stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Nakuunga mkono yaani watu wakipata hata mafua ya kawaida wananyanyaswa Sana mno na kunyapaliwa hiii ni kitu ingine imekuja hapa duniani yaani hata ukipata kaugonjwa kakawaida tu inakuwa taaabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app