Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

Lait wangejua huyo kamanda wao anavyoishi kwa shida sasa hivi wasingekua wanaendelea kumshadadia yeye mwenyewe anatamani wanyamaze kuongea ili ajitokeze, amechoka kushinda na kulala uvunguni [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kamanda kajazwa upepo na mashabiki zake akaingia kingi jumla jumla kwenye kumi na nane za mabeberu.

Akichomoa inauma, akiingiza inauma. Ameona aendelee kujibanza uvunguni asubiri upepo upite.

Upepo ukitulia anasepa na sheria jumla jumla anaitia kibiriti. IMEISHA HIYO.
 
Sijui niseme ujinga! Mtu anatamba na tisheti yake ya mtumba , mgongoni Ina maandishi "mortuary attendant" hana habari na hayo maandishi. Akaulizwa unafanya kazi gani? Akajibu mkulima! Sio iliyoandikwa mgongoni? Hana habari!!
 
Kiswahili kinanipiga chenga, nisaidieni, ukisikia wanawake wanaambizana ",huyo ni shoga wangu" Ina maanisha nini?
 
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Swadaktaaaaa
 
Ushoga ilikuwa zuga tu ,ili watu wasifuatilie mambo ya msingi,kuja kushtuka watu wameongeza cha juu kwenye ndege,we huwajui hao,usione wanavaa vizuri
Watu hawaelewi, na wametoa kwa timing kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom