ndiomaana sehemu zote walipopita watu weupe&waarabu ktk kipindi cha utumwa, wameacha tamaduni zao na ushoga kwa wingi, hawa mashoga wanaoongezeka hiv leo ni matokeo ya mashoga waliotokana hayo maeneo ama kuambukizwa huo ushenz na watu wa maeneo hayo.

Na ujue kuwa ushoga unaambukizwa ama kusababishwa na mawakala ambao wanafadhiliwa na watu weupe, fuatilia hili utajua.

Ujuaji wa kipumbavu muache
Mkuu huyo Wala sio wa kumjibu anaonekana wazi kuwa ni shoga kashindwa tu kujipambanua hapa maku huyo
 
Hii ndio Hali halidi huko UG mashoga wanashughulikiwa kweli kweliView attachment 2571553
Narudia tena HUU NI UNYAMA

Wanaowachokonoa mashoga ndo wanaowaandama hadharani.

Atakufa huyo, lakini basha ataendelea kushughulikia vijana na watoto wengine.

Tujiulize, tangu jamii imeanza kuua wezi wa kuku, je wameshaisha?

NI bora kuwatenga na kuwaweka karantini kuliko kujitwalia sheria mkononi

Mashoga ni jamii hatari ssna ssna. Ukimgusa kingono fahamu ipo siku utaukalia na wewe.

Siungi mkono ushoga
Siungi mkono kuwaua ama kutweza utu wao.
 
Ushoga ilikuwa zuga tu ,ili watu wasifuatilie mambo ya msingi,kuja kushtuka watu wameongeza cha juu kwenye ndege,we huwajui hao,usione wanavaa vizuri
Hawa watu ni waajabu sana. Hayo mafuriko ya kiki kufunika ubadhirifu mkubwa hayajawahi kunisomba. Yani utashangaa mtu mzima na mvi zake anabishana wakati bila kujua hii mada ina kusudi gani na imeletwa na nan na mwisho wa hii kiki ni nn..

Endeleeni kuwatengenezea wengine mazingira ya kuwanyonya mpaka muwe pure skeletons.
 
Back
Top Bottom