Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Ni ugonjwa unaua watu wengi kwa pamoja sio kuwa promo, leo mchana nimeangalia BBC tv nimeona wamesema kuwa hadi kufikia leo wamefariki watu 24,000 dunia nzima.

Ugonjwa ambao umeanza mwezi wa kwanza,una miezi 3 tu na kuua watu elf ishilini na nne sio jambo dogo,hata ebola ilikuwa haiui kwa wingi huu kama corona

Sent using Jamii Forums mobile app
takwimu hiyo sio kweli mafua ya kawaida nayo huwa watu mpaka 600000 kwa mwaka na nikawaida sana fatilia data WHO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika ugonjwa huu umepigiwa promo hadi mtu ukiugua malaria watu wanajua tayari una corona!
Hakuna ugonjwa hatari duniani kama Hofu inauwa kuliko njaa


Sent using IPhone X
Omba tu Mungu aendelee kutunusuru hivihivi. si suala la mzaha..utapiga nyeto mwaka mzima. waziri Mkuu wa Uingereza huko anapiga nyeto tu sahizi. acha utani kabisa.
 
mwanzo waafrika tulisema kuwa corona si ishu kutokana na joto letu. ila wamesahau kuwa ndani ya mwili kuna joto kuliko la nje na bado kirusi ana survive kiroho safi akiharibu mfumo wa ulinzi wa mwili.

tunasema kuwa ni mafua na kikohozi tu, tunapuuza balaa la kirusi ichi kufika kwenye mapafu na kuharibu kila kitu.
kipindi ichi sio chakudharau mafua na kikohozi. kwa sababu kirusi akifika kwenye mapafu umekwisha ndugu!
 
Nikiangalia mambo yanayotangazwa BBC na huku mtaani kwangu, yaani naona uhalisia ni mbingu na ardhi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na habari za mtaani kwako,wewe unajua hadi leo kula spain wameshafariki watu takribani 6600+ au unaongea kama unavuta ugoro? Maana huko ni Spain tu,acha china,Italy,Mareakani na mataifa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nilipo nina kakikohozi ka kavu sasa nikiumwa kichwa kidogo tu presha inapanda. Kinachonipa matumaini kuna dalili zingine sizioni. Sasa naogopa hata kwenda hospitali maana sina hakika kama vipimo vyao ni OG

God save us
 
Saalam aleykum!

Baada ya adui corona huko alikokua kuona mlango wazi wa nchi yetu, aliamua kuingia.
Viongizi wetu walitangazia wananchi kuchukua tahadhari za aina mbalimbali.

Viongozi wa juu wamekuwa wakitutaka kuondoa hofu na wao kujifungia kwenye mahekalu yao.

Mimi nimekuwa najiuliza uhusiano wa hofu na corona ni nini?
Je wananchi ndiyo wenye hofu na siyo viongozi?

Nini kinachoua, hofu au corona?
Hawa viongozi wanamaanisha nini juu ya kauli hii, kwamba atayepatikana na Corona akiondoa hofu atapona?

WAHENGA WALISEMA, KWA MWOGA HUENDA KICHEKO BALI KWA SHUJAA HUENDA KILIO.
JE KWA KAULI HII MAGUFULI ATAKUWA SHUJAA KWA CORONA?
Karibuni tujadiri nipate elimu
Cc mshara jr
Cc, P, Mayalla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wamejawa na hofu wala Sio corona

Mfano kariakoo kutokana na idadi kubwa ya watu ni kawaida kukuta kichaa kajilaza Au kibaka kapigwa huyo lazima Wananchi wamkimbie kutokana na kuogopa jinai

Tuendelee kuchukua tahadhari zinazotolewa na viongozi wetu wa Afya kuhusu kupambana na corona
 
Corona muulize mzee
94613540_139800857597868_7610301733452906496_n.jpeg


Sent using Hapa Chadema tu
 
Kuna mtumishi wa Mungu hivi karibuni alisema, 'Ukikutana simba na kama huyo simba hajakuona, jifiche huku ukimwomba Mungu usalimike. Lakini ukijiona na imani na kupiga magoti na kuanza kuomba Mungu akuepushe na huyo simba, kama simba atakuona na akawa ana njaa, atamshukuru Mungu kwa kumpa mlo wa siku"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wasipokuwa na hofu ya korona hawatatia maanani maelekezo ya kujikinga, ndiyo madhara yake inasambaa kwa kasi hasa baada ya kuonyesha mfano mbaya wa kwenda kanisani kipindi cha korona. Hofu ndiyo inaweza kukuokoa, tunanawa kwa ajili ya hofu au sio!
 
Back
Top Bottom