DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Huu ndo ukwel usiofichika watz wengi wetu ni waoga wa kiwango cha dangote cement.
Imagine leo watu wanakufa kona mbalimbali za nchi lakini no media inayotupasha habari zaidi zaidi wanatupasha mambo yasio na msingi,hiki ndo kipindi wananchi wanahitaji habari zaidi kuliko vipindi vyote(endelea kubisha huo ndo ukweli).
Ukifuatilia kiundani utagundua kila media iko busy na vitu vingine kuliko kutafuta data za kinachoendelea ili precautions za kutosha zichukuliwe.
Jana nilipata bahati ya kumsikiliza wakili msomi kuna kitu aliongea kuhusu wanahabari,yaani kuna kitu kinaonekana hakipo sawa juu ya taarifa zinazoletwa na viongozi na uhalisia uliopo mitaani,wengine kwenye media flani wanapinga juu ya maelezo ya msando tena wao wako dar msando yupo Arusha.
Kwa kumalizia nani alitupa uogo na hofu tulizonazo sasa??!!
#coronaisreal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine leo watu wanakufa kona mbalimbali za nchi lakini no media inayotupasha habari zaidi zaidi wanatupasha mambo yasio na msingi,hiki ndo kipindi wananchi wanahitaji habari zaidi kuliko vipindi vyote(endelea kubisha huo ndo ukweli).
Ukifuatilia kiundani utagundua kila media iko busy na vitu vingine kuliko kutafuta data za kinachoendelea ili precautions za kutosha zichukuliwe.
Jana nilipata bahati ya kumsikiliza wakili msomi kuna kitu aliongea kuhusu wanahabari,yaani kuna kitu kinaonekana hakipo sawa juu ya taarifa zinazoletwa na viongozi na uhalisia uliopo mitaani,wengine kwenye media flani wanapinga juu ya maelezo ya msando tena wao wako dar msando yupo Arusha.
Kwa kumalizia nani alitupa uogo na hofu tulizonazo sasa??!!
#coronaisreal.
Sent using Jamii Forums mobile app