wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
nimeshamaliza wahusika watalizingatia hili na hii kesi sio moja ni kama ya tano watoto wadogo mmelivamia jukwaa kwa fujo miaka ya 2012 nilikuwa ni kikosa kwasiku kusoma jf nilikuwa najisikia vibaya na nilikuwa tayari bando langu liishie humu lakini sasa nachunguria tu kila hoja naona pumba hazina ushawishi wala mvuto kuja kuchunguza watoa hoja kumbe ni watoto wadogo waliojiunga 2016 na 2019 MNATUARIBIA SIO LAZIMA na NYIE MUONEKANE kama vipi piteni wimaWatu kama wewe huwa mnazingua sana,hoja imewekwa nyingine umekurupuka kuwasimanga wengine. Mzee baba kama unajiona una busara nenda LinkedIn,twitter au magrup ya wazee watsup
#mhengapoteaJF