Kirumba, Mwanza: Mbao 2-0 Yanga, Yanga yapokea kichapo Cha kwanza na kudondokea nafasi ya nne

Pole sana kuna zile dawa za kupunguza maumivu na donge. Meza mbili kila baada ya masaa manne zitakusaidia sana. 🙂🙂

Nimenuna hapa ujue wacha kabisa BAK.

Ila ndio hivyo siku zote hatubaki nyuma tunasonga mbele.

"Eti kufungwa kwa mbinde" lol
 
Pole sana kuna zile dawa za kupunguza maumivu na donge. Meza mbili kila baada ya masaa manne zitakusaidia sana. 🙂🙂
Jamani duuh!

BAK uchokozi huo.
 
Reactions: BAK
Bao mbili ni kwa mbinde kaka tena dk zenye mwanzo kabsa acha kupotosha umma kisa wewe ni mnaz wa yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…