Hasira za B. 50 wamezipeleka kwa vijana wao wanaowafanya nyumaWatu wanapiga dola milioni 50 za ndege mko kimya, mngekuwa na energy kama ya kelele mnazopiga kwa mashoga mngekuwa na maendeleo kuliko US, hamjitambui nyie kaa kimya
Na wingi wa posts za ushoga ndiyo promo yake.Hawa watu ni waajabu sana. Hayo mafuriko ya kiki kufunika ubadhirifu mkubwa hayajawahi kunisomba. Yani utashangaa mtu mzima na mvi zake anabishana wakati bila kujua hii mada ina kusudi gani na imeletwa na nan na mwisho wa hii kiki ni nn..
Endeleeni kuwatengenezea wengine mazingira ya kuwanyonya mpaka muwe pure skeletons.
Utapitishwa tu na machoko ndani ya Uganda mtaadhibiwaKwahiyo ule muswada wetu itakuwaje?
Sawa basi endelea kupaluriwa marinda hayo Si Mali yako?Kukujibu rofa kama wewe ni kupoteza muda tuu
Wanaufunika moto Kwa shukaNarudia tena HUU NI UNYAMA
Wanaowachokonoa mashoga ndo wanaowaandama hadharani.
Atakufa huyo, lakini basha ataendelea kushughulikia vijana na watoto wengine.
Tujiulize, tangu jamii imeanza kuua wezi wa kuku, je wameshaisha?
NI bora kuwatenga na kuwaweka karantini kuliko kujitwalia sheria mkononi
Mashoga ni jamii hatari ssna ssna. Ukimgusa kingono fahamu ipo siku utaukalia na wewe.
Siungi mkono ushoga
Siungi mkono kuwaua ama kutweza utu wao.
Huyu ajibiwe tu maana ni jinga la kufa mtu. Ukiliuliza wapi limejifunza kwamba asili ya ushoga ni watu weupe utaambiwa mchungaji wake alimwambiaKukujibu rofa kama wewe ni kupoteza muda tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3064][emoji23][emoji3064][emoji23][emoji23]Huyu ajibiwe tu maana ni jinga la kufa mtu. Ukiliuliza wapi limejifunza kwamba asili ya ushoga ni watu weupe utaambiwa mchungaji wake alimwambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3578][emoji3578][emoji851][emoji851][emoji851][emoji3578][emoji3578]Kwa hiyo na ww ushoga wako uliambukizwa na mtu mweupe?
Sasa itakuwaje museven ametokomea!!??Utapitishwa tu
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Hawa watu ni waajabu sana. Hayo mafuriko ya kiki kufunika ubadhirifu mkubwa hayajawahi kunisomba. Yani utashangaa mtu mzima na mvi zake anabishana wakati bila kujua hii mada ina kusudi gani na imeletwa na nan na mwisho wa hii kiki ni nn..
Endeleeni kuwatengenezea wengine mazingira ya kuwanyonya mpaka muwe pure skeletons.
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Narudia tena HUU NI UNYAMA
Wanaowachokonoa mashoga ndo wanaowaandama hadharani.
Atakufa huyo, lakini basha ataendelea kushughulikia vijana na watoto wengine.
Tujiulize, tangu jamii imeanza kuua wezi wa kuku, je wameshaisha?
NI bora kuwatenga na kuwaweka karantini kuliko kujitwalia sheria mkononi
Mashoga ni jamii hatari ssna ssna. Ukimgusa kingono fahamu ipo siku utaukalia na wewe.
Siungi mkono ushoga
Siungi mkono kuwaua ama kutweza utu wao.
Tumepigwa kumbe?Ushoga ilikuwa zuga tu ,ili watu wasifuatilie mambo ya msingi,kuja kushtuka watu wameongeza cha juu kwenye ndege,we huwajui hao,usione wanavaa vizuri
Alivyokauka utafikiri anasubiria hukumu vileSisi wafuasi wa vuguvugu la kupinga ufirauni tumesikitishwa na kutokomea kwa Museven baada ya muswada dhidi ya ushoga kuletwa kwake.
Bunge lilishamaliza kazi yake, hivyo tulitarajia apitishe hiyo sheria chap chap tuanze kazi ya kuwasambaratisha kwa mijeledi.
Kwa jinsi tulivyojaa upepo na mihemko ya kutaka kuwashughulikia mashoga, tunaona tunachelewasha, na inaonekana ni kama vile Museven ametokomea shimoni bila kutujuza wafuasi wake.
Tangu Museven alipopigwa mkwara na mabeberu, leo ni siku ya saba hajaonekana. Tuna mashaka amejibanza mahali akitafakari mbwinu mpya na mikakati kabambe ya kuishinda vita hii iliyobarikiwa sana.
Vita hii ikishinda, hata sisi wafuasi wake tulio Tanzania tutapata motisha na ari ya kutunga sheria ya kulinda mila zetu zilizoasisiwa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere na machifu wenzake.
Hili ni jambo jema, lakini tunatamani kiranja wetu wa Uganda atuongoze, ili hata akipewa kibano na mabeberu, sisi tutajifunza kwake na kuchukua hatua stahiki kwa mustakabali wa taifa.View attachment 2571537
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alivyokauka utafikiri anasubiria hukumu vile
Huu uhuni wa kupiga mashoga kama sio binadamu haukubaliki, na jamii ya watu waliostaraabika haiwezi kufanya huu ushenzi, akili za hawa mbwa ni kama wale wauaji wa vile vibibi vyenye macho mekundu vilivyokuwa vinasingiziwa uchawi, au wauaji wa albinos kwa imani za kichawi, serikali lazima ilinde watu wote bila kujali ni mashoga au sioHii ndio Hali halidi huko UG mashoga wanashughulikiwa kweli kweliView attachment 2571553
Mwanao akiwa shoga ndio ajili zitakusogeaHuu uhuni wa kupiga mashoga kama sio binadamu haukubaliki, na jamii ya watu waliostaraabika haiwezi kufanya huu ushenzi, akili za hawa mbwa ni kama wale wauaji wa vile vibibi vyenye macho mekundu vilivyokuwa vinasingiziwa uchawi, au wauaji wa albinos kwa imani za kichawi, serikali lazima ilinde watu wote bila kujali ni mashoga au sio
Nasikia kajificha chini ya kitanda hadi chai wanampelekea huko huko hataki kuonana na mtu [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787][emoji12][emoji1787]Nasikia kajificha chini ya kitanda hadi chai wanampelekea huko huko hataki kuonana na mtu [emoji1787][emoji1787]