Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Yanga keshaliya bao 1.. NaBilashaka tunatalajia kupiga bao 2 zingine kipindi cha pili
 
Natamani fainali tukutane na hawa watembeza bakuli na hivi wana stress za kukosa mkwanja watapigwa 4G! Simba chama la kijanja!!
 
Siku zote mtoto halali na hela, hawa Mbao tutawaranda tu
 
Kosakosa nyingine tena...this time ni Haruna Niyonzima.

The bold kuwa ' makini ' sana na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima a.k.a Fabregas kwani kwa haya ' mahaba ' ya wazi ya Nifah dhidi yake naogopa kuna siku utakuja humu humu JF kulalamika au kutuomba ' ushauri ' wa ' kusalitiwa '. Na ninavyomjua Niyonzima kupitia wale Mademu zake wa zile pande za Magomeni anapoishi na kule maskani kwake Tandika na Kinondoni ' akimgusa ' Shem na ' Ubao ' wake basi na Wewe ndiyo itakuwa bye bye kwani Wanyarwanda hasa ' Watutsi ' katika hayo mambo ' wametukuka ' hasa. Kazi Kwako!
 
Dada huo mpira ulikuwa unaangalia peke yako au? Naona umechanganyikiwa na wala Andrew Vincent Dante hakujifunga bali Goli limefungwa na ' Striker Force ' wa ' Kutukuka ' aitwae Bernard. Punguza ' uwongo ' tafadhali. Kweli ' Ubao ' mmoja umeshakulevya Dada.
Kwani nawe si uandike kivyako? Mimi niache niandike kwa maoni yangu.
Hakuna anayenilipa hapa.
Dada kuna Channel nyingine unayoiangalia tofauti na tunayoiangalia sisi huku? Manake siyo kwa ' Uwongo ' huu Dada.
 
Mkuu huwa nakuona wa maana mno kumbe unashabikia hao kandambili?
Ndio,mimi ni Yanga damu.
Unione wa maana au sina maana it's non of my business mkuu.
 
Hivi yale mashimo mawili mliyafukiaje vile? Maana watoto waliwatoboa bila huruma

' Mbao ' mbili unaweza ukazivumilia na ukigangamala unaweza ukazitoa kiutaratibu ILA ' Ubao ' mmoja ukiingia kisawasawa halafu na itokee bahati anayeuingiza ( Bernard ) ni Mtaalam kuja kuutoa ni Kazi sana na sana sana na wenyewe huzidi tu kusogea kwa ndani humo Shimoni / Udongoni.
 
The bold kuwa ' makini ' sana na Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima a.k.a Fabregas kwani kwa haya ' mahaba ' ya wazi ya Nifah dhidi yake naogopa kuna siku utakuja humu humu JF kulalamika au kutuomba ' ushauri ' wa ' kusalitiwa '. Na ninavyomjua Niyonzima kupitia wale Mademu zake wa zile pande za Magomeni anapoishi na kule maskani kwake Tandika na Kinondoni ' akimgusa ' Shem na ' Ubao ' wake basi na Wewe ndiyo itakuwa bye bye kwani Wanyarwanda hasa ' Watutsi ' katika hayo mambo ' wametukuka ' hasa. Kazi Kwako!
Nikuambie tu Genta,nafahamiana na Niyonzima tokea mwaka 2011,ni rafiki yangu mbona?
Yani kama ambavyo tunavyopiga stori hapa JF mimi nawe ndivyo nilivyokuwa nikipiga story na Haruna.
Ila kwa sasa tumepotezana takribani mwaka mzima.

Yani niishi Magomeni tena nikiwa shabiki wa kutupwa wa Yanga halafu nikose kumjua Haruna?
Acha masikhara bwana.
 
Back
Top Bottom