Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuelewa. INASIKITISHA SANA.Huu uhuni wa kupiga mashoga kama sio binadamu haukubaliki, na jamii ya watu waliostaraabika haiwezi kufanya huu ushenzi, akili za hawa mbwa ni kama wale wauaji wa vile vibibi vyenye macho mekundu vilivyokuwa vinasingiziwa uchawi, au wauaji wa albinos kwa imani za kichawi, serikali lazima ilinde watu wote bila kujali ni mashoga au sio
Uvunguni?Yupo anawakomesha kimya kimya
ngoja tuone huyu kamanda wa ushoga ....Museven ashachoka kuona wanaume wanabinuliwa kama baiskeli
Hapana, hata kama ni hivyo, huwezi kumpiga fimbo kama mnyama.Mwanao akiwa shoga ndio ajili zitakusogea
Wewe mwanao akianza dalili za hayo mambo utaishi nae tu? Kusema tuishi nao tu ni kupalilia laana na mavuno yake ni kuangamia. Hiyo tabia ipo karne nyingi lakini ilikuwa inapingwa na jamii zote na kufanyika kwa kificho sana.Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
tatizo sio kuliwa kwao tatizo lipo kweny kujitangaza na kutaka kufanya ni jambo LA kawaid nataman iwepo task force ya kutokomeza mashoga shot to kill hasa Hawa kweny social media kulinda kizazi chetuMuseveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Unataka nimfanyeje? nimuue?Wewe mwanao akianza dalili za hayo mambo utaishi nae tu?
Sijawahi kuona kitu kinaitwa "kampeni ya ushoga". Hizo ni ngonjera.lakini sio sasa kuendesha kampeni za kudai haki zao kama kundi maalum ili wawe huru.
Tanzania hatuna sheria ya ushoga. Tuna sheria ya ulawiti ambayo inafanya kazi kwa watu wote bila kujali jinsia za washiriki wa kitendo.Usichojua mfano Tanzania tunayo sheria ya adhabu kwa ushoga
Kutokuongelewa haifanyi ushoga kupotea.Faida ya kelele zetu ni kilichotokea jana, hilo jambo halikugusiwa kabisa
nataman iwepo task force ya kutokomeza mashoga shot to kill
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
Mwanao akiwa shoga utamfanya nini?Acha upuuzi ndugu, Subiri utakapokuwa na mtoto wako likawa Punga ndio utakapofahamu. Ishu sio nani kauleta au nani kauanzisha, Ishu ni kutumia nguvu nyingi kuusimamisha ili ustawi kwenye Jamii, na hicho ndicho kinachofanywa na wazungu. Ni wajibu wetu kupapambana na hilo jambo.
Shoga katika ubora wako.Huu uhuni wa kupiga mashoga kama sio binadamu haukubaliki, na jamii ya watu waliostaraabika haiwezi kufanya huu ushenzi, akili za hawa mbwa ni kama wale wauaji wa vile vibibi vyenye macho mekundu vilivyokuwa vinasingiziwa uchawi, au wauaji wa albinos kwa imani za kichawi, serikali lazima ilinde watu wote bila kujali ni mashoga au sio
Chief kulawiti maama take Nini?Unataka nimfanyeje? nimuue?
Sijawahi kuona kitu kinaitwa "kampeni ya ushoga". Hizo ni ngonjera.
Kama kumeshakuwepo na "kampeni ya ushoga", weka uthibitisho.
Ninachojua, kuna mazoea ya wanasiasa kuwavamia mashoga ili kutafuta kiki kwa pikipiki na kuwapa vitisho vya kuwaua au kuwajeruhi.
Hiyo ni provocation, ndio maana taasisi za ulimwengu zinaibuka kuwakemea madikteta uchwara wanaosaka kiki za bei nafuu kwa mgongo wa ushoga.
Hivyo, hiyo sio "kampeni ya ushoga", ni response to provocation.
Tanzania hatuna sheria ya ushoga. Tuna sheria ya ulawiti ambayo inafanya kazi kwa watu wote bila kujali jinsia za washiriki wa kitendo.
Kutokuongelewa haifanyi ushoga kupotea.
Hiyo ni for the sake of diplomatic convenience tu.
Kelele zipi bwana weee,Wewe mwanao akianza dalili za hayo mambo utaishi nae tu? Kusema tuishi nao tu ni kupalilia laana na mavuno yake ni kuangamia. Hiyo tabia ipo karne nyingi lakini ilikuwa inapingwa na jamii zote na kufanyika kwa kificho sana.
Hatuwezi kutokomeza kabisa hilo lakini sio sasa kuendesha kampeni za kudai haki zao kama kundi maalum ili wawe huru. Usichojua mfano Tanzania tunayo sheria ya adhabu kwa ushoga na hiyo sheria yapo mashinikizo ya kuifuta na ili kufurahisha wakubwa tuwe na sheria ya kuwapa uhuru mashoga!
Kuwapa uhuru mashoga maana yake serikali itambue ndoa zao rasmi. Hapo rasmi itakuwa si kosa wao kuwa wazi juu ya mahusiano yao. Sheria ikiwatambua itakuwa kosa kisheria kusema ushoga ni mbaya au dhambi! Ni mlango wa kufunga dini mdomo kusema ukweli juu ya ushoga.
Hili jambo kama haupo serious na mambo ya kiroho bila kujali dini yako huwezi kuelewa huu upuuzi unaelekea wapi. Sisi wengine tunafatilia harakati zinazoendelea duniani juu ya ushoga na mambo ya jinsia! Ni hatari sana sana! Kelele zetu sio kufanya jambo kubwa bila sababu bali kupaza sauti zetu viongozi wajue, hao wakubwa wajue wana mipaka.
Faida ya kelele zetu ni kilichotokea jana, hilo jambo halikugusiwa kabisa. Ghana hawakujiandaa na sasa wapo kwenye mgogoro! Rais katupia mzigo bunge mbele ya VP Kamala, bunge limetamka litatunga sheria kali dhidi ya ushoga.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Lait wangejua huyo kamanda wao anavyoishi kwa shida sasa hivi wasingekua wanaendelea kumshadadia yeye mwenyewe anatamani wanyamaze kuongea ili ajitokeze, amechoka kushinda na kulala uvunguni [emoji1787]Uvunguni?
Eeh viongozi wenzie wameona yapo matatizo makubwa yanayowakabili kuliko kudili na spika za watu [emoji23]Amejikuta yuko peke yake ukanda wote wa Afrika. Viongozi wengi ni wanafiki wala hawamuungi mkono, wako na Wazungu.
Museveni anajua kitakachompata ndio maana kakaa kimya, ushoga haujaletwa na wazungu, hao vijana mashoga waliojaa hapo bongo hawajawahi hata kukutana au kuongea na mzungu, mashoga yamejaa mombasa, Dar na Zanzibar kuliko San Fransisco, kudai kuwaua au kuwafunga mtaishia kuwaua ndugu zenu tuu, mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao