Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sumu mbaya sana ya akiliShida tunaamini kwenye matumizi ya nguvu na sheria kali,
Nani anamvalisha huyu mzee, suit imeshonwa mbagala hii
😂😂😂 sasa hizo spika ndio tatizo namba moja. Linaharibu mfumo wa kufikiriEeh viongozi wenzie wameona yapo matatizo makubwa yanayowakabili kuliko kudili na spika za watu [emoji23]
Unataka kusema hawa wezi wa mali za umma na wabadhilifu wa fedha spika zao mbovu?[emoji2296][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizo spika ndio tatizo namba moja. Linaharibu mfumo wa kufikiri
[emoji23] ina ukweli hii???Hii ndio Hali halidi huko UG mashoga wanashughulikiwa kweli kweliView attachment 2571553
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lait wangejua huyo kamanda wao anavyoishi kwa shida sasa hivi wasingekua wanaendelea kumshadadia yeye mwenyewe anatamani wanyamaze kuongea ili ajitokeze, amechoka kushinda na kulala uvunguni [emoji1787]
Kuingiza tupu ya mbele kwenye tupu ya nyuma.Chief kulawiti maama take Nini?
SwadaktaaaaaMuseveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Watu hawaelewi, na wametoa kwa timing kweliUshoga ilikuwa zuga tu ,ili watu wasifuatilie mambo ya msingi,kuja kushtuka watu wameongeza cha juu kwenye ndege,we huwajui hao,usione wanavaa vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia kajificha chini ya kitanda hadi chai wanampelekea huko huko hataki kuonana na mtu [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atajua hajui, aungane na mwanaeee.Amejikuta yuko peke yake ukanda wote wa Afrika. Viongozi wengi ni wanafiki wala hawamuungi mkono, wako na Wazungu.
Una ushahidi??lipo moja mtaani ni kichefuchefu aise halafu huwa nashangaa kwanini wanawake wanawapenda sanaa?
ushoga asili yake ni watu weupe,
Ngoja kwanza nicheki na mwanasheria wangu kama kesharudi toka ughaibuni 😅😅Unataka kusema hawa wezi wa mali za umma na wabadhilifu wa fedha spika zao mbovu?[emoji2296]