Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Naona tunataka kuwanyima tiefuefu mapato hahahahaNaam mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona tunataka kuwanyima tiefuefu mapato hahahahaNaam mkuu...
Wapewapeeee....ila kuwa makini usipigwe ban tukashindwa kushangilia ushindi.Natulia mama ila kuwa jibu wajinga sitaacha
Ushindi wa wazi kabisaaa....
Pouwa usijaliWapewapeeee....ila kuwa makini usipigwe ban tukashindwa kushangilia ushindi.
Mods wengi ni Simba hahahaaaaaa
Badala ya kuomba mfungwe mnataka tena kujitafutia fedheha ya 4g ndani ya mwezi mmoja.Nyie watu nyie mbona mnajitoa ufahamu?Kama shabiki wa kutupwa wa Yanga,sina wasiwasi kabisa.
Naamini tunaumaliza mchezo kipindi cha kwanza...sisi sio watani wetu wanaosubiri kipindi cha pili ndipo 'wabahatishe' kushinda,mostly ushindi mwembamba.
Tukutane hapa saa 10 guys.
Makoye Matale Bantu lady Mbulu data nasmapesa nyumba tatu Mwana Mtoka Pabaya demigod Mgagaa na Upwa espy Monicca mkolaj Sibonike Danny greeny Matola na Wanajangwani wote tuwe hapa kuusindikiza ushindi tusiwe kama watani zetu wasio na matumaini ya ushindi wa ndani ya dakika 90,hadi mpira uishe (tena washinde) ndio wavamie jukwaa hahahaaaaaa
Viva Yanga [emoji123]
HahahaaaaaaNaona tunataka kuwanyima tiefuefu mapato hahahaha
Ndicho wanachokifanya,tusubiri na tuone.Wanawasoma tu ili watupie counter attack.
hahahahahKama shabiki wa kutupwa wa Yanga,sina wasiwasi kabisa.
Naamini tunaumaliza mchezo kipindi cha kwanza...sisi sio watani wetu wanaosubiri kipindi cha pili ndipo 'wabahatishe' kushinda,mostly ushindi mwembamba.
Tukutane hapa saa 10 guys.
Makoye Matale Bantu lady Mbulu data nasmapesa nyumba tatu Mwana Mtoka Pabaya demigod Mgagaa na Upwa espy Monicca mkolaj Sibonike Danny greeny Matola na Wanajangwani wote tuwe hapa kuusindikiza ushindi tusiwe kama watani zetu wasio na matumaini ya ushindi wa ndani ya dakika 90,hadi mpira uishe (tena washinde) ndio wavamie jukwaa hahahaaaaaa
Viva Yanga [emoji123]
Usiondoke subiri hapo hapo kama hiyo burudani yako itadumuKwakweli mbao wamenipa burudani sana.
...soon.Huo ujinga wa kudefend utawaghalim mbao.
Hivi yale mashimo mawili mliyafukiaje vile? Maana watoto waliwatoboa bila hurumaNi ' MbaoUkuni ' Mkuu.
Daaaaaamn! Mbao wamepata goal hapa.
Dakika ya 26 Mbao 1-0 Yanga.
Andrew Vincent Dante {Yanga} kajifunga.
hahahaha...soon.
Yanga wameshakosa mabao mawili ya wazi.