Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Daaaaaamn! Mbao wamepata goal hapa.
Dakika ya 26 Mbao 1-0 Yanga.
Andrew Vincent Dante {Yanga} kajifunga.
 
Daaaaaamn! Mbao wamepata goal hapa.
Dakika ya 26 Mbao 1-0 Yanga.
Dante kajifunga.
Ni kweli mbao wanaongoza?Maana wengine hatupumziki hata iwe holiday/Weekends hata muda wa kucheki mpira ni tatizo.Kama amefungwa basi ni raha kweli kweli kwangu.
 
Ni kweli mbao wanaongoza?Maana wengine hatupumziki hata iwe holiday/Weekends hata muda wa kucheki mpira ni tatizo.Kama amefungwa basi ni raha kweli kweli kwangu.
Ni kama ulivyosoma mkuu,furahi while it last.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…