Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizo spika ndio tatizo namba moja. Linaharibu mfumo wa kufikiri
Unataka kusema hawa wezi wa mali za umma na wabadhilifu wa fedha spika zao mbovu?[emoji2296]
 
Lait wangejua huyo kamanda wao anavyoishi kwa shida sasa hivi wasingekua wanaendelea kumshadadia yeye mwenyewe anatamani wanyamaze kuongea ili ajitokeze, amechoka kushinda na kulala uvunguni [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kamanda kajazwa upepo na mashabiki zake akaingia kingi jumla jumla kwenye kumi na nane za mabeberu.

Akichomoa inauma, akiingiza inauma. Ameona aendelee kujibanza uvunguni asubiri upepo upite.

Upepo ukitulia anasepa na sheria jumla jumla anaitia kibiriti. IMEISHA HIYO.
 
Sijui niseme ujinga! Mtu anatamba na tisheti yake ya mtumba , mgongoni Ina maandishi "mortuary attendant" hana habari na hayo maandishi. Akaulizwa unafanya kazi gani? Akajibu mkulima! Sio iliyoandikwa mgongoni? Hana habari!!
 
Kiswahili kinanipiga chenga, nisaidieni, ukisikia wanawake wanaambizana ",huyo ni shoga wangu" Ina maanisha nini?
 
Swadaktaaaaa
 
Ushoga ilikuwa zuga tu ,ili watu wasifuatilie mambo ya msingi,kuja kushtuka watu wameongeza cha juu kwenye ndege,we huwajui hao,usione wanavaa vizuri
Watu hawaelewi, na wametoa kwa timing kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…