Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Na inashangaza sana lawyer kuwa extra emosional... Yaani mahakamani lazima ushindweMkuu nimejaribu kupitia huu uzi sijaona kosa la Nyani Ngabu Kama kosa lake ni kuhoji madai ya LLB kuwa bora kuliko zingine, nafikiri angestahili maelezo na sio matusi.
Basi tuambie wewe kwann taaluma ya sheria imekuwa easy kiasi hiki siku hizi?
University professors siyo wasomi?
Mwanasheria mwenye kishahada kimoja cha UDSM atakuwaje msomi kumzidi PhD wa agricultural economics ambaye anafanya kazi Bank of America, kwa mfano?
kinachohitajika kwa sasa ni kuhakikisha tunapata competent lawyers na napongeza serikali kuanzisha LAW SCHOOL OF TANZANIA kwa ajili ya kuhakikisha tunapata competent ADVOCATES&LAWYERS tumeachana na ile system ya zamani ambapo LL,B,LL,M&LL,D holders walikuwa wanatakiwa kufanya BAR EXAMINTION ili wawe MAWAKILI (ADVOCATES)
Lords of the Last Bench!!!
Una uelewa finyu ktk mambo ya sheria,rudi kwa Mwalimu wako akufunze vizuri.
usimdharau mtu ndugu yangu hata huyo mwenye phd ya agro-economics nae kuna wakati anamuhitaji mwanasheria hawezi kufanya kila kitu japokuwa amesoma level ya phd. Kila mtu ni msomi katika fani aliyoichagua huwezi ukacompare kihivyo unavyofanya wewe kila fani ina umuhimu wake.
What's "amature"? Well, the urban dictionary has it as "A word used by those of a lesser intelligence to berate those of higher intelligence." Enough said.
What's not even ordinary is "amature".:lol: Whoop-de-doo!
Huh? What the hell is that? Translation, please.
I take back every apology I made because they seem to have given you a big head. Uncouth cretinous louts don't deserve apologies. They deserve an ass whipping.
Stupid is as stupid does. I'll put a horseshoe up your ass. Try me.
Una matatizo ya akili wewe nimesomo kozi zaidi ya 20 ktk LL,B(CRIMINAL LAW,SALES OF GOODS,JURISPRUDENCE I,2,3&,CONTRACT 1&2,EVIDENCE I&2,COOPERATIVE LAW,COMPANY LAW,TAX LAW,LAW OF TORTS,CRIMINAL PROCEDURE,CIVIL PROCEDURE1&2 ,INSURANCE LAW,BANKING LAW nina uelewa mkubwa sana mara1000 zaidi yako tulia wanasheria wasomi tudadavue mada hii kwa manufaa ya LAYMEN wote wa humu jf kama wewe
You layman unayefanya kazi ya kubeba box shule hujaenda unabisha nini
come down you layman kwanza ushafua nguo na kuosha vyombo ?Hata kama sijaenda shule na ninafanya kazi ya kubeba box nakuhakikishia I'm a whole lot smarter than your stupid dumb ass. You ain't got nothing on me.
Uzi umegeuka "street fight"....
Ila mtu ana degree moja ya sheria ati na kushinda pale viwanja vya posta sinza "law school" ndio awe msomi kuliko a paediatric surgeon au political scientist!!!!!
Yaani umchukue graduate wa pale Yombo UDSM ajitutumue kuwa msomi mbele ya say Prof Baregu?????!!!!!
Una matatizo ya akili wewe nimesomo kozi zaidi ya 20 ktk LL,B(CRIMINAL LAW,SALES OF GOODS,JURISPRUDENCE I,2,3&,CONTRACT 1&2,EVIDENCE I&2,COOPERATIVE LAW,COMPANY LAW,TAX LAW,LAW OF TORTS,CRIMINAL PROCEDURE,CIVIL PROCEDURE1&2 ,INSURANCE LAW,BANKING LAW nina uelewa mkubwa sana mara1000 zaidi yako tulia wanasheria wasomi tudadavue mada hii kwa manufaa ya LAYMEN wote wa humu jf kama wewe
Ha ha ha haaaaaa haya mkuu said to be "learned" mimi akili ntazitoa wapi bhana nami sio mwanasheria msomi???!!!!!Political science unafananisha na LAW? una akili wewe? unadhani kuwa LEARNED ADVOCATE ni rahisi? kozi ya law unafananisha na political science? kozi ya political science haina umuhimu kabisa !
come down you layman kwanza ushafua nguo na kuosha vyombo ?
nasikia unaogesha wazee u.s.a