Kiranja wa kudhibiti ushoga Afrika Mashariki katokomea wapi?

Mseveni aliisha tia sahihi msaada kuuwawa na siyo bakora tena mbele ya waandishi sasa inakuwaje unadai kaingia mitini
 
Mwarabu naye mweupe?
Huyu ndiye mphiraji wa kwanza na mzungu ndiye mpuliza filimbi...wakati waarabu wanaphirana kimya kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee

Kwamba ni KUPHIRA?
 
mzungu sio mnafiki na amekubali mashoga wapo na wataendelea kuwepo tuu bora kuishi nao tuu kama binadamu wengine, naamini sio rahisi mtu kujifanya yeye ni shoga kama sio shoga, waacheni tuu waishi maisha yao
kuishi na watoa viboga tena mkuu 😀 😀 😀
 
Uhalifu au tabia yoyote isiyokubalika haimalizwi na sheria kali. Sheria za kukatazwa ushoga na adhabu zake zilizopo zinatosha. Tutumie hizo sheria kutoa adhabu. Lakini sheria za kikatili kama kuwanyonga mashoga ni sheria za kikatili. Mbona uarabuni kuna sheria kali kama vile kunyinga, kukata viungo, na kupiga mawe mpaka kufa, lakini hadi leo makosa husika bado yapo! Tena waadibiwa wengi ni wanawake huku wanaume wakipeta bila kuadhibiwa huku hali hali huhusika katika makosa hayo.
 
Hasira za B. 50 wamezipeleka kwa vijana wao wanaowafanya nyuma

Ningeelewa ningeona shoga kasimamishwa na bwana wake pembeni.

Naming and shaming itatokomeza wafiraji wanaowaharibu wenetu
Mbona "naming and shaming" haijatokomeza mafisadi?
 
Mbona tunaishi na watoto wetu majambazi, wezi, firauni, wabakaji, n.k. Wakiwa shoga ndiyo tushindwe kuishi nao!
 
Uarabuni hakuna mambo ya kijinga mzee wangu hasa nchi za kiislam. Sio sababu ya sheria zinazowalimit kufanya baadhi ya vitu ila ni ile hofu ya Mungu inamfanya mtu hata kuiba anaona uzito. Fanya research mwenyewe kuna zile video za traveling watu wanafanya comparison ya nchi za western na za kiislam. Westerners hawana hofu ya Mungu. Nchi za kiislam ziko peaceful sana hakuna matukio ya ajabu ila media za magharibi zinauchafua uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…